imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,436
Blue Origin
Blue origin new generation of rockets.
Blue origin new generation of rockets.
Zote zitatengeneza kitu komoja ngawa properties zitakuwa tofauti na zitatokea reaction za elements ambapo kitu Fulani amaizing kitapatikanaInner planets vipi kuhusu outer gas giants.
Sound inahitaji kisafirishio ili iweze kupita,actually in the space we have matter ambapo sound zitacollide na kusafiri eg asteroids and clouds huko huko sauti zinapita bcz sound is vibrationHiyo Sauti inasafiri vipi wakati wataalam wanasema nje ya dunia sauti haiwezi kusafiri kitokakana na hakuna mawimbi ya kusafirisha Sauti inakuwaje?
Yaah kifo cha nyota Mara nyingi inakadiriwa na mass yake,kwa mfano jua litachukua miaka mabilioni kwan mass yake ni ndogo kwa mfano nyota kubwa kama Betelgeuse itachukua miaka michache kama millions hivi kwisha kwani ukubwa wake inafanya iweze kuburn hydrogen&helium kiasi kikubwa sana,matokeo yake inatanuka na kuburst,kadiri inavozidi kuishi ndivo brightness inapungua inakuwa nyekundu na hatimaye inaburst kabixa kitendo ambacho ni hatari zaidi katika angaHapa nyota inapokaribia umauti halafu inapolipuka na kufa View attachment 617173
Good[emoji736] [emoji736] [emoji736]25.67 trillion miles from the earth.
Ndugu vipi mbona unakuwa km unalalamika lakin kile unachoona tofaut haitolei ufafaniluz,kulikon hapa tupo ktk darasa hakuna aliye juu ya somo ili ila sote tu wanafunzi.MUNGU aliumba ulimwengu lkn elimu yenu hyo haikubali
Unasubir nn tenaNasubiri
Uzur ni kwamba ukiwa na elimu pamoja na dini ni rahis kuviunganisha binafsi. Ninapojifunza au kufundisha kuhusu ulimwengu najikuta namwona mungu ni wa ajabu Sana. Tatizo ni kuwa na elimu dunia bila dini. Utaishia kushangaa tu bila kumjua wala kumsifu aliyeutandaza ulimwengu.kwa elimu yenu hyo mbon haiendan hata na mafundisho ya MUNGU
Kweli kabisa ila kumjua Mungu ni muhim sana,pia kufuatilia hao wanasayansi yapo mengi wamegundua ambayo ni kazi ya Mungu. Baada ya vyombo vyao kugundua mambo mazito sana angani nasi tumkiri kwa vinywa vyetu kuwa kuna Muumbaji wa vitu hivyo.Uzur ni kwamba ukiwa na elimu pamoja na dini ni rahis kuviunganisha binafsi. Ninapojifunza au kufundisha kuhusu ulimwengu najikuta namwona mungu ni wa ajabu Sana. Tatizo ni kuwa na elimu dunia bila dini. Utaishia kushangaa tu bila kumjua wala kumsifu aliyeutandaza ulimwengu.
Mkuu! binadamu bado hawajafikia kulifanya koloni, labda siku za usoni.Ujenzi unaendelea kule MARS