Kwa nini kabila la Wakurya bado wana mila za kizamani za kuwachagulia watoto wao wake/waume?

Vituka

JF-Expert Member
Nov 9, 2011
2,257
1,247
Naombeni ushauri wana jammii. Nimeishi na mwanaume wa kikurya kwa miaka saba sasa na tuna mtoto mmoa. Familia ya mwanaume huyu ni ya ajabu sijawahi kuona!Ndugu na wazazi wake ni watu wa ajabu kiasi kwamba nashindwa kuelezea!Kilichonisikitisha ni kitendo cha kuzuia harusi iliyokuwa ifanyike mwisho wa mwaka huu, sababu eti kwanza mie msomi, pili kijana wao akinioa (sio mkurya mwenzie) basi wao watampoteza mtoto wao na hawatapata tena msaada toka kwake. Jamani hebi nipeni mawazo yenu, nifanyeje?
 
Ikishindikana ng'oa figa weka kitandani kwa mama mkwe hapo umewaweza hawakufukuzi ng'o. Mi mkurya najua mila na desturi zetu. Ila hao bado wako nyuma ya wakati maana siku hizi hayo mambo yamepungua sana ukuriani.
 
Naombeni ushauri wana jammii. Nimeishi na mwanaume wa kikurya kwa miaka saba sasa na tuna mtoto mmoa. Familia ya mwanaume huyu ni ya ajabu sijawahi kuona!Ndugu na wazazi wake ni watu wa ajabu kiasi kwamba nashindwa kuelezea!Kilichonisikitisha ni kitendo cha kuzuia harusi iliyokuwa ifanyike mwisho wa mwaka huu, sababu eti kwanza mie msomi, pili kijana wao akinioa (sio mkurya mwenzie) basi wao watampoteza mtoto wao na hawatapata tena msaada toka kwake. Jamani hebi nipeni mawazo yenu, nifanyeje?

Sikubaliani nawe kwani hayo unayoyasema ume-generalize tu.
 
Huo ni mfano hai ulonitokea mimi, nina mifano ya watu watano pia yamewatokea kama hayo!! To be honest, hili kabila bado linahitaji elimu! Angalia mfano wa female genital mutilation, bado wanapractice hayo mambo! Kweli nawaambia huyu mama mkwe mngepata kumuona physically I swear ungemchapa viboko! :hatari:
 
Ha ha ha, mama mkwe hana shukurani hata chembe!! Wiki moja kabla hajaleta hizo habari, nimemtumia Laki mbili amalize matatizo yake madogo madogo!Ntang'oa figa niweke kitanda na bado atantafia majambazi wani geche! Ha ha ha!
 
Huo ni mfano hai ulonitokea mimi, nina mifano ya watu watano pia yamewatokea kama hayo!! To be honest, hili kabila bado linahitaji elimu! Angalia mfano wa female genital mutilation, bado wanapractice hayo mambo! Kweli nawaambia huyu mama mkwe mngepata kumuona physically I swear ungemchapa viboko! :hatari:

They look like this........usually.....this is my own inlaw

600px-Kenyan_woman_(Kuria_tribe).jpg
 
Naombeni ushauri wana jammii. Nimeishi na mwanaume wa kikurya kwa miaka saba sasa na tuna mtoto mmoa. Familia ya mwanaume huyu ni ya ajabu sijawahi kuona!Ndugu na wazazi wake ni watu wa ajabu kiasi kwamba nashindwa kuelezea!Kilichonisikitisha ni kitendo cha kuzuia harusi iliyokuwa ifanyike mwisho wa mwaka huu, sababu eti kwanza mie msomi, pili kijana wao akinioa (sio mkurya mwenzie) basi wao watampoteza mtoto wao na hawatapata tena msaada toka kwake. Jamani hebi nipeni mawazo yenu, nifanyeje?

Hii tabia ya kuongelea kabila zima wakati tatizo ni la familia ya mme wako halikubaliki. Huu ni unyanyapaa au "stereotyping" kwa lugha ya wale wafadhili mashoga. Swali sahih lingekuwa "hivi kwa nini familia ya mme wangu wana mila za kizamani hivi"?
 
Naombeni ushauri wana jammii. Nimeishi na mwanaume wa kikurya kwa miaka saba sasa na tuna mtoto mmoa. Familia ya mwanaume huyu ni ya ajabu sijawahi kuona!Ndugu na wazazi wake ni watu wa ajabu kiasi kwamba nashindwa kuelezea!Kilichonisikitisha ni kitendo cha kuzuia harusi iliyokuwa ifanyike mwisho wa mwaka huu, sababu eti kwanza mie msomi, pili kijana wao akinioa (sio mkurya mwenzie) basi wao watampoteza mtoto wao na hawatapata tena msaada toka kwake. Jamani hebi nipeni mawazo yenu, nifanyeje?

hizo ni mila zao, ni utamaduni wao. na wao wanakushangaa wewe kwanini unataka kuolewa na "mkurya"?
wao wakiacha hizo mila manake kabila la wakurya litakuwa limepotea. tunawaita wakurya si yo kwasababu ni wakurya bali kwasababu ya identity yao, na moja ya identity yao ni hayo unayoyaona toka kwa hao wakwe zako.

