Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
hii ndio pointi ya maana kabisa dunia ni duara kweli. lakini sio chungwa dunia ni kama chapati tu. yaan sisi hatuishi nje ya dunia bali tunaishi juu ya dunia na juu yetu kuna anga si vinginevyo. over.
 
swala hili limejitokeza kwa wachangiaji wengi natarajia wanaweza kulisoma hapa

jua halizami wala haliendi chini ya dunia,linazunguka juu ya uso wa dunia, mzunguko mmoja unachukua masaa 24,ki ilivyo hasa kila kitu kipo kama tunavyokiona na tunavyokihisi, hatuhisi dunia kuzunguka hivyo ndio ilivyo haizunguki,jua lipo juu ya utosi hivyo ndio ilivyo jua haliko 93 mil miles,lipo juu ya utosi.

ngoja nitoe mfano mmoja hapa wa kuchemsha bongo,wengi wetu tunaweza tusifahamu lakini tujaribu

umbali wa jua kutoka duniani ni 93mil miles
mwangaza wa jua kufika duniani unachukua 8 mitutes, kwa hio umbali wa jua ni 8 light minute
tuchukulie kama jua lina umbali wa mara mbili zaidi 93x2=186mil mile, hapa tutaliona jua nusu ya lilivyokuwa kabla,ambapo umbali wake utakuwa 8x2=16 light minutes away
tukifanya umbali wa mara tano ya hio hesabu jua hatutaliona kabisa 93x5=465 mil miles away, sawa sawa na 8x5=40 light minutes away

swali linakuja hapa
katika nyota zote zilizo angani ambazo tunaziona,iliyo karibu sana ni 4.2 light years away

ikiwa tungeshindwa kuliona jua kwa umbali wa 40 lights minutes away, tunaziona vipi vyota zilizo na umbali wa 4.2 light years away
we jamaa ni great think.
Free minder yaan hujamezeshwa ujinga wa wazungu maadam tuna akili tutumie na za kwetu.

Mfano mzuri ni kwamba Shule za makanisa yanayohubiri uwepo wa Mungu kwenye masomo yao zimeruhusu wanafunzi wafundishwe kuwa binadamu hakuumbwa na Mungu.
hivi hauwazi kuwa mzungu ana ujinga asioujua???
 
Majibu
1.Jua linawaka kiwango tofauti na nyota zingine,mfano linaunguza 5 millions tons of matter per second na iko 93 million miles from earth mwanga kutoka uso wake huchukua dak 8 kufika duniani
2.ndyo hutofautiana mfano nyota ya karibu nyingine inaitwa proxima centauri huchukua miaka mamilioni kutufikia
Na zile nyota ndogo huwa tunazionaje?
 
Galaxy yetu inaitwa Milki way ambapo ndipo inapatikana solar system yetu yenye sayari tisa huku dunia tuishiyo ni ya tatu kutoka kwenye jua. Hivyo basi mbali na kuwepo solar system kwenye Galaxy yetu pia kuna mipangilio mingine mingi ifananayo na solar system yetu ili kukamilisha Galaxy.
Kwahyo kuna majua mangapi
 
Sayari Tisa tunazungumzia solar system mbavyo ni vitu vyote vinazunguka Nyota jua,kwahy jua ni nyota moja kati ya nyota bilioni 400 kwenye Galaxy yetu ya milky way maana yake jua nasayari zake ni kama kadoti kadoti kalichopo ndani ya milky way galaxy
hilo zoezi la kuhesabu nyota nalo ni gumu maana nawaza tu eti bilion 400 inamaana ziko 400kamili??

Nakumbuka tangu naanza2002 shule, Christmas ilitokea miaka 2000 iliyopita ila leo ni 2017

Mwanadamu hana ajualo.
 
Kwahyo kuna majua mangapi
Hahaha majua mangapi ?
da2d50b0c791e4db7a712f6cf86c786f.jpg
 
hii ndio pointi ya maana kabisa dunia ni duara kweli. lakini sio chungwa dunia ni kama chapati tu. yaan sisi hatuishi nje ya dunia bali tunaishi juu ya dunia na juu yetu kuna anga si vinginevyo. over.
Unajua nikupe maelezo kuwa huwez kufeel motion kitu kizima kikisogea,kwa mfano gari likitembea unafeel motion kwa sababu kuna vitu Viko at rest kama miti na majumba ila kwa upande wa dunia tunamove at all kwahy hauwez kufeel motion mpaka kuwe na something at rest, hebu tukubali ukwel tuache ubishi hapa hakuna cha cherehani ni kiwanda kimoja
 
hilo zoezi la kuhesabu nyota nalo ni gumu maana nawaza tu eti bilion 400 inamaana ziko 400kamili??

Nakumbuka tangu naanza2002 shule, Christmas ilitokea miaka 2000 iliyopita ila leo ni 2017

Mwanadamu hana ajualo.
Katika galaxy yetu pekee ukianza kuhesabu nyota moja moja kila nyota sekunde moja kutamka itakuchukua miaka laki moja kuweza kumaliza galaxy yetu moja tyu na jumla ya galaxy ni matrilioni
 
Kuna kitu tunaita Magnetar ni miungoni mwa neutron stars ikiwa na high magnetic field,mlipuko wa magnetar unasababisha kutolewa kwa kiasi kikubwa cha mionzi hasa gama rays
14192b60bc3f76eac43bb3830b112312.gif
hyo mistari myekundu ilichorwa na nani kwenye hyo sayari?
 
Back
Top Bottom