Anashindana na nani ndugu chawa?Huu uchaguzi samia anashinda asubuhi kabisa
CCM ina wanachama 14m+..wanaosombwa siyo chadema ni CCMkusombwa na malori
Nashangaa sana. Nadhani kuna watu wanadhani kuwa JF ni representative ya wananchi wa Tanzania. Watanzania walioko JF sidhani hata laki 5 wanafika, hapo kuna multiple IDs kibao!!!! Sasa hata tukitoa nusu ya population ya Tanzania kama watoto na wazee ambao pengine hawafuatilii mambo ya siasa. What is laki 5 kwa watu 32 million waliobaki??? Hata watu kwenye JF siyo wote wanaomkubali huyo Polepole.Hv mnafahamu kuna watu hawamjui Kabisa huyo polepole?
Ila Ukiingia huku sasa....yan unahisi Kabisa kesho haifiki nchi inawaka moto
Kibichwa dungu
Yanga sio?😀😀😀Mbele daima nyuma mwiko, tunaenda na mama!
Hao ni nyumbu tuShalom
Sikutegemea kuona umati kama ule ukijitokeza kumpokea mgombea wa CCM kwa kiasi kile.
Watanzania tuwaeleweje? Kwamba Polepole hamumsikii?... Hamumuelewi au!!
Kujazana vile kwenye mikutano ya CCM mnatupa ujumbe gani Watanzania wenzenu tusio na upande?
Naogopa
Wanatumia watoto wadogo ili tu wajaze uwanja then what 😪😪😪 ila Tanzania mhhh!chadema ni imani za watu! Unakataa nini? Ona mnachokifanya kwa watoto wa shule
masikitiko makubwa, tunaisikitia nchi yetuWanatumia watoto wadogo ili tu wajaze uwanja then what 😪😪😪 ila Tanzania mhhh!
Niliwai kusema hali ya nchi mitandaoni na tafauti sana na hali ilivyo mtaani.CHADEMA tulikosea kuzila uchaguziHv mnafahamu kuna watu hawamjui Kabisa huyo polepole?
Ila Ukiingia huku sasa....yan unahisi Kabisa kesho haifiki nchi inawaka moto
Oktoba tunatiki ✅✅✅Mnajitekenya na kuchela wenyewe