Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Tunaziona nyota nyakati za usiku zilizo mbali for 4.2 billion light years lakini tunashindwa kuona object zilizo km 20 kwenye ground level hii ni kwasababu gani
Sababu ni light nafikiri kuna spectrum of light ambayo binadamu anaweza kuona,
 
Kuonyesha una likes 19 inanisikitisha sana, maana umeandika upuuzi tu, wajinga wenzako wakaunga mkono, na inaonyesha ulisoma ukaishia form 2 alafu ukakimbia sayansi ukaenda masomo mepesi. Kila ulichopinga kinaelezeka, sitotaka kudiscuss hili maana ni 2017 hakuna mtu mwenye muda wa kubishana kama dunia ni duara, hilo lilijulikana miaka zaidi ya 500 iliyopita kama bado unabisha hadi leo basi ishi ufe kivyako ila ujinga wako usijaribu kuwapa watu wengine, ukiwa na watoto peleka shule wasome wakupite akili, usiwabane wawe kama wewe maana tutakua tunaongeza wajinga duniani.

Samahani kama utahisi lugha niliyotumia ni kali lakini ni ukweli. We hata ukiwekwa kwenye rocket ukarushwa kutoka nje ya dunia ujionee mwenyewe utarudi kusema labda walikupa madawa ya kulevya wakudanganye. Cha kushangaza unaamini JF ipo, hujui internet inafata principle hizi hizi tunazotumia kujua kua dunia ni duara. Nadhani tatizo ni ego tu.
[emoji2] [emoji2]
 
Watu mliokimbia somo la physics na geography form1-4 Sasa munaanza kuonekana. Kuelewa masuala ya Galax na vimbwanga vyake ni kozi ya miaka minne secondary school, hamtaweza kuelewa kwa mistari michache mnayoandikiwa hapa. Zenjbara, ivunya na wenzio, rudini darasani, elimu haina mwisho.
Kidogo kidogo tunafika mkuu
 
mungu fundi kweli yani dah
halafu anakuja bwege tu anasema hakuna mungu kweli! kwa maajabu haya bado tu unashindwa kujiongeza kua hivi vitu vimepangwa vikapangika na hazishikiliwi zinajibeba! bado tu mtu anabisha hahaha kweli akili ni mali.
 
mwanzoni mwa huu uzi nlisema huko kuwa upo uwezekano kuwa dunia ndio infity haina mwisho na sisi tupo kwenye sehemu ndogo sana,
images.jpg
 
Mnakumbuka Habari ya Valiant Thor kutoka chapisho la kitabu cha Stranger At The Pentagon
 
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
Mkuu wewe unamawazo kama yangu 100%. Kuna mambo mengine hayakubaliki hata kwa ubongo mdogo kiasi gani. Eti dunia ni duara. Hili suala la maji ya bahari na maziwa nk yanawezaje kukakaa ktk kitu duara halafu kwa nje.
 
We jamaa ujinga wako ni wa kiwango cha kipekee kabisa..! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna mambo mengine kiuhalisa unahitaji ufikiri kwanza sio kuamini tu kila kitu akinzisha mzungu. Kumbuka nae ni binadamu kama wewe.
 
Never heard that mkuu..km vp tupe elimu kk..
Huyu jamaa walidai alikua kiumbe kutoka venus (alien) aliishi marekani kwa miaka mitatu yeye kaka yake pamoja na mwanamke mmoja mwaka 1957.

Ilijilukana baada ya mwanamke mmoja aliyekua anaitwa Nancy Warren mfanyakazi wa pentagon kumfuata mtunzi wa vitabu na muhubiri aitwaye Dr. Frank E. Stranges na kumpa nafasi ya kumhoji uyo valiant thor kiumbe kutoka Venus.

Maongezi yakawa hivi,
Valiant akasema meli yao ya angani iitwayo Victor one ilitua mnamo March 16th 1957 uko Alexandria, Virginia
Ikiwa na viumbe hao wanne akiwapo Valiant mwenyewe Jill, Donn pamoja na Tanyia walikaribishwa na polisi wawili ambao walipiga simu kwa Neil H. McElroy ambaye alikua secretary of defense kwa kipind icho. Ndipo akaanda mkutano wa dharula pentagon.

