Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Pia hizo highly charged particles mara nyingine zikivugumizwa upande wetu ndio huwa zinaingiliana na mfumo wetu wa umeme haswahaswa North America na Russia na kusababisha umeme kukatika kuna mwaka mmoja US na CANADA walikosa umeme kwa siku kadhaa.
 
Kweli BWANA Mungu wetu ni Fundi asiyewezekana.

Nimejifunza mengi kutokana na thread hii.

Na pia nimeamini, katika uumbaji wa Mungu, binadamu ni kitu kidogo saaaana.
Kuna kitu wanakiita dark energy au dark matter kimewakoroga vichwa mpaka wamekiri na kukiita gods particle.
 
Je space ni empty?
No, space isn’t empty, you wouldn’t be asking the question and I wouldn’t be here if that is the case. Space is made up of ‘matter’ and
‘energy’ ?
The reason that Einstein says that this happens because, It’s not just space, It’s Space-Time. In this case, Space and Time co-exist. They’re relative to each other, you can have infinite time and no space or vice-versa. This, however contradicts Space expanding. This is because this is rather Newtonian idea, where space is static (not the case).
Physicists say that space is empty, they say it in a relativistic form, we all know it’s not.
 
Kimondo cha Mbozi SONGWE kinavuta watalii mbalimbali kuja kukiangalia kina asilimia kubwa ya chuma
images.jpg
 
Hichi kimondo inaaminika asili yake ni asteroid belt katikati ya Mars na Jupiter sasa kwa mtanzania kupata baraka kama hii,halafu utakuta mtu anashindwa kwenda kukishika wakati chenyewe kimesafiri mamilioni ya kilometa kuja kuishi nasi.
 
Olympus mons ndio mlima mkubwa kuliko yoote katika solar system, kilimanjaro na everest zikichanganywa hazifikii huu mlima.uko kwenye sayari ya mars
 
Huu ni mmoja miezi ya Jupiter lo unavolcano kuliko sehemu yoyote katika solar system hapa unaonekana ukirusha vumbi na gesi hewani simply huu mwezi unaminywa kama jipu na jupiters gravity.
 
Hiyo Sauti inasafiri vipi wakati wataalam wanasema nje ya dunia sauti haiwezi kusafiri kitokakana na hakuna mawimbi ya kusafirisha Sauti inakuwaje?
Ni kweli kwamba sound inahitaji medium of transport kusafiri mean in space there is no such medium but space is not empty there is matters like objects ambazo ziko very distant so using those object sound can travel who ever it can be radio waves which can be converted ili ieleweke
 
Black hole pale Orion inaweza ingia majua matatu bila kugonga ukingo/ukuta wa back hole,kuna watu fulani kwa iman ya kidini wanaamin sie wanadam siku ya kupaa kwenda mbinguni tutapita hapo kwenye kundi la Orion..

Soma Ayub 38:31,32 hapo pametajwa makundi mawili ya nyota KILIMIA NA ORIONI.
Tutaona kilimia ktk muonekano

Kilimia ndo SUBARU kwa kijapan
Safi sana
 
Nimegain something new

Niliwahi fundishwa kuwa jua ndo nyota kubwa zaidi na hakuna nyota ingine sasa hiyo nyota ya VY CANIS MAJOR ni nini mbona inaiacha jua palefu sana.?
Parefu mno,kuna classes kibao za nyota mkuu jua is just average star
 
Back
Top Bottom