Kwa nini wanaume wana chuchu?

Kwa nini wanaume wana chuchu?

Napajua saaaana ww ni jirani yangu kabisa, hebu njoo utembee bwana siku moja, na yule bibi wa
kihindi bi Rabia bibi yake Nyani Ngabu ameshakufa kitamb

Jamani alifarikigi maskini?nakumbuka enzi izo niko mdogo sana yani akipita lazima ukimbie ndani!!ilikuaje?au uzee ulimfikia?
 
Jamani alifarikigi maskini?nakumbuka enzi izo niko mdogo sana yani akipita lazima ukimbie ndani!!ilikuaje?au uzee ulimfikia?
pole sana, hata sijui sababu nn, kumbe umehama long,
uko wapi sasa, karibu home mwaya
 
Wanadamu wote huanza maisha katika tumbo la mwanamke. Kawaida kama hakuna "chromosome" aina ya Y katika kichanga basi unganiko la yai na mbegu ya kiume hupelekea kutengeneza kiumbe cha kike.
Sasa pindi aina ya "chromosome" ya Y ikikutana na yai la mwanamke kuunda mtoto, moja kwa moja vichocheo vya "testosterone" huzuia ukuaji wa matiti na huishia kwenye stage ya chuchu tu.
Vivyo hivyo hali kama hii hutokea kwa viungo vingine kama, mashavu ya uke kuwa ngozi ya korodani, kinembe kuwa uume.


Note:
Mbegu ya kiume huwa na aina mbili za "chromosome" yaani Y na X
Yai la mwanamke huwa na aina moja tu ya "chromosome" ambayo ni X ambazo huwa in a pair of two yaani XX.
Unganiko la Y na X hutoa jinsia ya kiume na unganiko la X na X hutoa jinsia ya kike.


Kwa nini wanaume wana chuchu??

Viungo vyote tulivyo navyo vina kazi maalum,

lakini sijajua kwa nini men wawe na chuchu, nini kazi yake??
 
Guru wetu FP , maandalizi yanaendelea vyema na venue imeshapatikana na projector la kisasa, ukumbuke ku-book (.......) wachache kwa practicals ikiwa wata attend kuzidi makadirio.

CC grafani11
ha haaa, practical itatolewa kwa mtu mmoja tu, nitakuja naye, hili wala lisikuumize kichwa, endelea na maandalizi mengine, lol!
Ila unaweza watangazia wanafunzi waje na partners kwa ajili ya practical, tutafanya kwa vitendo humo humo darasani, mimi nikionyesha mfano
 
Hahaaa, itakuwa bonge la training. I cant wait!!!!!!!! LoL!!

Mimi najitolea kujifunza so nitakuja alone, ntakuwa napita kila mahali na kwa kila couple kuangalia hizo demo ili ninote vyote. Japo hilo wenge lake naweza sisielewe kitu.

ha haaa, practical itatolewa kwa mtu mmoja tu, nitakuja naye, hili wala lisikuumize kichwa, endelea na maandalizi mengine, lol!
Ila unaweza watangazia wanafunzi waje na partners kwa ajili ya practical, tutafanya kwa vitendo humo humo darasani, mimi nikionyesha mfano
 
Mtaalamu:whoo::whoo::whoo:

ha haaa, practical itatolewa kwa mtu mmoja tu, nitakuja naye, hili wala lisikuumize kichwa, endelea na maandalizi mengine, lol!
Ila unaweza watangazia wanafunzi waje na partners kwa ajili ya practical, tutafanya kwa vitendo humo humo darasani, mimi nikionyesha mfano
 
Hahaaa, itakuwa bonge la training. I cant wait!!!!!!!! LoL!!

Mimi najitolea kujifunza so nitakuja alone, ntakuwa napita kila mahali na kwa kila couple kuangalia hizo demo ili ninote vyote. Japo hilo wenge lake naweza sisielewe kitu.
he he heeee, utatoka kapa, bora kuja na mutu yako ili nawe ujifunze kwa vitendo, lol!
 
Hahaaaaa, Ubaya wa sisi ma-single ndio huu sasa.
Mkuu BAK naomba ujumbe huu wa FP ufike tafadhali sehemu husika, nisiendee nyanyasika kwenye hii training.
Mwambie ikishindikana aniruhusu niweke bango hapa la kusearch. Hahaaaaa. LoL!!!
he he heeee, utatoka kapa, bora kuja na mutu yako ili nawe ujifunze kwa vitendo, lol!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom