Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Labda na Mie niongezee,vingine sina wasiwasi navyo wacha Tu waniburuze, lakini Shaka yangu ni ndogo tu..Ni juu ya kipimo cha Mwangaza, yaani kina uhakika asilimia ngapi?!
Kwa maana wanasema mwangaza unasafiri megamita 300/ sekunde, sikatai ila labda kulingana na Jua letu.
Swali na Shaka langu ni Je vipi kuhusiana na nyota zilizo Mbali na Jua letu..?!
1)kwani zinawaka Kwa kiwago Sawa na Jua letu?
2)Na kama sivyo,ina maana mawimbi ya mwangaza yatatofautiana Kati ya Yale yanayopimwa kwenye Jua letu na nyota zengine. Halafu
3) vipi kuhusiana na ukinzani wa Minurisho ya mwangaza kutoka kwenye nyota za Mbali inayopita kwenye mawingu mazito(Nebula)mpaka kutufikia wanakadiriaje..?!Mtoa mada na wengine wajuzi naomba mnijuze tena maelezo mepesi Tu.
Majibu
1.Jua linawaka kiwango tofauti na nyota zingine,mfano linaunguza 5 millions tons of matter per second na iko 93 million miles from earth mwanga kutoka uso wake huchukua dak 8 kufika duniani
2.ndyo hutofautiana mfano nyota ya karibu nyingine inaitwa proxima centauri huchukua miaka mamilioni kutufikia
 
Ninakushukuru kwakutupatia ufahamu kuhusu Galaxy yetu, ambayo kwa kiswahili inaitwa Kilimia. Na hiyo inatufanya sisi binadamu tujione kuwa duni sana hata kama tunajiona tumevumbua mambo mengi. Na hiyo inatulazimisha kuamini kuwa Yehova Mungu Aliyeumba mbingu na ARDHI YUPO
Yupo
 
Tusaidiane ukubwa wa Jua ulipimwa na nini, mpaka Dunia yetu iingie Mara Million 1?
It turns out that measuring the distance to a star is an interesting problem! Astronomers have come up with two different techniques to estimate how far away any given star is.
The first technique uses triangulation (a.k.a. parallax). The Earth's orbit around the sun has a diameter of about 186 million miles (300 million kilometers). By looking at a star one day and then looking at it again 6 months later, an astronomer can see a difference in the viewing angle for the star. With a little trigonometry, the different angles yield a distance. This technique works for stars within about 400 light years of earth.
Hata kwa Telescope ya kawaida tu unaweza kuona venus na zebaki zipokatiza mbele ya jua,hapo ndipo unapata hesabu
 
hahaha mimi huwa sipendi kubishana na imani za watu ndio mana hukaa kimya baada ya muda,kwa vile najua imani ina uhusiano wa moja kwa moja na nafsi zetu kwa hio tukiamini kitu inakuwa tabu sana kuweza kutazama vitu kwa mitazamo tafauti,lakini kila mtu ana wakati wake wa kuona uhalisia ulivyo
Ni kweli mkuu
 
1. ki uhalisia sayari nyengine sio kama tufe wala hazina udongo wa kwenda kutua kama ilivyo hapa duniani,wengi wetu hatujapata kuziona sayari kwa macho yetu,mara zote tunaziona kwenye computer tv na kwenye vitabu,hizi picha zote huo sio picha halisi ni michoro tu, lakini kama utaviona kwa telescope yako mwenyewe havipo kama tufe ni maduara tu.

2. kupatwa kwa jua na mwezi, kwa kweli mimi sijui jua linapatwa na nini lakini haioneshi hata kidogo kuwa ni mwezi ndio unakwenda kati baina ya jua na dunia, mara nyingi tukitazama kupatwa kwa jua tunatazama kwa mitazamo ya mafundisho tulopewa ndio mana tunahisi ni mwezi ndio unaingia kati kulipata jua.
lakini kama utaangalia kwa jicho lisilo na mafundisho utakuta mwezi haupo kabisa katika eneo la kupatwa kwa jua,mwezi hauonekani ukiingia au kutoka kwenye usawa wa jua,kinaonekana kivuli tu kinaliziba jua,kama mwezi ndio unalipata jua na mwezi ni tufe kubwa kama dunia ilivyo basi tufe lingeonekana linaingia kwenye usawa wa jua na kutoka lakini hivyo sivyo inavyo onekana,panakuwa na kivuli ambacho kimo ndani ya jua lenyewe kinaliziba jua na kivuli kinaondoka mwezi hauonekani kabisa kuingia kwenye anga za jua na kutoka
Asante kwa majibu murua
 
Back
Top Bottom