Dimakatso Cmp
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,103
- 6,748
Sasa hapo ndo umechangia nini?Au hoja ya mtoa mada imekuzidi urefu na upana?Ukisoma vizuri utaelewa uzito wa mada.Kaa hivo hivo na utahira wako, naona wewe Uchadema unakusumbua.
Sasa hapo ndo umechangia nini?Au hoja ya mtoa mada imekuzidi urefu na upana?Ukisoma vizuri utaelewa uzito wa mada.Kaa hivo hivo na utahira wako, naona wewe Uchadema unakusumbua.
VAT..Value Added Taxation...ongezeko la kodi ya Thamani..inachajiwa kwa mlaji(consumer) hiyo ya TRA ya kuchaji Mabenki VAT labda sio kwa definition inayojulikana waje na VAT (T) Kidata ambayo itakua ya Tanzania tuu na si zile za kina Frank Wood.