Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Hakutakuwa na matdhara kwa binadamu?
Yapo maana kuna collision kubwa kubwa sana kwhy viumbe wengi watakufa,miaka bil 5 ijayo hakuna uwezekano wa maisha hapa kwani galaxy zitagongana na pia jua litapoteza mwanga wake na kuwa red giant ikizimeza sayari ya karibu yake kama mercury,Venus and earth
 
Yapo maana kuna collision kubwa kubwa sana kwhy viumbe wengi watakufa,miaka bil 5 ijayo hakuna uwezekano wa maisha hapa kwani galaxy zitagongana na pia jua litapoteza mwanga wake na kuwa red giant ikizimeza sayari ya karibu yake kama mercury,Venus and earth

Bora sitakuwepo
 
hyo idadi waliipataje sasa??
Kuna namna tatu mkuu
1) They can measure the total light from a galaxy in watts, then divide by the average wattage of a single star.
2) They can count up the total number of stars in a very small region of a galaxy to get the number of stars per cubic light year, then multiply by the total volume of the galaxy.
3) They can ‘weigh’ a galaxy by calculating its total mass, then divide this number by the average mass of a single star.
 
Crab nebula
61e1f6d21af9afc8c9c935a55f5dc4ad.jpg
 
Hii ni galaxy tunaita Flucolent spiral,ina spiral arms tofauti na galaxy nyingine
935174f7b22d4bd144ded07cb58328bc.jpg
 
Picha halisi ya galaxies zikienda kugongana,ila sio Leo wala kesho ni process ya mabilioni ya miaka ijayo,between stars and planets kuna enough space kwahy kuna uwezeano usiweze kufeel Colision
bc11c87fa4d110abbbc15fa60b584f1d.jpg
 
Hii tunaita cat's eye nebula,picha ya kuvutia kwel kwel
5b80f734867a82e0ee5f80bf4a69dba2.jpg
 
images.jpg
Hii nyota imewachanganya wataalam wote wa mambo ya anga,mpaka sasa hakuna ufafanuzi maalum, sio supernova ya type 1au 2, ila imetia hofu kubwa katika dunia hii kwa sababu ya ukaribu wake na solar system. hilo vumbi na chembechembe hatari zimevugumizwa upande wetu..ni hatari zikitufikia ndio mwisho wetu.
 
Asante sana...Ila ukiwa na mambo ya kiimani sana huwezi hata chembe kuelewa kinachoongelewa hapo..
 
Hii nyota iko karibu yetu(20,000ly) tu,na wengi wanaamini kiama chetu kimefika, mass extinction haiko mbali, wanaadamu popote tulipo tusali na tumuombe mungu sana, ili vizazi vyetu haswa vilembwe visikutane na janga hili.
 
Back
Top Bottom