Hofu ya kupata HIV baada ya kufanya ngono nzembe na mdada niliekutana nae siku 1

charlesfundi

Senior Member
Jun 5, 2017
197
242
Habarini wna JF ni matumaini yangu nyote ni wazima wa afya tele, ningependa ku share hii experience wakati nikiendelea kuishi kwa hofu sana baada ya kukutana na mdada ambae ni muathirika baada ya kumpima.

Story iko hivi nilikutana na mdada sehemu akiwa na rafiki yangu pamoja pia na dem wa rafiki yangu sasa baada ya kutambulishana ikawa ni kama pair tukaanza kupiga mvinyo baada ya masaa kadhaa rafiki yangu akaondoka na dem wake akaniacha mimi na huyu dem mwingine na sisi baada ya muda tukaondoka nimefika gheto ilikuwa kama saa 11 hivi asubuhi nikamuuliza kama ana kondom akasema hana na mimi nilikuwa sina nikaingiwa na pepo la tamaa nikajikuta nimekula kavu round ya kwanza na pili.

Sasa baada ya kufanya hivyo yule dada akalala lakini mimi sikupata usingizi, majuto yakaanza kwanini umefanya hivi hapo hapo akili ikaniijia tafuta vipimo umpime kabla hajaondoka nikaagiza boda nikamwambia hebu nitafutie vipimo kokote kule kweli akavipata akaniletea aisee kumwambia kupima akaanza story mara ooh naogopa, sijapima muda mrefu mara anza wewe nikajua hapa kuna kitu nikamchenjia akakubali aisee ile kupima vipimo vyote tukaviweka mbele wakuu nilibaki nimepigwa na butwaa mithili ya kupigwa short na umeme mkubwa kucheki kipimo cha dem kawaka nilichanganyikiwa nikaanza kuwapigia marafiki ma dockta namna naweza pata msaada.

Ndio mmoja wa madakitari marafiki zangu kunishauri nianze PEP so baada ya kufanya ngono zembe baada ya masaa kama nane hivi nikaanza dozi ya PEP mpaka sasa naendelea nayo.

Ila funzo kwetu sisi vijana ambao bado tunapambana tuwe makini, aisee unaweza pote chap na kwa muda mfupi tu tusipende miteremko umeona dem tu kwasababu kajaa na wewe unamuamini, ni hayo tu wakuu nimejifunza na nimekoma.

Asanteni sana kwa kusoma muda huo naendelea kusubiria zifike siku 28 nipime.
 
Habarini wna JF ni matumaini yangu nyote ni wazima wa afya tele, ningependa ku share hii experience wakati nikiendelea kuishi kwa hofu sana baada ya kukutana na mdada ambae ni muathirika baada ya kumpima.

Story iko hivi nilikutana na mdada sehemu akiwa na rafiki yangu pamoja pia na dem wa rafiki yangu sasa baada ya kutambulishana ikawa ni kama pair tukaanza kupiga mvinyo baada ya masaa kadhaa rafiki yangu akaondoka na dem wake akaniacha mimi na huyu dem mwingine na sisi baada ya muda tukaondoka nimefika gheto ilikuwa kama saa 11 hivi asubuhi nikamuuliza kama ana kondom akasema hana na mimi nilikuwa sina nikaingiwa na pepo la tamaa nikajikuta nimekula kavu round ya kwanza na pili.

Sasa baada ya kufanya hivyo yule dada akalala lakini mimi sikupata usingizi, majuto yakaanza kwanini umefanya hivi hapo hapo akili ikaniijia tafuta vipimo umpime kabla hajaondoka nikaagiza boda nikamwambia hebu nitafutie vipimo kokote kule kweli akavipata akaniletea aisee kumwambia kupima akaanza story mara ooh naogopa, sijapima muda mrefu mara anza wewe nikajua hapa kuna kitu nikamchenjia akakubali aisee ile kupima vipimo vyote tukaviweka mbele wakuu nilibaki nimepigwa na butwaa mithili ya kupigwa short na umeme mkubwa kucheki kipimo cha dem kawaka nilichanganyikiwa nikaanza kuwapigia marafiki ma dockta namna naweza pata msaada.

Ndio mmoja wa madakitari marafiki zangu kunishauri nianze PEP so baada ya kufanya ngono zembe baada ya masaa kama nane hivi nikaanza dozi ya PEP mpaka sasa naendelea nayo.

Ila funzo kwetu sisi vijana ambao bado tunapambana tuwe makini, aisee unaweza pote chap na kwa muda mfupi tu tusipende miteremko umeona dem tu kwasababu kajaa na wewe unamuamini, ni hayo tu wakuu nimejifunza na nimekoma.

Asanteni sana kwa kusoma muda huo naendelea kusubiria zifike siku 28 nipime.

punyeto haina kuambukiza maradhi labda kujiripua
 
Back
Top Bottom