Nahitaji kujua hili wakuu!
Nazani itakuwa msaada kwa wengi , maana ni swala linalotuzunguka sote!
Hapana chezeya Ukwimi aka Ngoma, Moto, Mawaya. Kuna jamaa yangu nilikutana naye baada ya kitambo kidogo. Ile rangi yake nyeupe na ngavu imebadilika kama mtu aliye unguzwa na radi
Homa kali, mafua vidonda kwenye koo,matezi(tonsils) na mengineyo. Ukitumia dawa hautapona wala kupata nafuu, bali utapona pale tuu kinga zako zitakapoweza kufight maambikuzi mapya yaliyoingia mwilini. Hivi dalili utaanza kuziona wiki ya pili hadi ya nane baada ya maambukizi na pia uwezekano wa kutoziona hizi dalili upo na ukawa umepata maambukizi
Sent from my iPad using JamiiForums
oooh! Ahsante sana mkuu! Kiukweli mimi hakuna hata moja ya dalili nilizoziona kati ya hizo ulizoorodhesha, pia nafurahi kukwambia kuwa mpaka sasa nina wiki nne toka nijishtukie
ila hapo uliposema si lazima kuonesha hizo dalili na ukawa bado ni muathirika...umeniondoa ktk mood mkuu
ila nashukuru kwa maelezo yako!
Nahitaji kujua hili wakuu!
Nazani itakuwa msaada kwa wengi , maana ni swala linalotuzunguka sote!
hakuna dalili maana ukimwi sio ugonjwa..ni kinga tu inakuwa imeshuka iyo inafanya mtu aumwe vitu kama tb, malaria etc..dalili zitakuwa za malaria,tb etc
Nahitaji kujua hili wakuu!
Nazani itakuwa msaada kwa wengi , maana ni swala linalotuzunguka sote!
eti eeh!.......basi mi nitakuwa sina tatizo mkuu!
mkuu mi sina tatizo, hujasoma maelezo ya mumak?
mkuu Sizinga mi sina tatizo lolote, yaani niko fiti kama mashine ya kusaga vyuma vya pua!
dah! Hizo dalili zako kidogo zinatuletea utata ila mimi sina mafua na huo utando, pia nimeshajua sina tatizo lolote... bali ni kauchovu ka kawaida tu!
ahsante mkuu!
Haina shida, nimegundua mi sina tatizo lolote!