:smile-big: yaani nimecheka sana huyu Majigo sijui kuna sehemu kapita anahisi sio salama yaani ukimpa ushauri wa kumpa moyo anaufurahia. Yaani Sizinga alisha mchanganya kabisaa!
Nakumbuka ile thread yake ya kuumwa koo watu walipoanza kuongelea kupima ukimwi alipinga hili swala vikali
? ? ? ! !
hahah;ushaliroweka wewe.....nenda kapime cd4 zako kama zipo chini ya 350 uanze dawa.sawa?
nahitaji kujua hili wakuu!
Nazani itakuwa msaada kwa wengi , maana ni swala linalotuzunguka sote!
dalili za mwanzo kabisa ni uchovu usioelezeka sababu yake ni nini, flu ambayo after few weeks inadisappear, homa, rushes, utando mweupe kwenye ulimi ambao hata ukipiga mswaki hautoki!! hizo ni baadhi ya dalili kuu za mwanzo mtu akiwa na virusi vya vvu
Hahaaa we jamaa wewe nouma sana, huo ugunduzi umeufanyia wapi?au hapa JF? tehe teheeeahsante mkuu!
Haina shida, nimegundua mi sina tatizo lolote!
Aisee sawa bhana mi nikafikiri kwamba unahisi unao kale kaugonjwa...isitoshe mwaka 2015 NATO watatangaza rasmi dawa na zitasambazwa kusini mwa Jangwa la Sahara...so usijinyonge mkuu..LOLmkuu Sizinga mi sina tatizo lolote, yaani niko fiti kama mashine ya kusaga vyuma vya pua!
ahsante mkuu!
Haina shida, nimegundua mi sina tatizo lolote!
Aisee sawa bhana mi nikafikiri kwamba unahisi unao kale kaugonjwa...isitoshe mwaka 2015 NATO watatangaza rasmi dawa na zitasambazwa kusini mwa Jangwa la Sahara...so usijinyonge mkuu..LOL
ha ha ha ha!chakula wakati mwingine kinabaki kwenye koo,hakishuki!nahitaji kujua hili wakuu!
Nazani itakuwa msaada kwa wengi , maana ni swala linalotuzunguka sote!
Hiyo sredi sikuwahi kuipitia ukiweza tupia link manake nipo na simu siezi pekuapekua mafrofile yake.