Cesar Saint
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 424
- 725
Hivi kwanini huwa mnashindwa kufuata guidelines za kuomba au kutangaza uhitaji wa ajira za JF ,Tangazo lako likitolewa hapa utaona umeonewa kama maelekezo ya kawaida tu haya unashindwa kufuata utaweza kutunza kazi pamoja na chombo .
Kama uko serious na udereva nenda NIT kasome utapata kazi ya uhakika
Kama uko serious na udereva nenda NIT kasome utapata kazi ya uhakika