Kwa nini wanaume wana chuchu?

Kwa nini wanaume wana chuchu?

Boflo,una chuchu?wanaume hatuna chuchu,chuchu gani hazitoi maziwa.....hicho ni kifua!kama unaona kifua cha mwanaume kimefanana na chuchu huo ni ufanano tu kama walivyofanana mr dick and miss clit!lol
 
Duhh nyani ngabu umenikumbusha mbaliiiii!!!Rabiyaaa alikua kiboko jamani!ulikua unakaa upanga mtaa gani??nimekulia uko mie
Lisa ulikuwa mtaa gani? Na sasa hv uko wapi?
Mm niko Kibasila karibu tu na Shebby school Nyani Ngabu huyo kasoma Shaban Robert kwao mkoani
 
Last edited by a moderator:
Boflo,una chuchu?wanaume hatuna chuchu,chuchu gani hazitoi maziwa.....hicho ni kifua!kama unaona kifua cha mwanaume kimefanana na chuchu huo ni ufanano tu kama walivyofanana mr dick and miss clit!lol
nataka kukukodi uje sherehesha harusi, charge zako zikoje Chizenga?
 
mimi huwa nazitumia....

Well done Nakupa hai 5 kama kwa hilo kwani sio wasichana wengi wanaelewa hilo ,ni sawa na Pale Mwamume anapokuwa anakaribia kucheuwa, watalamu na wachunguzi wa mambo ya kufanya mapenzi wamebaini mwanamume anapofika ule wakati wa kucheuwa sehemu yake ya makalio(kimwaga tope) huwa inafunguka na kuwa wazi kwa dakika fulani na inaminiwa ikiwa mwanamke atamuingiza kidole basi mwanamume huyo hupatwa raha zaidi .
 
hao wataalam c rizik!kitu cha finger mchezo,kwz nalipiza na ndo mwisho hapohapo!!
 
Kwa nini wanaume wana chuchu??


Viungo vyote tulivyo navyo vina kazi maalum,

lakini sijajua kwa nini men wawe na chuchu, nini kazi yake??

kwani hujui matumizi yake bi shosti?
 
Lisa ulikuwa mtaa gani? Na sasa hv uko wapi?
Mm niko Kibasila karibu tu na Shebby school Nyani Ngabu huyo kasoma Shaban Robert kwao mkoani

Boflo mie nilikua mtaa wa mazengo karibia na ule ubalozi wa Iran!
 
Last edited by a moderator:
Boflo mie nilikua mtaa wa mazengo karibia na ule ubalozi wa Iran!
Napajua saaaana ww ni jirani yangu kabisa, hebu njoo utembee bwana siku moja, na yule bibi wa
kihindi bi Rabia bibi yake Nyani Ngabu ameshakufa kitamb
 
ni kazi ya uumbaji tu wa Mungu, so acha Mungu aitwe Mungu
Kwa nini wanaume wana chuchu??


Viungo vyote tulivyo navyo vina kazi maalum,

lakini sijajua kwa nini men wawe na chuchu, nini kazi yake??
 
Bnadam anapokua 2mboni ktk stage za mwanzo anakua bado hana jnsia xo dume,jike wote wanakua na chuchu
 
Chuchu za kiume ukimkuta anaejua kuzitumia ipasavyo ungeomba utamu uzidishwe kidogo!!!
kuna wanawake wabunifu bwana!!! kwa hiyo mkuu zina kazi mahsusi zile.
 
Bnadam anapokua 2mboni ktk stage za mwanzo anakua bado hana jnsia xo dume,jike wote wanakua na chuchu
madmankache hongera sana umepata, jibu nilikuwa nalijua
lakini nilikuwa nawa test wana jf kama kweli ni
magreat thinkers kumbe wote hawakuwa na jibu
isipokuwa wewe peke yako,unastahili kupewa tunzo
maalum
 
Last edited by a moderator:
Nyani namkumbuka Sana rabia alikuwa anapita Sana mazengo
 
Back
Top Bottom