Ndipo wakapitishwa kwa njia za chini mpaka ikulu kuonana na Rais wa kipind icho Eisenhower na makamu wake .

Cha ajabu ni kua jamaa aliwaambia amekuja kufundisha Kuhusu Habari za mungu na mwanawe yesu akipinga vikali kua yesu sio mkombozi wa sayari Dunia tu Bali hata venus na kusoma biblia ipo katika sayari zote ambazo Zina maisha kama kitabu au hata kwa mawazo. Lakin Rais akumpa kibali icho na kuamua kufikia makubaliano ya kufanya kazi pentagon kwa hadhi ya VIP.

Na Kuna mashahid wengi walijitokeza baada ya chapisho na kusema walishamuona jamaa pentagon na wengine kusema walishafanya nae kazi Bila kujua. 1960 Val aliondoka duniani na kurudi kwao 1967 chapisho ndo likatoka. Hakuna aliyewahi kumhona tena mpk Leo.

Uhajabu wa uyu mtu ni huu...
1. Alikua na IQ 1200

2. Anaweza kuisoma akili ya kila mtu

3. Hana fingerprint katika vidole vyake

4. Damu yake Ina asilimia kubwa ya copper oxide kama Damu ya pweza

5. Alisema Kaishi miaka 490 ya venus

6. Alikua anaweza kuongea lugha Zaid ya 100 kwa ufasaha

7. Alikua na pafu moja kubwa

8. Moyo mkubwa sana

9. Alisema kuna wageni kutoka galaxy ya mbali ambao upendelea Kuja hapa duniani.

10. Alisema kwao na sayari nying viumbe uishi chini ya ardhi (underground ) ndo maana inakua ngumu kuwaona kwa kutumia satellite mfn. Venus na Mars.

Maombi ya Valiant kwa pentagon, Valiant alimwambia muhubiri Stranges kua

1. Aliwaomba pentagon atufundishe binadamu jinsi ya kuish Bila kuugua au kuumwa na kuyafutilia mbali magonjwa yote.

2. Kuishi Bila kikomo au maisha marefu ambayo hayajawah kutokea duniani.

3. Kupanda mazao au uoto Dunia nzima kusiwe na shida ya chakula.

Lakini pentagon walikataa kwa madai kua uchumi utaporomoka km kutakua hakuna magonjwa, njaa, na kifo.

Madai ya Valiant kutokana na alivyo mwambia mwambia Stranges ni kua serikali ya marekani miaka mingi imekua ikishirikiana na aliens na kuficha au kuteketeza ushahid, anadai kua watu kama wao ndo wamefanya technologia ya duniani kukua.
2544807c4058e65c58961253aa27c014.jpg

Kutokana na madai ya Oscar Schneider, Valiant mwenyewe hapo juu kwa mbele, Ukiangalia mkono wake vizuri utauona una uajabu fulani hivi. Nyuma yake ni Oscar Schneider aliyewahi kufanya kazi nae.

f8ec2846ccbc486946003d39d5323b8f.jpg

Val Jill, Donn katika picha hii

ff4063a59e553854d6d8b0aaa2eed638.jpg

Val Jill, Donn katika picha hii

3b68dafc246306664c40420fcf3627aa.jpg

Val mwenyewe

6f5609ae70e4c56363bec7f929c0c4a8.jpg

Oscar Schneider aliyedai amewahi kufanya kazi na Valiant area 51 katika projects nying ikiwapo kujenga underground military base. Na huyu ndo aliyetoa picha Ile ya Kwanza kule juu.

Ref: Stranger at the pentagon 1967 1st edition
Flying Saucerama 1959
Madai au ushahid Oscar Schneider Kuhusu Valiant Thor.

Mwisho nakaribisha mchango, ongezeo na maswali yeyote kuhusiana na hili au alien yeyote maarufu anayesadikika Kuishi duniani.
 
Back
Top Bottom