tunnaposema tuwe makini kuchagua wenza wetu, hatumaanishi ukabila, tunamaanisha ku zuia vitu kama hivyo ambavyo kwa bahati mbaya vinatokea kwako leo
 
Hii tabia ya kuongelea kabila zima wakati tatizo ni la familia ya mme wako halikubaliki. Huu ni unyanyapaa au "stereotyping" kwa lugha ya wale wafadhili mashoga. Swali sahih lingekuwa "hivi kwa nini familia ya mme wangu wana mila za kizamani hivi"?[/QUO

Sio familia ya mume wangu tu, bali karibu jamii nzima ya wakurya wana hizo tabia!Hata kwa wale walioenda shule na wakaelimika bado wana zile chembe chembe za mila zao chafu!Mnahitaji ukombozi wa kifikra!Asante kwa mawazo yako.
 
hizo ni mila zao, ni utamaduni wao. na wao wanakushangaa wewe kwanini unataka kuolewa na "mkurya"?
wao wakiacha hizo mila manake kabila la wakurya litakuwa limepotea. tunawaita wakurya si yo kwasababu ni wakurya bali kwasababu ya identity yao, na moja ya identity yao ni hayo unayoyaona toka kwa hao wakwe zako.

tunnaposema tuwe makini kuchagua wenza wetu, hatumaanishi ukabila, tunamaanisha ku zuia vitu kama hivyo ambavyo kwa bahati mbaya vinatokea kwako leo

Kwa karne hii ya 21 sidhani kama bao tunatakiwa kukumbatia mila na destury za aina hii, sio kwa wakrya tu hata kwa makabila mengine. Hata sisi pia makabila yetu yalikuwa na mila za aina hiyo ila kwa sasa wanajamii wameelimika na wameshachana na mila hizo.

Kwa mtindo huu, familia hii haitajikomboa kutoka katika utumwa wa fikra potofu na maendeleo kwao utakuwa ni msamiati kizazi hadi kizazi.
 
Huo ni mfano hai ulonitokea mimi, nina mifano ya watu watano pia yamewatokea kama hayo!! To be honest, hili kabila bado linahitaji elimu! Angalia mfano wa female genital mutilation, bado wanapractice hayo mambo! Kweli nawaambia huyu mama mkwe mngepata kumuona physically I swear ungemchapa viboko! :hatari:

Well at least umekuja na statistics kidogo. Kwa hiyo ukichukua wewe jumlisha hao wengine watano mnakuwa jumla watu sita. Sasa kama kweli uko objective unaweza kutumia mfano wa watu sita kuhukumu kabila zima lenye idadi ya watu takriban laki tano? Je kuna kabila nchi hii ambalo limeshiba elimu na halihitaji kabisa? Kwa taarifa yako female genital mutilation ni tatizo la makabila mengi tu hapa nchini we fanya utafiti mdogo tu utapata majibu.
 
Hii tabia ya kuongelea kabila zima wakati tatizo ni la familia ya mme wako halikubaliki. Huu ni unyanyapaa au "stereotyping" kwa lugha ya wale wafadhili mashoga. Swali sahih lingekuwa "hivi kwa nini familia ya mme wangu wana mila za kizamani hivi"?[/QUO

Sio familia ya mume wangu tu, bali karibu jamii nzima ya wakurya wana hizo tabia!Hata kwa wale walioenda shule na wakaelimika bado wana zile chembe chembe za mila zao chafu!Mnahitaji ukombozi wa kifikra!Asante kwa mawazo yako.

Sio kweli fanya utafiti zaidi mama utafunguka macho. Wakurya uliokutana nao au kuwafahamu ni wachache mno kuweza kufikia conclusion uliyoifikia.
 
Ikishindikana ng'oa figa weka kitandani kwa mama mkwe hapo umewaweza hawakufukuzi ng'o. Mi mkurya najua mila na desturi zetu. Ila hao bado wako nyuma ya wakati maana siku hizi hayo mambo yamepungua sana ukuriani.

wewe siyo mukurya,nyakebhono,unatuharibia mila zetu urumurisya/oghosaghane.
 
hizo ni mila zao, ni utamaduni wao. na wao wanakushangaa wewe kwanini unataka kuolewa na "mkurya"?
wao wakiacha hizo mila manake kabila la wakurya litakuwa limepotea. tunawaita wakurya si yo kwasababu ni wakurya bali kwasababu ya identity yao, na moja ya identity yao ni hayo unayoyaona toka kwa hao wakwe zako.

tunnaposema tuwe makini kuchagua wenza wetu, hatumaanishi ukabila, tunamaanisha ku zuia vitu kama hivyo ambavyo kwa bahati mbaya vinatokea kwako leo

thanks ! Mkuu..kwani si ukaolewe na mchagga mwenzio? Na jf trust me,huyu dada ni mchagga tu,wakurya na wachaga ni vitu viwili tofauti sana linapokuja suala la ndoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom