platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
Tarime natokea...............................neno gani unaloomba
Umeshasahau eeh! sawa bwana, miye mnyonge wako.
Tarime? sehem gani
Tarime natokea...............................neno gani unaloomba
Umeshasahau eeh! sawa bwana, miye mnyonge wako.
Tarime? sehem gani
inakuaje vinatofautiana ukubwa kati ya mtu mmoja na je wenye tudogo zaidi au tukubwa zaidi inakuwaje mkuu hebu funguka kidogo:-*:-*Why Do Men Have Breasts, Nipples? - Yahoo! Voices - voices.yahoo.com
Men and women are practically the same except for a few sex chromosomes. The genetic code of humans is exactly the same until instruction for sexual development comes in. A female will get enough estrogen to trigger the full development of the breasts, while a man receives little of this hormone,which means the milk glands are not triggered.
labda tujiulize kwanini wanawake wana kidude kama penis?majibu hayo hayo
Zina kazi nyingi kama inavyoonyesha kwenye picha......
![]()
![]()
![]()
Ila Naona sisi Mipingo hatujajua bado jinsi ya kuzitumia. Ila ukibadilisha jinsia, utajua kazi yake.
hahahahahaha huyo wa katikati anatafuta kansa tu
Zina kazi nyingi kama inavyoonyesha kwenye picha......
![]()
![]()
![]()
Ila Naona sisi Mipingo hatujajua bado jinsi ya kuzitumia. Ila ukibadilisha jinsia, utajua kazi yake.
Zinasafishwa kwenye ACID hizo kabla hazijatumika na hivyo ni salama.
Unaweza kujaribu tu na wewe ukaona kama kuna shida........ Ahhhh kwenye masikio lakini:
BTW: Hujambo bibie? Umepotea kwa wiki nzima na ushee hivi ... Weekend njema.
Dah! Nia aje Mkuu Sikonge!? Haya mambo ya kujitoboatoboa kwenye chuchu, kitovuni na sehemu nyeti noma sana.
Upate Bibie kajiwekea Mikufu na mwisho kafunga Kufuli la kikweli. Inabidi umuombe akupe funguo ili ufunge goli, hahahaaa..
Wadhungu kweli wana vituko yaani hadi wanatisha. Kuna mmoja nilishamuona na mivyuma mingi na nikamuuliza kama hadi huko chini kaweza, akasema "huko bado ila nafikiria....." nikamsepa.
lol! hahahaha! Wadhungu hawa!!! Wacha wende zao...bora uliamua kusepa. Wengine wamejitoboatoboa usoni hata kumuangalia uso unaona noma lol! hawaihurumii kabisa miili yao katoboa pua, lips ya chini na juu, ulimi, pembeni ya macho yote dah!!!!
Wanaume hadi Mashedede wanatoboa, Kudadadeki.
Kuna mmoja alilewa akaukata kabisa. Na kwa bahati mbaya hali ya hewa ilikuwa mbaya na kumsafrisha hospital kwenda kuunga ikawa kasheshe maana Helcopiter kwanza haikupatikana na ilivyopatikana wakashindwa kutua kwenye hospital na mwisho wakaenda kutua wilaya jirani na ndiyo wakamfikisha hospital. Hapo ilishapita masaa zaidi ya 11 tangu mshedede utengwe na mwili (umechinjwa bila kuombewa na Mkristo wala....). Basi tena, ndiyo alibaki na Kinusu Bamia.
Saaana tu.je unajua kuzitumia wewe..
Kuna bibi mmoja hivi mitaa ya Upanga alikuwaga kichaa anaitwa Rabiya.
Ilikuwa ukimzingua anakutemea mate halafu anafunua gauni yake akupe radhi.
inakuaje vinatofautiana ukubwa kati ya mtu mmoja na je wenye tudogo zaidi au tukubwa zaidi inakuwaje mkuu hebu funguka kidogo:-*:-*