Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,911
mmh, kupima nae kaz kweli umiona bora upimie hum
mmh, kupima nae kaz kweli umiona bora upimie hum
Mleta mada anaulizia zile dalili za awali kabisa kuwa umepata VVU kabla hata ya CD4 kushuka.Niseme kwa ile miezi ya awali kabisa kabla hata ya magonjwa nyemelezi. Kumbuka magonjwa nyemelezi huanza pale CD4 zinaposhuka!!! Na ukumbuke kuwa kama unakula vizuri CD4 zako zinaweza kudumu hata miaka kumi bila kuonesha dalili kabisa ya ukimwi. Cha msingi kwa wale ambao say jana walipata maambukizi je kuna dalili yoyote atakuwa nayo katika mwili wake hasa katika ku-adopt kuwahifadhi foreign agent katika mwili sasa? Maana wanaingia, sidhani kama wanaingia kimya kimya na wakishaingia wanajiweka sawa wanatulia wanaanza kuzaliana na kushambulia kinga ndiyo CD4 zinahusika sasa. Tafadhali wenye uelewa wa mambo haya hebu wasaidie.
Homa za mara kwa mara zisizoeleweka, dizzy, ujauzito kupotea after few month, kuchoka bila kufanya kazi, kijasho chembamba kinavuja, vichomi kila kona, hofu nyingi, mawazo yasiyokwisha, kupenda kuangalia mada nyingi hasa zinazohusu ukimwi, kufuatilia kwa karibu nani kakuambukiza, kuwa na wasiwasi, woga, kukata tamaa.
Aisee dalili ni nyingi sana ila ukishaanza kuharisha tu kwisha habari yako.
KunakuwajeAlwayz mdomo huanza kushambuliwa mapema kabisa!!
Msituzinguwe na dalili dalili!! Kila ugojwa ni dalili za ukimwi. Msituweke matumbo joto kwa sisi wenye vikoozi visivyo pona. Mara uchovu, mara nini!!! Mkome
Dah. Tunacheka ila Sio mazuri hayadah! Hizo dalili zako kidogo zinatuletea utata ila mimi sina mafua na huo utando, pia nimeshajua sina tatizo lolote... bali ni kauchovu ka kawaida tu!
Kinamna gani,,?Alwayz mdomo huanza kushambuliwa mapema kabisa!!
Hahah wanasemaga unapata mafua flani ya ghafla mwanzoni kabisa ila yatapita kuashiria kinga imeanza kuvamiwa.Aisee nimedadavua mbaya, ila watu naona wagumu kuzielwa.
Kama hujielewi basi 10% tayari unao, coz uchovu ni dalili mojawapo.
dah! Hizo dalili zako kidogo zinatuletea utata ila mimi sina mafua na huo utando, pia nimeshajua sina tatizo lolote... bali ni kauchovu ka kawaida tu!
Kutamani kuvaa koti zito hata kama joto ni nyuzi 40C
Hahah ajitambue kwani dawa tayari?Kwani uyu kijana mwenzetu anashindwa nn kwenda Angaza?BORA KUJITAMBUA KULIKO KUJISUMBUA BEST.