Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,608
- 4,265
Mtu akificha sim yake n waz ana jambo baya hatak mwenzie ajue
hakuna sababu ya kuficha simu. Kufanya hivyo ni dhahiri kuna jambo unaficha. na hakuna sababu ya kupekua simu ya mwenzako kama na wewe unayo yako. Kufanya hivyo ni dhahiri kuna jambo unatafuta. Yote hayo mawili ni mabaya kwa mahusiano.