kwa nini wachaga wengi hawajui kuongea

jamani mimi nafanya shunghuli mbalimbali kwa kushiriana na ndugu zetu wachaga
nimegundua wachaga wengi hasa wanaume hawajui kuongea,
maana yangu ni kwamba hawana uwezo wa kuongea kama watu wa pwani,
kwa wachache waliogundua hilo huwa wanakaa kimya mbele za watu,
lakini cha kushangaza hao hao wachaga wanatumia akili nyingi sana kuliko wale wanaojua kuongea,
kama mnajua hilo naombeni mnijuze zaidi

let me start by saying,.."great talkers are great liars"
so nionavyo mimi ni kwamba wachagga ni wa kweli na huongea kitu wanachokiamini na walichokifanyia uchunguzi kwa mda.
ila watu wa pwani wengi wao ni waongeaji,niwaongo na wambea sana na hawafanyii jambo utafiti kabla ya kulisema.
 
huyu hamjamshtukia amezoea kutongozwa pwani sasa amekuja kukaa na wachaga hawajui hiyo kitu,ameongea kiutu uzima.
kaka kama hiyo kitu inawasha nakushauri urudi pwani kwa wachaga itachacha.
besa mbele meku.
 
kama umesoma kiswahili kuna ktu knaitwa lahaja yan dialect....Na hii husababshwa na factor moja kubwa ambayo n eneo au geographcal dfferenc....kwa hyo kutokana na tofaut ya kmaeneo kat ya wachaga na wa2 wa pwan hii imesababsha tofaut ya uzungumzaj yaan lafudh na hata misamiat
 
Me narudia kusema: ikipita siku mchaga hajatajwa hapa JF server itazimika? Tuacheni bwana, wajanja sisi, wasomi, washamba, matajiri na kila kadhia ni sisi wachaga tu? Ila ths means without wachaga JF na Tanzania kwa ujumla it means nothing eeh? Proudly chagga!
 
Me narudia kusema: ikipita siku mchaga hajatajwa hapa JF server itazimika? Tuacheni bwana, wajanja sisi, wasomi, washamba, matajiri na kila kadhia ni sisi wachaga tu? Ila ths means without wachaga JF na Tanzania kwa ujumla it means nothing eeh? Proudly chagga!
Asante mkuu sichangii tena, umeniwakilisha!
 
jamani mimi nafanya shunghuli mbalimbali kwa kushiriana na ndugu zetu wachaga
nimegundua wachaga wengi hasa wanaume hawajui kuongea,
maana yangu ni kwamba hawana uwezo wa kuongea kama watu wa pwani,
kwa wachache waliogundua hilo huwa wanakaa kimya mbele za watu,
lakini cha kushangaza hao hao wachaga wanatumia akili nyingi sana kuliko wale wanaojua kuongea,
kama mnajua hilo naombeni mnijuze zaidi

Wewe HUJUI KUANDIKA!!
Nikiweka yote uliyoandika pamoja naelewa kwamba ulitaka kusema kwamba ''WACHAGGA HAWAPENDI KUONGEA.'' na sio hawajui na watu wa Pwani wanajua kwasbabu wanaongea sana!!

Kuongea sana sio kujua kuongea bali ni kupenda/kuzoea kuongea sana.
Na kutokuongea sana sio kutokujua kuongea bali ni kutopenda/kutokua na mazoea ya kuongea sana!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom