Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

Si kweli kwamba kilimo wanakuwa katika kiwango cha daraja la kwanza hadi la tatu...cheti katika kilimo kwa sasa unatakiwa kuwa na D mbili za masomo ya Sayansi, na ni kigezo hichohicho kwa mwalimu wa cheti kwa upande wa sayansi.

Na mbona mwalimu mwenye digree analipwa kidogo wakati hakwenda na daraja la nne mahali popote? Kwa vigezo vya kujiunga hana tofauti na aliyejiunga kusoma degree ya sanaa ya jamii (BA Sociology) na huyu akienda kazini anaanza na mshahara mkubwa? Ni sera mbovu tu katika nchi yetu na si vinginevyo.

Mwisho ni kipi kianze, watu wanye madaraja ya kwanza kuanza kujiunga na ualimu ili wakitarajia mishahara yao kuwa mizuri au mishahara kuwa mizuri kwanza halafu ndiyo wenye madaraja ya kwanza wakajiunga na mafunzo kwa ualimu? Nahisi kipindi maslahi yatakapokuwa mazuri na waliofaulu watajiunga na profession hiyo iliyotelekezwa na serikali yetu tunayoipenda.
 
sasa km una div1 na ukaamua kusomea fani isiyolipa unalalamika nini mkuu???

Ulitaka watzania wote tuwe madaktari, Manesi mahakimu au maafisa kilimo? wengine ualimu ulikuwa damuni. tubaguen kw mantk hzo mtachek picha
 
hi vi unajua miaka tuliosoma sisi chuo kikuu kulikuwa na vyuo viwili tu SUA na UDSM pekee? watu walio soma CBG na PCB ulikuwa ukikosa Muhimbili kilichobaki ni Education tu? pia ukijaza form una pewa option 3 tu na utakayo chaguliwa ndiyo hiyo hiyo. ndiyo maana wengi walio soma PCB, CBG na PCM walikimbilia Bcom pale UDSM. tafuta kwenye financial institution nyingi hapa tanzania ambao wafanyakazi wake wengi wamesoma science.

aisee km ndo hivyo pole sn mkuu,lkn nadhan umeshahama huko umehamia sekta nyingine zinazolipa zaidi!
 
kwa mshahara huu kwa kweli ualimu ni wito.
 
Mkuu mbona unaongea as if walim wote nchini wana div3&4? Mimi nina BA ya ualim from Udsm na. O level na A level nilipata div 1. kote na nlitooka na gpa ya 3.4 na mwakani namalizia MBA! sio vizuri ww kuja na generalisation hapa kua walimwana. 4&3. wakati sio jambo la kweli.

lkn wengi walosomea ualim hawakupata div1,na ww km umepata div1 lkn ukasomea ualim basi ww una wito na hutakiwi kulalamika coz umejitakia mwenyewe kua mwalim,so piga kazi mkuu!
 
Wewe utakuwa ni tone la mafuta Baharini. Taaluma ya ualimu tunaijua na Sifa za kujiunga huko tunazifahamu ndugu yangu.

Usitake kumbishia sana ndugu yangu Nkyalomkonza, mi nilikuwa udsm 1998 - 2002 na marafiki zangu wengi waliokuwa wanasoma sayansi kwa masomo ya Physics na Maths au Chemistry na Biology na related sciences wa ualimu, walikuwa wengi na points nzuri tu kusoma kozi nyingine. Rafiki yangu mmoja alikuwa anasoma Physics na Chemistry na O-Level alikuwa na Div, 1 pts 13 halafu A-Level alikuwa na Pts 10 PCB. Huyu angeweza kuwa daktari au akawa mhasibu kwa vigezo vya wakati ule wa kusoma BCom, angeweza kusoma uhandisi pia kama sisi maana mimi nilikuwa na DvI O-Level 17 points na A-Level Pts 10 PCM na sikuzuiliwa kusomea uhandisi! Mjadala mkubwa ungekuwa ni kwa nini tunawalipa pesa kidogo walimu wetu? Mbona kuna mashule ya Private wanavuta hadi milioni moja na matokeo mnayaona? Na hawa wawe ni hao mnaowaita wa Division IV ni hakika ndiyo wanaofanya Private Schools ziwe na performance nzuri zaidi kuliko government schools. Nahisi mjadala unahitaji kujikita katika sera zaidi kuliko aina ya elimu maana hao wanaofanya vizuri katika shule za binafsi wamo katika hao. Na takwimu tunajua private sector kwa secondary school zinafanya vizuri kwa mbali kuliko public sector. Tuwe makini ni issue iliyo complicated kiasi.
 
Ijapokuwa hivyo viwango na tofauti ya mishahra sio sahihi, walimu ni kada ya wafanyakazi ambao wanakandamizwa kwa kila namna. Ndiyo maana kiwango cha elimu kinazidi kushuka kila kukicha. Njia nzuri ya kuboresha kiwango cha elimu ni kuwalipa walimu madai yao, kuwaboreshea mazingira yao ya kufanyia kazi na kuacha kuwadharau. Elimu haiwezi kuboreshwa kwa kuwaongezea walimu muda wa kufanya kazi au kutishia kuwafukuza kazi. Wala elimu haiwezi kuboreshwa kwa mbwembwe za BIG RESULTS NOW. Ni bora serikali ingeanzia kwenye BIG SALARIES NOW kabla ya kurukia ngonjera ya big results now. Huwezi kutegemea big results now katika mazingira ya low salaries now. Ingeleta maana zaidi kama mngeanzia big salaries now, halafu hiyo big results now ingekuja automatically. Kuwalazimisha walimu wafanye kazi mpaka saa 10 badala ya saa 9.30 kama ilivyokuwa mwanzo, ni sawa na kuzidi kuwakatisha taamaa zaidi. Lada kama hiyo extra half hour mngewalipa kama overtime. Mishahara yao iko chini halafu mje kuwaongezea muda wa kazi na kwa kuwalazimisha mnadhani kwamba matokeo yatakuwa bora zaidi ya yale ya mwaka jana. Subiri uone maajabu ya mwaka huu.
Nimekuwa nikongea na walimu mara kwa mara kuhusu uwezo wa wanafunzi wao wanaotarajiwa kuhitimu mwaka huu lakini wamekuwa wakinissitizia wazi kwamba matokeo ya mwaka huu yatakuwa mabaya zaidi ya yale ya mwaka jana.
 
nashukuru nilifanya masters fulani hivi ikanisaidia kubadili historia ya maisha yangu.
aisee km ndo hivyo pole sn mkuu,lkn nadhan umeshahama huko umehamia sekta nyingine zinazolipa zaidi!
 
Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

Hivi ni lini walimu waljiunga kwa DV IV acha kashfa wewe.Ualimu daraja la tatu sifa ni dv iii mwisho 27
 
nashukuru nilifanya masters fulani hivi ikanisaidia kubadili historia ya maisha yangu.

hongera sn mkuu!!ila kuna umuhim wa mishahara kwa watumishi wa umma kuongezwa,sio walim tu wenye mishahara duni!!
 
aisee km ndo hivyo pole sn mkuu,lkn nadhan umeshahama huko umehamia sekta nyingine zinazolipa zaidi!

So next time dogo ujipange kabla hujaanza juponda walim kua wana four. Sio ww unayesoma enzi hizi wakati kuna vyuo vikuu hadi vya kata! Watch your buccal cavity young man/woman...
 
nikweli kabisa. mishahara midogo maisha magumu usiombe. sijui kama kweli tutafika.
hongera sn mkuu!!ila kuna umuhim wa mishahara kwa watumishi wa umma kuongezwa,sio walim tu wenye mishahara duni!!
 
kwa mujibu wa waraka wa watumishi wa serikali Na 1. Wa mwaka 2013, wenye Kumb. Na.CAC.205/228/01/C/14 wa Julai 2, 2013 uliosainiwa na Katibu mkuu Utumishi Ndugu George D. Yambeshi. Unaoonyesha marekebisho ya mishahara kwa watumishi wa serikali. Katika waraka huu unaendelea kudidimiza kada ya ualimu kulingana na kada zingine kama vile kada ya afya, sheria na kilimo na utafiti ambapo kada hizi hulipwa mishahara mikubwa kuliko ya walimu.

mkuu tutashukuru sana kama utatuambatishia waraka huo ili tuone ukweli wa mambo, kwani itakuwa zana ya kuitumia

je kada zingine wao mishahara yao ikoje nao

NGAZI YA ELIMUUALIMU/ ELIMUKILIMOAFYA
Certificate (Cheti)Tsh 344,000/=Tsh 1,060,000/=Tsh 562,000/=
Diploma (Stashahada)Tsh 432,500/=Tsh 1,252,000/=Tsh 821,000/=
Degree (Shahada)Tsh 589,000/=Tsh 1,473,000/=Tsh 994,000/=

[TD="colspan: 4"] Jedwali hili ni kwa mujibu wa waraka huo uliotajwa hapo juu

[/TD]

tunashukuru mkuu kwa kazi nzuri

hebu tusaidie kututumia nakala ya waraka huo hapa ili tujue na taaluma zingine zimefikiriwa vipi

kweli maslahi ya wafanyakazi yana maana sana kwa mwajiri yeyote maana hawa ndio watatumiwa kusimamia na kuhesabu kura/mahesabu ya mwajiri, unategemea nn kama watakuwa hawajafurahishwa na maisha chini ya chama/mwajiri fulani
 
lkn wengi walosomea ualim hawakupata div1,na ww km umepata div1 lkn ukasomea ualim basi ww una wito na hutakiwi kulalamika coz umejitakia mwenyewe kua mwalim,so piga kazi mkuu!

Kwa taarifa yako kilichonifanya kusoma Education sio wito ila ni uchache wa vyuo kama ulivyokwisha kujibiwa kwenye posts zilizopita! Na ualim sio wito mkuu...hebu tafuta maana ya wito uielewe vizuri ili uache kuwa manipulate wana Jf.
 
lkn wengi walosomea ualim hawakupata div1,na ww km umepata div1 lkn ukasomea ualim basi ww una wito na hutakiwi kulalamika coz umejitakia mwenyewe kua mwalim,so piga kazi mkuu!

Uchache wa vyuo nso ulifanya wenfi tukasomea Education na sio wito ka unacyodai...Also you have to know that Ualim sio wito bali ni kazi.
 
Back
Top Bottom