Kwa mtu mwenye HIV, Ni dalili gani za kwanza humpata, na huonekana baada ya muda gani?

Hivi inakuwaje kama mtu unawashwa Sana kuanzia chini ya kitovu hadi kwenye mapaja unawashwa kinoma na kutoka viupele? Ebu nisaidieni
 
Tezi
Mleta mada anaulizia zile dalili za awali kabisa kuwa umepata VVU kabla hata ya CD4 kushuka.Niseme kwa ile miezi ya awali kabisa kabla hata ya magonjwa nyemelezi. Kumbuka magonjwa nyemelezi huanza pale CD4 zinaposhuka!!! Na ukumbuke kuwa kama unakula vizuri CD4 zako zinaweza kudumu hata miaka kumi bila kuonesha dalili kabisa ya ukimwi. Cha msingi kwa wale ambao say jana walipata maambukizi je kuna dalili yoyote atakuwa nayo katika mwili wake hasa katika ku-adopt kuwahifadhi foreign agent katika mwili sasa? Maana wanaingia, sidhani kama wanaingia kimya kimya na wakishaingia wanajiweka sawa wanatulia wanaanza kuzaliana na kushambulia kinga ndiyo CD4 zinahusika sasa. Tafadhali wenye uelewa wa mambo haya hebu wasaidie.

Tezi zitavmba sehem mbalimbal za mwil ili kuwafilter hao wageni so vtu kama vile homa kikooz vnaweza jitokeza.
 
Dalili za mwanzo huwa ni non specific, may range from mafua, kuchoka, homa zisizo sababu na tezi za mwili kuvimba kisha hupotea, kuhusu mda hutegemeana na serotype ya kirusi but somd may take up 15yrs
 
Homa za mara kwa mara zisizoeleweka, dizzy, ujauzito kupotea after few month, kuchoka bila kufanya kazi, kijasho chembamba kinavuja, vichomi kila kona, hofu nyingi, mawazo yasiyokwisha, kupenda kuangalia mada nyingi hasa zinazohusu ukimwi, kufuatilia kwa karibu nani kakuambukiza, kuwa na wasiwasi, woga, kukata tamaa.
Aisee dalili ni nyingi sana ila ukishaanza kuharisha tu kwisha habari yako.

Acha uongo ujauzito unapoteaje?
 
Dalili ya Kwanza ni mafua, halafu huambatana na homa, Kisha vipele vidogo vidogo itategemea na afya yako
 
Aisee nimedadavua mbaya, ila watu naona wagumu kuzielwa.

Kama hujielewi basi 10% tayari unao, coz uchovu ni dalili mojawapo.
Hahah wanasemaga unapata mafua flani ya ghafla mwanzoni kabisa ila yatapita kuashiria kinga imeanza kuvamiwa.

Baada ya muda kidogo utaanza kusikia hali ya misuli imechoka mda wote na uchovu sana hata kama we sio mtu wa activity sana ila ukitembea kidogo tu unachoka balaa na misuli kuvuta. Design kama utajikuta umepoteza stamina.

Kingine ni skin rash, utaanza kuona unapata patches flani kwenye ngozi kama mapunye ila sio mapunye exactly na wala hayaumi. Inaeza kuwa cluster ya vipele ambavyo vidogo dogo sana vinakauka na kutoa unga unga kama mba ila haviumi hasa mikononi!

Hayo ni machache kwa mujibu wa madaktari wazoefu!
 
We ushaikanyaga miwayer usijipe moyo...kapime usiue wenzio
dah! Hizo dalili zako kidogo zinatuletea utata ila mimi sina mafua na huo utando, pia nimeshajua sina tatizo lolote... bali ni kauchovu ka kawaida tu!
 
Back
Top Bottom