Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kuna kitu tunaita Magnetar ni miungoni mwa neutron stars ikiwa na high magnetic field,mlipuko wa magnetar unasababisha kutolewa kwa kiasi kikubwa cha mionzi hasa gama rays
14192b60bc3f76eac43bb3830b112312.gif
 
Pia katika aina za nyota kuna kuna nyota kubwa zaidi tunaita the super giant,hili kundi lina nyota zenye kung'aa zaidi mfano wa nyota hizo ni Betelgeuse,huu hapa mgawanyo wake
d7021b35e422da94a2dc1508689bc796.jpg

f2c37dade16a76857475b748bd608aab.jpg
 
Binadamu maskini hatuna hata ubavu wa kutoka ndani ya system moja tyu ya solar system,je vipi kuhusu mabilioni ya nyota yaliyobaki na sayari zake?ukweli mchunga hatuwez fika kamwe,tutabaki tyu kuchungulia na darubini
Na bado tunaiteketeza bustani yetu tuliyopewa na mungu,mwisho tutakosa kila kitu, na ujanja wa binaadamu ni mdoogo sana kuna viumbe wajaanja sana lakini kwa mungu ni mwisho.
 
Na bado tunaiteketeza bustani yetu tuliyopewa na mungu,mwisho tutakosa kila kitu, na ujanja wa binaadamu ni mdoogo sana kuna viumbe wajaanja sana lakini kwa mungu ni mwisho.
Wanadam katika sayari yetu ya Dunia hatuwezi safiri inje ya Dunia yetu kwa miili yetu labda tusafiri inje ya miili yetu
 
Hali mbaya ya hewa
Wakati mwingine katika sehemu kadhaa wa kadhaa zilizopo ufukweni tumekuwa tukishuhudia hali mbaya ya hewa ingawa dunia ni sehemu ya kustaajabisha yenye hali nzuri kabixa ya hewa kwa viumbe vyake,
Katika sayari ya Jupiter kuna pepo Kali na vimbunga
Katika Venus na mars kunatokea mabadiliko makubwa sana ya hali ya hewa ndani ya Sikh mfano kuna hali ya joto linazolidi maji yanayochemka kwa Mara tano na zaidi,katika Uranus na Saturn pia kuna pepo Kali zivumazo,ila katika Neptune upepo hasafiri kwa kasi kubwa ya 1600 mph!
Nina maswali mawili kwanza nasikiaga tu hii kitu inayoitwa north pole kwamba kule kuna mabarafu makubwa na ndio incha ya dunia sasa Kwani nini hayo mabarafu hayayeyuki je jua halifiki huko?
Pili vipi kuhusu south pole yenyewe ipo wapi na kuna nini huko na mbona haizungumzwi kama north pole?
Nyongeza niliwahi kusikia sayari ya mara (kama sijakosea) yenyewe inachukua muda mrefu kulizunguruka jua tofauti na dunia inaelezwa miaka 250 ya duniani kule ndio mwaka mmoja na siku moja kule ni ndefu sana kuliko hapa duniani ipo hivyo inakuwaje wakati yenyewe ndio ipo karibu na jua nilitegemea mzunguko wake ungekuwa mfupi kuliko duniani?
 
Cold welding ni inadhihirisha kuwa sisi wakazi wa planet earth tunoigelea kwenye oksijeni na nitrogen.
 
Nina maswali mawili kwanza nasikiaga tu hii kitu inayoitwa north pole kwamba kule kuna mabarafu makubwa na ndio incha ya dunia sasa Kwani nini hayo mabarafu hayayeyuki je jua halifiki huko?
Pili vipi kuhusu south pole yenyewe ipo wapi na kuna nini huko na mbona haizungumzwi kama north pole?
Nyongeza niliwahi kusikia sayari ya mara (kama sijakosea) yenyewe inachukua muda mrefu kulizunguruka jua tofauti na dunia inaelezwa miaka 250 ya duniani kule ndio mwaka mmoja na siku moja kule ni ndefu sana kuliko hapa duniani ipo hivyo inakuwaje wakati yenyewe ndio ipo karibu na jua nilitegemea mzunguko wake ungekuwa mfupi kuliko duniani?
Jibu swali la 1
the Sun's rays have to travel through more of the Earth's atmosphere because of the angle of incidence at the Poles. In the Tropics, the Sun's rays travel through less of the atmosphere and is more direct. If you want a visual example of this, take a flashlight and hold it straight down (Tropics) and at an angle (Poles). Did you notice how more broad the beam is for the "angle" experiment. These factors provide a simple answer to why it is cold at the North Pole
 
Umenena vema nakusaport wana sayansi wanatuaminisha dunia ni duara hebu chukulia vyombo umeanika uchanjani, harafu dunia inajipindua kwa kasi jinsi wanavyo sema hivi vyombo kwa nn visidondokee kusiko julikana.
 
Back
Top Bottom