Kwa nini wanaume wana chuchu?

Kwa nini wanaume wana chuchu?

Japo mimi ni mzee wa deadline, lakini hili darasa nitalipia wiki mbili kabla. naona zinaozea tu hapa chestini. LoL!:smile-big:
ntakukaribisha darasani kwangu siku ya practical.
 
Why Do Men Have Breasts, Nipples? - Yahoo! Voices - voices.yahoo.com
Men and women are practically the same except for a few sex chromosomes. The genetic code of humans is exactly the same until instruction for sexual development comes in. A female will get enough estrogen to trigger the full development of the breasts, while a man receives little of this hormone,which means the milk glands are not triggered.
labda tujiulize kwanini wanawake wana kidude kama penis?majibu hayo hayo
 
hahahahaha una utani na mimi wewe,ngoja nimtafute photographer mzuri yakitoka vizuri ntakuletea

Itakuwa heri, maana kuna wengine wana bahati kama yule school mate wako aliyebata bahati ya kufungua ukurasa!!
tena kwa kuombwa....
A%20S-heart-2.gif
......Miye hata macho tu yapate faraja yake
 
Itakuwa heri, maana kuna wengine wana bahati kama yule school mate wako aliyebata bahati ya kufungua ukurasa!!
tena kwa kuombwa....
A%20S-heart-2.gif
......Miye hata macho tu yapate faraja yake

nimekushitukia:bowl::bowl::bowl:
 
nimekushitukia:bowl::bowl::bowl:

Miye mtu mwema ujue, tena najali hofu na furaha zako. Uliza wenyeji hapa watakwambia.
Usiufanye usiku wangu ukawa jehanam, najua una moyo wenye nyama laini kama sufi.

Asnam Asnam, itika rabeeka moyo wangu upate afueni..................
A%20S-cry.gif
A%20S-cry.gif
A%20S-cry.gif
 
Miye mtu mwema ujue, tena najali hofu na furaha zako. Uliza wenyeji hapa watakwambia.
Usiufanye usiku wangu ukawa jehanam, najua una moyo wenye nyama laini kama sufi.

Asnam Asnam, itika rabeeka moyo wangu upate afueni..................
A%20S-cry.gif
A%20S-cry.gif
A%20S-cry.gif

rabeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeka.......... unalia nini thatha
 
Mwishowe...watakuja wengi...Kwann
wanamke wana makalio makuwa....
yanakazi gani tofauti na mwanaume yakawa makubwa!
lips kwa wanawake...kwanini ni kubwa.
Mwishowe kwann wanaume wana koromeo...
 
rabeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeka.......... unalia nini thatha

Mwitikio wako umefanya moyo ulipuke paaa halafu ukasimama kwa sekunde kama 5 hivi. Machozi yamekauka
ghafla, mtoto wewe kwa nini unauchemsha moyo wangu kama chungu kwenye jiko la kuni?

Sema neno moja tu lililo kwenye umbo la kopa nipate kulala kwa faraja.
Asnam Asnam mashallah una maneno kama mtoto wa Kidengereko, kiuno kama 'round about' ya Msimbazi,
.................kama Mlima Kitonga.

Nipe maneno niliyoomba mama.........
 
Mwitikio wako umefanya moyo ulipuke paaa halafu ukasimama kwa sekunde kama 5 hivi. Machozi yamekauka
ghafla, mtoto wewe kwa nini unauchemsha moyo wangu kama chungu kwenye jiko la kuni?

Sema neno moja tu lililo kwenye umbo la kopa nipate kulala kwa faraja.
Asnam Asnam mashallah una maneno kama mtoto wa Kidengereko, kiuno kama 'round about' ya Msimbazi,
.................kama Mlima Kitonga.

Nipe maneno niliyoomba mama.........

Mtambuzi naomba niitie ware wa kure kwetu wanaoishi kure banana waje wamshughurikie huyu mura,harooooo unasema nini wewe,hehehehehe platozoom natumaini mapigo ya moyo yamekuwa normal.
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi naomba niitie ware wa kure kwetu wanaoishi kure banana waje wamshughurikie huyu mura,harooooo unasema nini wewe,hehehehehe platozoom natumaini mapigo ya moyo yamekuwa normal.

Hao ukiwaita hawatanifanya chochote nawajua kuanzia Kibumaye, Bunchari, Kimakorere, Remagwe, Nkende mpaka
Mogabiri.

Miye nipe lile neno nililoomba nitulie mamii....
 
Back
Top Bottom