Ukweli mchungu ni kwamba mwanaadamu hawezi kusafiri nje ya solar system,kuna sababu imewekwa kwamba miili yetu isivumilie intersteller voyages haiwezekani, dunia yetu mother earth ikizunguka jua mara sabini ni mwili unakuwa na miaka sabini,kusafiri mamilioni ya maili ni vigumu na mazingira ya nje ya dunia ni hostile tumeumbwa ili tukae hapa,tuilinde sayari yetu,tusikate miti hovyo tusiharibu mazingira,hapa ndio nyumbani hakuna sehemu nyingine ya kukimbilia hata kama ipo ni mbaali sana hatuwezi kufika.