Ukiachana na Mastercard Voda wanakuruhusu kulipia Playstore kwa kutumia salio la kawaida (hii njia sio nzuri kabisa).
Ila Aritel ndio wanatumia Airtel Money kwenye Google Playstore directly. Ndio nnayo tumia mimi
Kuna Tigopesa pia. Ya Voda ndio ya kijinga sababu inakuataka uweke salio kwenye line na sio Mpesa directly.
View attachment 1825873