Ku-ghost Mpenzi wako ni tabia ya kuzaliwa au hali inayotengenezwa?

fundinaizer

JF-Expert Member
Dec 15, 2016
1,725
2,630
Wakuu mpaka muda naandika thread hii nimejikuta najiuliza kinachonisibu kwa sasa.

Kwanza kabisa neno Ghosting :Ni ile hali ya kukatiza ghafla mawasiliano na mtu bila taarifa wala kumuandaa huyo mtu kisaikolojia.

Tuendele...
Mimi nimekuwa na mahusiano na wanawake ila najikuta nawa-ghost kiasi nimejishtukia na kujiuliza hivi hii hali huwa ni tabia ya kuzaliwa nayo pyschologically au humpata mtu anapopitia tukio kubwa la kuumizwa kihisia?

Maana nikili tu kuwa kuna single mother mmoja nilitokea kumpenda sana ila nilipogundua ameanza mipango mipya na ex baby dady wake tuligombana mno kiasi nilipata shida kumsahau na baada ya hapo nimekuwa na relations ambazo nakata mawasiliano ghafla na bila sababu na mhusika akituma msg au calls sipokei na sijiskii kabisa kuwasiliana naye yani hiyo hali inatokea kbs kipindi nahitaji Kampani kihisia ila ndo nakausha mpka anaacha ninakuja ku-fall kwa mwingine nae baada ya muda inajirudia.

Naamini kuna wajuzi humu au watu wanayopitia hii hali , naamini nitaambulia chochote.

NB: Sifanyi makusudi yani inatokea ghafla na huwa sihitaji kuwasiliana ili hali muda huo nahitaji ushirikiano wake kihisia.

Pia Ku-ghost mtu kwa makusudi ni mbaya maana humuumiza mtu kihisia akiwa anakupenda.
 
we unashida ya kisaikolojia moyo wako ushakufa tayari unaishi kama huna kitu cha kupoteza ivi na bado hujui unachokitafta kwenye maisha yako na ukiendelea na hiyo Tabia atakaye kua ana umia ni wew sio ao unao waacha gafla na ukija shutka utakuta umepoteza mda wako mwingi bila kuwa na kitu chochote ulichofanya kwenye maisha yako ushauri wa Bure pona kwanza vidonda vyako kwenye Moyo Ndio Urudi kweny mapenz
 
we unashida ya kisaikolojia moyo wako ushakufa tayari unaishi kama huna kitu cha kupoteza ivi na bado hujui unachokitafta kwenye maisha yako na ukiendelea na hiyo Tabia atakaye kua ana umia ni wew sio ao unao waacha gafla na ukija shutka utakuta umepoteza mda wako mwingi bila kuwa na kitu chochote ulichofanya kwenye maisha yako ushauri wa Bure pona kwanza vidonda vyako kwenye Moyo Ndio Urudi kweny mapenz
Nimelipokea nitajitahidi kuyafanyia kazi
 
Inawezekana unakua usha tosheka/Umeshiba. Au kwa lugja nyingine ulicho kifata umekipata.

Next time unapo tafuta Mwenza, Fanya assignment yako Vizuri kwa kuhakikisha huyo mtu ni Mpenzi & Rafiki kwako, yaani mtu ambae leo hii elon musk akisema kuna siti 2 tu za Waafrika kwenda Kuish Mars na ww ni mmoja ongeza mwingine bc bila kuwaza moyo na akili vyako kwa pamoja vinamchagua hyo.

Otherwise, kula, ghost, tembea mpaka uje kurogwa na hao mamanzi mnao waumiza kihisia
 
Wakuu mpaka muda naandika thread hii nimejikuta najiuliza kinachonisibu kwa sasa.

Kwanza kabisa neno Ghosting :Ni ile hali ya kukatiza ghafla mawasiliano na mtu bila taarifa wala kumuandaa huyo mtu kisaikolojia.

Tuendele...
Mimi nimekuwa na mahusiano na wanawake ila najikuta nawa-ghost kiasi nimejishtukia na kujiuliza hivi hii hali huwa ni tabia ya kuzaliwa nayo pyschologically au humpata mtu anapopitia tukio kubwa la kuumizwa kihisia?

Maana nikili tu kuwa kuna single mother mmoja nilitokea kumpenda sana ila nilipogundua ameanza mipango mipya na ex baby dady wake tuligombana mno kiasi nilipata shida kumsahau na baada ya hapo nimekuwa na relations ambazo nakata mawasiliano ghafla na bila sababu na mhusika akituma msg au calls sipokei na sijiskii kabisa kuwasiliana naye yani hiyo hali inatokea kbs kipindi nahitaji Kampani kihisia ila ndo nakausha mpka anaacha ninakuja ku-fall kwa mwingine nae baada ya muda inajirudia.

Naamini kuna wajuzi humu au watu wanayopitia hii hali , naamini nitaambulia chochote.

NB: Sifanyi makusudi yani inatokea ghafla na huwa sihitaji kuwasiliana ili hali muda huo nahitaji ushirikiano wake kihisia.

Pia Ku-ghost mtu kwa makusudi ni mbaya maana humuumiza mtu kihisia akiwa anakupenda.
First unaanzisha mahusiano wakati huja heal emotionaly. Pili una experience ptsd , ile trauma ya ulichokutana nacho haijaondoka, is why mwanamke akianza kuwa karibu na wewe brain yako ina trigger mechanism hiyo ili kujilinda damage isijetokea tena.

Achana na dating kwa sasa pumzika jenga life lako, until utakapo recover
 
Inawezekana unakua usha tosheka/Umeshiba. Au kwa lugja nyingine ulicho kifata umekipata.

Next time unapo tafuta Mwenza, Fanya assignment yako Vizuri kwa kuhakikisha huyo mtu ni Mpenzi & Rafiki kwako, yaani mtu ambae leo hii elon musk akisema kuna siti 2 tu za Waafrika kwenda Kuish Mars na ww ni mmoja ongeza mwingine bc bila kuwaza moyo na akili vyako kwa pamoja vinamchagua hyo.

Otherwise, kula, ghost, tembea mpaka uje kurogwa na hao mamanzi mnao waumiza kihisia
Hapo kwenye kutosheka /kushiba hapana mkuu nimerudia mara nyingi kwenye uzi nakua namhitaji kihisia lakini ndo najikuta ghafla naacha kuchekiana naye na asipokuja /kuweka ukaribu kwenye hiyo hali ndo basi tena hivyo..

Nimeupokea ushauri wako mkuu
 
First unaanzisha mahusiano wakati huja heal emotionaly. Pili una experience ptsd , ile trauma ya ulichokutana nacho haijaondoka, is why mwanamke akianza kuwa karibu na wewe brain yako ina trigger mechanism hiyo ili kujilinda damage isijetokea tena.

Achana na dating kwa sasa pumzika jenga life lako, until utakapo recover
Umejibu kitaalam zaidi mkuu naungana na ww yule mtu imeniwia ugumu kumsahau ( sio kwenye mambo ya bed) bali alikuwa kama soul mate yani kila nachokiwaza alikuwa kama yupo kichwani..smart na zaidi ya rafiki ila duh .

Naungana na ww bora nitulie kwanza! Shukrani
 
Back
Top Bottom