Kwa nini wanaume wana chuchu?

Kwa nini wanaume wana chuchu?

aaaah we nawe kazi yake hata we mwenyewe unaijua kama umesahau muulize mama yyoyooo
 
mbona ningejidai ningekuwa natembea na kaushi tu,ya kwangu kusimama hadi nikiinama kupiga deki.

Kumbe ni hayo, mbona mzuri tu, je ungekuwa kaukau kifuani!
Ila siamini tupia picha tuone (hata PM tafadhali)..miye Tomaso ujue
 
Kumbe ni hayo, mbona mzuri tu, je ungekuwa kaukau kifuani!
Ila siamini tupia picha tuone (hata PM tafadhali)..miye Tomaso ujue

isha_mashauzi.jpg
yako kama haya umeridhika thatha
 
Zamani yalikua yanatumika kunyonyeshea watoto, sasa baada ya mgawanyo wa kazi mwanaume akapewa kazi ya kutafuta chakula na mwanamke anyonyeshe! Source: Theory of use and disuse

Usiniambie Adam alikuwa ananyonyesha; yewooomi!
 
.....vestigial organs, biologically hazina ulazima au umuhimu.

Vestigial parts au organs zipo nyingi tu mwilini mfano mwingine ni appendix

ila hapo juu kuna mdau mmoja amesema 'amevumbua' matumizi yake, nadhani anaitwa FP, mkuu FP hongera sana, vp nikuone wapi unifanyie practical matumizi yake?
 
Last edited by a moderator:
.....vestigial organs, biologically hazina ulazima au umuhimu.

Vestigial parts au organs zipo nyingi tu mwilini mfano mwingine ni appendix

ila hapo juu kuna mdau mmoja amesema 'amevumbua' matumizi yake, nadhani anaitwa FP, mkuu FP hongera sana, vp nikuone wapi unifanyie practical matumizi yake?
kwani wewe pia unazo?
 
Kuna bibi mmoja hivi mitaa ya Upanga alikuwaga kichaa anaitwa Rabiya.

Ilikuwa ukimzingua anakutemea mate halafu anafunua gauni yake akupe radhi.

Nahisi kama ntakua nakujua vile mitaa hiyo ilikuwa na kiduka kimoja cha muhindi pembeni na flats za nhc na karibu na shule ya msingi muhimbili, mie nlikuwa mtoto wa flats hizo na huyo bb namkumbuka sana daaah umenikumbusha enzi za sanvita looh ya black current na orange.
 
Nahisi kama ntakua nakujua vile mitaa hiyo ilikuwa na kiduka kimoja cha muhindi pembeni na flats za nhc na karibu na shule ya msingi muhimbili, mie nlikuwa mtoto wa flats hizo na huyo bb namkumbuka sana daaah umenikumbusha enzi za sanvita looh ya black current na orange.
solumeti hajambo besti?
 
chuchu si ili zinyonywe?? au nakosea wajameni...
 
Back
Top Bottom