Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,329
mkuu tatizo watu wasipokuwa nao ,wanachukulia ukimwi kitu rahisi rahisi!
Duh! Kapime tu kiongozi wangu! Ivi unajua hofu ni adui kuliko huo ukimwi wenyewe?
mkuu tatizo watu wasipokuwa nao ,wanachukulia ukimwi kitu rahisi rahisi!
Haya basi..Noted!:doh:
Sinziga mbona unamkomalia sana?
Muache apumue bhana!
Homa za mara kwa mara zisizoeleweka, dizzy, ujauzito kupotea after few month, kuchoka bila kufanya kazi, kijasho chembamba kinavuja, vichomi kila kona, hofu nyingi, mawazo yasiyokwisha, kupenda kuangalia mada nyingi hasa zinazohusu ukimwi, kufuatilia kwa karibu nani kakuambukiza, kuwa na wasiwasi, woga, kukata tamaa.
Aisee dalili ni nyingi sana ila ukishaanza kuharisha tu kwisha habari yako.
eti wadau kwa hapa dar, ni wapi wanatoa huduma nzuri ya upimaji ukimwi?(mpimaji awe wa kiume)
ahsanteni madokta!
Duh! ebwana eehHoma za mara kwa mara zisizoeleweka, dizzy, ujauzito kupotea after few month, kuchoka bila kufanya kazi, kijasho chembamba kinavuja, vichomi kila kona, hofu nyingi, mawazo yasiyokwisha, kupenda kuangalia mada nyingi hasa zinazohusu ukimwi, kufuatilia kwa karibu nani kakuambukiza, kuwa na wasiwasi, woga, kukata tamaa.
Aisee dalili ni nyingi sana ila ukishaanza kuharisha tu kwisha habari yako.
Achana na dalili kaka nenda kapime tu......afu siku hizi ukimwi watu wanapima kama mimba tu....kanunue HIV test....unajitoboa kimtindo kidoleni baada ya dk kama saba hivi utajielewa.
Kabla hujapima unahofu tu huenda umeambukizwa!! hapo ndipoo unapopenda kuchungulia hizo mada za UKIMWI huku ukichukua taswira yako na kucheki upepo kama kweli unao au lah.....sasa ukishapima ukajikuta muathirika ndo maneno yako yanapotimia hapo, kwamba hizo mada wanazikimbia coz zinawaongezea hofu, na hata mtu akifa hawaendi kuzika mpaka ajikubali na ile hali.Hapo kwenye kupenda kuangalia mada umeongea vice versa.Mtu mwenye HIV hapendi kabisa kusikiliza habari hizo kwani nyingi zinamuongezea hofu
Mkuu mi nataka kujua umegunduaje?mkuu hatuzungumzii mambo ya dozi hapa
mi nishagundua mzima kabisa ,tena niko kamili!
Hahaaaa hauna utando mweupe kwenye ulimi? Vp asubuhi ukiamuaka hauna tongotongo kubwa machoni? Mafua ama kikohozi cha haja kimepotea?hizo dalili zilizotolewa mimi hazijanikuta kwa asilimia kubwa
wakuu ahsanteni sana kwa kunipa matumaini, sasa nimepata nguvu na kujijua kuwa niko fresh kabisa..pia nina hakika huu uzi utawasaidia wengi walio na mashaka juu ya afya zao kabla hawajaamua kupima
nikipata nafasi itabidi niende kupima