Yes nikweli mfano ukiwa ndani ya ndege angani huwezi juwa kama ndege inakimbia speed kubwa .We can't feel Earth's rotation or spin because we're all moving with it, at the same constant speed. Earth spins on its axis once in every 24-hour day. ... It's because you and everything else – including Earth's oceans and atmosphere – are spinning along with the Earth at the same constant speed
Umqposema ukichunguza nyota ni mambo ya imani unataka kusema ni imani ipi unayolenga???Halafu sijui kwa nini.!
Ukichunguza nyota Sana marejeo yake ni
Mambo ya Kiimani, haviepukiki!?
Multivesre,parallel universe, uwezekano ni mkubwa na wakufikirika.Ni kweli kuna uwezekano wa kuwepo Universe zaidi ya moja?
Zitaunganaje wakati kuna maelezo kuwa universe inapanuka kwa speed kali kuliko ya mwanga?View attachment 613164
Jirani yetu(Andromeda) ambaye tunasogeleana hatimae tutaungana na kutengeneza galaxy mpya..lakini sio leo hii harusi ni baada mabilioni ya miaka.
Ushahidi wa kuungana ulikuwa ni wakufikirika lakini hublle telescope ikathibisha kuwa galaxies hugongana na kumezana na kuungana.swali ni lini.Zitaunganaje wakati kuna maelezo kuwa universe inapanuka kwa speed kali kuliko ya mwanga?
Hapa panahitaji maelezo ya kujitosheleza, kama universe inapanuka ina maana vilevile umbali toka nyota moja hadi nyingine na kutoka galax to galax unaongezeka, inakuwaje tena ziungane? Au kuna galax ambayo imesimama haisogei? Na zitakapoungana kuna madhara au faida gani itakayowapata viumbe waiomo kwenye system ya nyota hizi? Au ndio utakuwa mwisho wetu?Ushahidi wa kuungana ulikuwa ni wakufikirika lakini hublle telescope ikathibisha kuwa galaxies hugongana na kumezana na kuungana.swali ni lini.
Itakapofika wakati huo siamini kama duniani kutakuwa na uhai maana ukîesabu matukio ya kila sekunde ya uharibifu unaoikumba Dunia miaka 3000 tu ijayo uhai utatowekaKama ni viumbe wenye akili kutuzidi, huenda walituwahi kiteknolojia na labda wa wamekuwepo kabla yetu na huenda wako jirani na sisi,au inawezekana wanaijua ramani ya Milky way galaxy vizuri kuliko mwanadamu, na huenda wakawa na maisha marefu sana kutuliko sisi kwa sababu ya madawa na teknologia yao,kikubwa tunachoamini ni kwamba life katika sayari yetu haikutokea kwa bahati.sisi ni mlolongo wa viumbe matrilioni ya viumbe au zaidi ya hapo kwa hiyo iko siku tutagongana.
Inategemea unachunguza kwa kujifunza kitu ganiHalafu sijui kwa nini.!
Ukichunguza nyota Sana marejeo yake ni
Mambo ya Kiimani, haviepukiki!?
Ongezea nyama mkuuAnunaki eeh![]()
SawaMimi mchangiaji Tu,Sina
Uwezo wa kuwasilisha
Jambo.Watakuja wajuzi Mkuu