Ni kweli kabisaYes nikweli mfano ukiwa ndani ya ndege angani huwezi juwa kama ndege inakimbia speed kubwa .
Hata dunia inazunguka kwa speed kubwa ila hatuioni sababu tupo safari moja. Nimeongeze kwa mtazamo wangu.
Mkuu mi nadhani ni kwa fikira zake ama ana kitu alicho jenga ktk ubongo wakeUmqposema ukichunguza nyota ni mambo ya imani unataka kusema ni imani ipi unayolenga???
Galax kugongana ni madhara makubwa kwa viumbe waliomo ktk mazingira hayo maana hali ya hewa itabadirika na kuathiri mzunguku halisi uliokuwapo awali na Sayari hufa, na Nyota huunganaHapa panahitaji maelezo ya kujitosheleza, kama universe inapanuka ina maana vilevile umbali toka nyota moja hadi nyingine na kutoka galax to galax unaongezeka, inakuwaje tena ziungane? Au kuna galax ambayo imesimama haisogei? Na zitakapoungana kuna madhara au faida gani itakayowapata viumbe waiomo kwenye system ya nyota hizi? Au ndio utakuwa mwisho wetu?
Kupanuka kwa universe hakuongezi umbali kati ya nyota na nyota ila huanzishwa kwa galax zingine na galax moja ni familia inayo elea pamoja kwa hiyo kuweza kukutana ni jambo lisilo shaka maana inategemea uelekeo wa majirani hawa upoje.Hapa panahitaji maelezo ya kujitosheleza, kama universe inapanuka ina maana vilevile umbali toka nyota moja hadi nyingine na kutoka galax to galax unaongezeka, inakuwaje tena ziungane? Au kuna galax ambayo imesimama haisogei? Na zitakapoungana kuna madhara au faida gani itakayowapata viumbe waiomo kwenye system ya nyota hizi? Au ndio utakuwa mwisho wetu?
Swali zuri, hapa kuna nguvu mbili kuu zinazoshindana,moja ni Dark energy ambayo inafanya ulimwengu upanuke kwa kasi ya mwanga na nyingine ni Gravity ambayo inavuta ulimwengu,sasa kama galaxy ziko karibu nguvu ya gravity katika galaxy mbili husika zitavutana na hatimae zitaishinda dark energy.kama universe inapanuka ina maana vilevile umbali toka nyota moja hadi nyingine na kutoka galax to galax unaongezeka, inakuwaje tena ziungane? Au kuna galax ambayo imesimama haisogei?
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.
dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba
jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.
tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini navyepesimy juju OKm vinakwenda angankkkkvyiolkujm
hi
hatuwezi kufahamu kilahji kituKk lo looklk lookkkiiikii lakiniml b upo uwezekanokuwao ukubwa mom wdduuwezekanokuwayjjjNjknnllhhijmojN Kyt CBC MV ll
lll mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki kuruka,uhalisi I k
Jl kama tunavyoona kila siku k ipo tuli imetulia.[/QUOTE
L
Mkuu ongezea maelezo itapendezaTazama hii clip halafu wewe mwenyewe amua.
Point yangu baada kuitazama video hiyo ni kwamba je mwanadamu anawezaje kufloat?je laws of gravity zinaweza kukiukwa?!! Hizi nguvu ni muhimu katika usafiri wa space.Mkuu ongezea maelezo itapendeza
Ukweli ukimzidi alieambiwa,unageuka uongo kwake.na hilo Ndio chujio.Moyo mnyenyekevu Tu, ndio utakaofaulu.Point yangu baada kuitazama video hiyo ni kwamba je mwanadamu anawezaje kufloat?je laws of gravity zinaweza kukiukwa?!! Hizi nguvu ni muhimu katika usafiri wa space.
Iko hapaNimeona milky way galaxy na 1C1011 galaxy lakini sijaona galaxy S7edge