nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Amang'ana gaserikire; Mwisiki taatiga bungu bungu. Ila watani zangu hii tabia ni yenu hawajawasingizia. Ila navyojua hawaja m-dis huyu mdada totally ila lazima atafutiwe kaisiki toka tarime au bunda kama second wife.
Wa mjini nakubali hawafati hii mila; but have lots of people nao wajua walioolewa wake na wazazi wao vijijini na wakaishi nao. But as long as mnaona ni utamaduni bomba sioni shida; tatizo wadada mnaingia vichwa vichwa bila kuuliza. Watu wakileta uzi kuhusu kabila humu mnakimbilia kulalamika ooh ukabila.
Watu tuna data za makabila tungeweza kuwa rescue.
Wa mjini nakubali hawafati hii mila; but have lots of people nao wajua walioolewa wake na wazazi wao vijijini na wakaishi nao. But as long as mnaona ni utamaduni bomba sioni shida; tatizo wadada mnaingia vichwa vichwa bila kuuliza. Watu wakileta uzi kuhusu kabila humu mnakimbilia kulalamika ooh ukabila.
Watu tuna data za makabila tungeweza kuwa rescue.
Umurisya ono omokangi sana mura yani no obhokangi akogamba hao..wivu tu..kurya the great tribe we are proud of being kuryans..asietupenda ajinyonge...