Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
ha haaa, yaani bado hadi leo? fanya fasta
kila la heri mdogo wangu, ntakuweka kwenye maombiBado bhana, ukiona siku nabandika hapa, usishange udhani mdogo wako nimekengeuka, hahaaaa; ni mchakato tu.
inakuaje vinatofautiana ukubwa kati ya mtu mmoja na je wenye tudogo zaidi au tukubwa zaidi inakuwaje mkuu hebu funguka kidogo:-*:-*
Boflo unamjua Rabiya?