Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Mi sio mpenzi sana wa filamu za bongo,lakini ikitokea siku nisipoiona dictionary yangu huwa naangalia filamu za bongo,sasa katika kuangalia hzi movie zetu kati ya movie zote nilizoangalia ikifika scene ya kufanya mapenzi huwa hamna chochote kinachoashiria kama wanafanya mapenzi kweli hapa mara nyingi huwa artificial,
na hawauvai uhusika halisi unaona kabisa kuwa hawa watu wanaigiza na kuwa hawapo real yoo..Hapo mpo kazini bana onesheni uhasilia,yoo
na hawauvai uhusika halisi unaona kabisa kuwa hawa watu wanaigiza na kuwa hawapo real yoo..Hapo mpo kazini bana onesheni uhasilia,yoo