Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Mkuu Ulimwengu ni inje ya kufikiri kwetu fikiri kuna billions of galaxies na ktk galalaxy moja kuna billions za nyota (Jua) na katika kila nyota kuna makumi ya Sayari (Planet) Dunia hapa ulimwenguni ni nyingi zisizoweza kuhesabika kwa hiyo inje ya sayari lazima kuna maisha ya viumbe wengine ingawa sijui ni viumbe wa namna gani ila ni viumbe wa Mungu.
Bado unaambiwa kuna energy ambayo haielezeki kifizikia haionekani lakini ipo,na ndio kubwa katika universe,ina majina mengi dark energy ni mojawapo hii energy imewatoa kamasi wanasayansi,kwa mtu ambaye haamini uumbaji ni mvivu wa kufikiri.
 
Sasa mbona hizo nyota kubwa kuliko jua hatuzioni
Huwezi kuziona bila msaada wa telescope,kwa kukodoa macho usiku huwezi kuztofautisha, pia unaweza kununua lenz na kioo ukatengeneza yakwako.
 
Bado unaambiwa kuna energy ambayo haielezeki kifizikia haionekani lakini ipo,na ndio kubwa katika universe,ina majina mengi dark energy ni mojawapo hii energy imewatoa kamasi wanasayansi,kwa mtu ambaye haamini uumbaji ni mvivu wa kufikiri.
Siku moja nikiwa na ka telescope kangu kuna kundi la watu aina ya ZENJBAR waliniomba kujifunza kuhusu anga leo hii wanaamini mambo mengi na wamefungua ufaham wao pa kubwa
Ni kweli ulimwengu una mengi yasiyoelezeka
 
Sasa mbona hizo nyota kubwa kuliko jua hatuzioni
Mkuu hizi nyota zipo umbali mrefu sana kwa macho ndio tunaona kama vivyo ukiweza kupata sehemu yenye vituo vya kujifunza na kutazama kutumia telescope angani utajifunza mengi zaidi na nyota hizi tunazitazama kwa mwonekano mwanga uliosafiri miaka ma bilioni iliyopita.
 
Haya mambo hua nayafuatilia tangu mdogo about darasa la tano nilipo anza kujifunza computer ni interested issues sana haswa inapofikia kwenye viumbe tofauti na sisi na baadhi ya sayari zenye maisha tofauti na hapa duniani ndipo zinapo noga ila swali nililo nalo hawa viumbe huwa wanatoka huko wanapo toka wakijua kua wanaenda wapi? Ama hua wanapotea njia!? Kuna mwana sayansi mmoja anadai hao viumbe awali hapa ndipo yalipokua makazi yao ila baada ya kigundua chimbo lingine wakasepa hivyo hua wanarudi kuchungulia kama tourists na ndivyo kama sisi tunavyo pambana kuingia mars:! Uwezo wao wa akili na technology ss tupo nyuma 400yrz as mmareekani alivyo tuzidi africa 400yrz ya maendeleo
 
Kwenye galaxy moja kuna solar system nyingi zinazo tengeneza hiyo galaxy mf ss solar system yetu ina jua moja na sayari tunazo zitambua tisa japo pluto imepoteza sifa za kua sayari pia kuna nyingine kama nne zilizo gunduliwa hiyo ndio solar system tuliyopo kuna nyingine zina sayari mbili na majua kama manne kuna ambazo ni jua tu bila sayari bali ni mawe na kuna ambazo zina viumbe hai na maisha kama kawaida vivyo hivyo kwa galaxy zingine:! Prob tuliyo nayo na akili za viumbe wa solar system yetu ni kwamba kwenda mars tu lazima tuwaze sana, pesa na nguvu nyingi zitumike na hata taifa lingine likitaka kwenda hawavuki hata dunia lazima watunguliwe mpaka kakamkubwa aende pia tunatumia mda mwingi kwnye hzo safari mf chombo kilichoenda pluto sikumbuki kilitumia miaka mingapi ila nadhani ni miaka zaidi ya saba na hakikukuwa na mtu na nichombo ambacho hakiwezi kurudi zaidi ya kutuma tu taarifa kutoka huko ss tutaweza kuvuka blackhole!? Maana katika vyombo vinavyo kwenda speed sshv duniani ni makombora tu ya uharibifu ila sio vyombo vya utafiti
 
Wataalam wa mambo ya anga za mbali wamejaribu kutafuta sayari nyingine katika solar system zingine,ni kazi ngumu,kuscan mabilioni ya nyota,sio kazi ndogo, wakaja na akili moja kuwa nyota ikiwa na sayari kubwa kama jupiter huwa inavutwa vutwa "wobbling" kwa kutumia njia hiyo imewawezesha kugundua sayari nyingi na mifumo mingi.tatizo linabaki palepale umbali.
 
Sasa mbona hizo nyota kubwa kuliko jua hatuzioni
Nyota zinazoonekana angani usiku kwa macho unaambiwa hazizidi nyota 6000. Kma ulifutitia ufafanuzi zilizopita tulizungumzia upana wa anga na vitu vilioyomo kuanzia galaxy,local group na nk.

Kuna nyota ndogo sana miongon mwa nyota kwa manyota jua letu linaingia mara 27 ndipo sawa na hiyo nyota,hiyo nyota ipo pale Dumbbell Nebula M27, (also known as Apple Core Nebula). Hiyo picha ya Dumbbell nebula nitaituma
 
Athari katika mazingira.

Wataalamu wa ekolojia ya mimea, wa taalamu wa wadudu na wataalamu wa takwimu za kigenetia kwa mimea (plants populationgeneticists) wamehimiza katika tafiti zao kwamba mime aya GMO ina athari mbaya katika mazingira. Mimea ya GMO imekuwa na tabia ya uvamizi na mashambulizi(invasion) kwa mimea ya asili.

Mimea ya GMO imekuwa ikisababisha hatari ya kutoweka kama si kupungua kwa mimiea ya asili. Hii ni kwa sababu mimea ya GMO huleta athari zifuatazo katika mimea ya asili na mazingira kwa ujumla

1. Kuizidi uwezo mimea ya asili

2. kuiambukiza magonjwa mimea ya asili

3. kujaza sumu na vimelea vya magonjwa(parasites) katika mazingira

4. uchafuzi wa kigenetikia(genetic pollution) kwa mimea ya asili na hatimaye mimea ya asili kupoteza uwezo wa kuzaa mazao yake

5. kuongeza wimbi la nzige wasioweza kudhibitika na madawa (insects-resistant pests)

6. hutokomeza bio-anuwai asilia (biodiversity)

7. kutokomeza mbegu za mimea ya asili hasa wakati wa uchakataji wa DNA(transgenic process)

8. vifo kwa wanyama wanokula hovyo mimea ya GMO

9. kuruhusu kuibuka kwa magonjwa mengine ya milipuko.

Zaidi kuharibu ardhi husika palipolimwa mazao,ya GMO,hata kuhadhiri ardhi ya jiran palipolimwa zao hayo. Hata hewa ya maeneo ya hapo ni hatarishi kwa afya ya viumbe hai.
 
Back
Top Bottom