Kwa nini mwanandoa unaficha ficha simu

mrs j

Member
Jul 3, 2012
56
20
Kwa nini wewe mwanandoa ufiche fiche simu yako na kukataza partner wako asiwe na uhuru nayo kama hakuna uchafu tena mkubwa unaoficha na unaona ni haki yako kuuendeleza ili michepuko ione iko huru na unaijali zaidi na huyo mwenzio si chochote cha kukuzuia. Ole
 
simu ni privacy mtu na ndomana kila mtu anamiliki simu yake,

simu ni privacy for party time lovers..

Walio na mkataba wa kudumu simu si kitu. Sometimes wanabadilishana line for some hrs.

Privacy kwa mi jizi jizi.
 
Jamani mi nadhani ni vizuri kila mtu awe na uhuru na privacy yake na ndo maana ikaitwa privacy. Kuna mijitu yenye hila zao za moyoni...yanaweza kuanza kutuma tuma messages za ajabu ikawa tabu. Kila mtu awe na uhuru wake na simu ziwekwe password ikiwezekana.
 
Sisi twaweka meza moja ila ikipigwa ya wife siwezi kuangalia hata anayempigia ni nani endapo hata hayupo.

hujiamini, cm ya mkeo si bomu, kwamba ukipokea utalipukiwa.

Na unapofanya hvyo maana yake ni kwamba ''ASIJE JARIBU GUSA SIMU YAKO''

Maana yake ni,, kuna HIDEN AGENDA.

Kuwa huru tu.
Alafu mtu anaeridhia kuvulia utupu wake na imedhibitishwa kisheria na kidini.
Then what the hell is a phone.

AU NA SIMU ZIWEPO KTK VIAPO VYA NDOA..??,?
 
Simu ni private, lakini kwa wapendanao hakuna haja ya kuficha ama kuwekeana mipaka. Ila kama inawezekana si vizuri kuchukua simu ya mwenzio kwa ajili ya kuichunguza. Uaminifu katika mapenzi ni jambo jema sana inapendeza kila mmoja kuwa kwa mwenzake badala ya kuwa na mashaka. mashaka huletwa na mienendo
 
Simu ni private, lakini kwa wapendanao hakuna haja ya kuficha ama kuwekeana mipaka. Ila kama inawezekana si vizuri kuchukua simu ya mwenzio kwa ajili ya kuichunguza. Uaminifu katika mapenzi ni jambo jema sana inapendeza kila mmoja kuwa kwa mwenzake badala ya kuwa na mashaka. mashaka huletwa na mienendo

Uaminifu katika mahusiano huimarishwa na uwazi.

Kama simu inafichwa fichwa, uwazi uko wapi hapo? Haupo!

Na kwa nini ifichwe fichwe? Ina nini ndani yake?
 
Simu ni private, lakini kwa wapendanao hakuna haja ya kuficha ama kuwekeana mipaka. Ila kama inawezekana si vizuri kuchukua simu ya mwenzio kwa ajili ya kuichunguza. Uaminifu katika mapenzi ni jambo jema sana inapendeza kila mmoja kuwa kwa mwenzake badala ya kuwa na mashaka. mashaka huletwa na mienendo

Unapozungumzia neno ''KUICHUNGUZA'' wamaanisha nini??

Mimi binafsi sikamati cm ya mpenzi wangu for no reason,,

Labda kama IMEITA NA HAYUPO(I RECEIVE ON BEHALF)
AU KUNA APP. IPO KWAKE MIE SINA,THEN NATUMIA SIM YAKE.

NI UPUUZI KUSHIKA CM YA MPENZIO KWA KUHISI TU.,, MICHEPUKO. UPUUZI.
 
Kwa nini wewe mwanandoa
ufiche fiche simu yako na kukataza partner wako asiwe na uhuru nayo kama
hakuna uchafu tena mkubwa unaoficha na unaona ni haki yako kuuendeleza
ili michepuko ione iko huru na unaijali zaidi na huyo mwenzio si
chochote cha kukuzuia. Ole !

ndo maana kila mtu ana sim yake na siku zote unavhotafta kwenye sim ya mti kimo! sasa dhujudia uzimie
 
ndo maana kila mtu ana sim yake na siku zote unavhotafta kwenye sim ya mti kimo! sasa dhujudia uzimie

kilichokutuma kuwa na permanent partner ni nini kama hukua tayari kutulia mpaka unapata shida za kuficha ficha na kuibia ibia?
 
Uaminifu katika mahusiano huimarishwa na uwazi.

Kama simu inafichwa fichwa, uwazi uko wapi hapo? Haupo!

Na kwa nini ifichwe fichwe? Ina nini ndani yake?

nakubali uaminifu ni suala muhimun na huambatana na uwazi maana kama kukiwa na mazingira ya kuficha vitu, hisia za usaliti huanza kujitokeza. Lakini vile vile kumtilia mashaka mwenzi wako hutengeneza hisia kuwa humuamini na yeye anaweza kuanza kujenga hisia za kutokukuamini vile vile. Amini usiamini, suala la kupekua simu ya mwenzio kusoma message alizotuma ama kutumiwa halina afya ndani yake hata kidogo. kama kuna jambo anapenda kukushirikisha atakwambia na kwa kuwa unaamini kuwa hatakuficha lile ambalo angependa ujue. Tutabishana sana lakini mimi sioni sababu ya kuanza kupekenyua simu ya mke wangu kabisa. Kama nina nia ya dhati kuitumia simu kuandika message au kupiga, jitafanya hivyo lakini si kuanza ku-scroll message zote hadi pale nilipoishia jana...
 
Back
Top Bottom