Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

Samahani usi generalize , mimi nimeingia UDSM mwaka 2001 na point 8 CBG Bachelor of Science with Education, hivyo siyo walimu wote wenye IV naomba tutakane radhi.

km ulikua na point 8 nini kilichokufanya usomee ualim huku ukijua ualim haulipi?????
 
Hold on guys....hivi hadi vyuo vya diploma na degree za ualimu wanachykua div 4 kama baadhi ya wadau walivyopost kwenye posts zilizopita? For what i know ni kua diploma na degree wanachukua div 3,2&1 na vyuo vya ualimu wa chet ndo wanachukua div 4! Hebu tusipotoshe ukweli jamani....

diploma ya ualimu sifa ya kujiunga ni principal pass moja na subsidiary moja yaan ukipata div4.18 kwa alama E,S unasoma diploma na watu kibao wamepata ES div4.18 wapo vyuoni wanasoma diploma ya ualim
 
diploma ya ualimu sifa ya kujiunga ni principal pass moja na subsidiary moja yaan ukipata div4.18 kwa alama E,S unasoma diploma na watu kibao wamepata ES div4.18 wapo vyuoni wanasoma diploma ya ualim

kwa misingi hiyo ni kweli kwamba kimbilio la waliofeli ni UALIMU na UPOLISI.
 
si nafuu nyie waajiliwa...sisi wakulima je! wakati wa kwenda shamba nakwenda peke yangu na jembe langu!,wakati wa mavuno serikali inanitafuta inaniambia nilipie ushuru wa mageti....na sasa wameanza kutukata na za laini ya simu.....
 
Tatizo la waalimu wengi wanatarajia matokeo mwishoni yawe sawa na uku serikali inaangalia vyanzo vya elimu yenu!
Div 4......Ualimu na Div 3 za mwisho yani mtu ana ka pass au credit moja anataka awe sawa na mtu Div 1 au Div 2 wanaoenda Afya na law! jamani acheni mbwembe na wala msitumie wingi wenu kudai visivyowezekana serikal sio malofa hadi wawaweke kundi moja na Golden Boy!...nyie simefundishwa kwenye psychology kuhusu Golden boy, silver na IRON BOY! Hawa hamuwez kua sawa nao ata mfundishe uchi

.....Mama.ko mjinga wewe na kwa hayo mawazo yako ya kimaku lazma utakua pu.nga wewe %&#@!&?*.
 
Sifa za kujiunga na certificate ya afya ni div 4pts 28 awe na pass (D) ya physics, chemistry ya biology angalien website ya wizara. nenda kilimo uyole uangalie sifa za kujiunga na cert ya kilimo alafu walinganishe na walimu. cyo mnaongea kama walevi.
 
Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

....Acha ucho.ko wewe km hujui bora ukae kimya kuliko kuanika uma.ku hapa.
 
kwa mujibu wa waraka wa watumishi wa serikali na 1. Wa mwaka 2013, wenye kumb. na.cac.205/228/01/c/14 wa julai 2, 2013 uliosainiwa na katibu mkuu utumishi ndugu george d. Yambeshi. Unaoonyesha marekebisho ya mishahara kwa watumishi wa serikali. Katika waraka huu unaendelea kudidimiza kada ya ualimu kulingana na kada zingine kama vile kada ya afya, sheria na kilimo na utafiti ambapo kada hizi hulipwa mishahara mikubwa kuliko ya walimu.

ngazi ya elimuualimu/ elimukilimoafya
certificate (cheti)tsh 344,000/=tsh 1,060,000/=tsh 562,000/=
diploma (stashahada)tsh 432,500/=tsh 1,252,000/=tsh 821,000/=
degree (shahada)tsh 589,000/=tsh 1,473,000/=tsh 994,000/=

[td="colspan: 4"] jedwali hili ni kwa mujibu wa waraka huo uliotajwa hapo juu

[/td]

hapa ninachokiona ni kuongeza wajinga,waliopata wamepata,wanaokuja watakuwa wanapewa maksi za juu na bunge la muungano kama mwaka huu.
Baada ya kusema machache hapo juu naomba kutoa tafsiri ya ili wasioelewa waelewe vizuri sana;-mwalimu ndiye anatakiwa afundishe maafisa ugani na matabibu,kwa kuwa mwalimu amewekwa chini kanakwamba yeye ni byproduct tutegemee output kuwa ziro na hali ya maisha ya mtanzania kuwa mbaya,mikataba itasainiwa bila kuelewa,tutapasuliwa sana vichwa badala ya miguu,watakaochora zombi watakuwa wengi,wageni wataamisha mchanga kwa sana,richmond zitakuwa nyingi na mwisho tutauza ikulu.
Kama unalakuongezea matokeo yatakayoletwa na walimu kudharauliwa weka ubaoni mapema ilituamue kuchukua hatua.
 
acha kuishi kwa kukariri wewefala inamaa hakuna walimu wenye div 1,2,3 ?

mkuu acha waropoke km walevi wa viroba wana akili za kinchembanchemba. watu tuna 1 na 2 zetu tuliamua kufundisha wana2ta vilaza! Pinda zao.
 
Tatizo la msing tulilonalo Tanzania ndio hilo ndugu yangu nkyalomkonza. Mpaka hapo watu wa DIV I watapoingia ualimu, sioni namna mishahara ya waalimu itaboreshwa.

Ufumbuzi unaweza kuwa walimu wapate mishahara kama hiyo ya Kilimo kwa sharti kwamba wawe na daraja la kwanza au la pili katika elimu yao ya kidato cha nne. Najua itakuwa ngumu lakini lazima tujaribu. Mshahara wa Mwl mwenye degree pia iangalie matokeo yao ya kidato cha nne.

Ndio maana ukiangalia ajira ya Chuo Kikuu, Dar es Salaam, sio kwamba wanangalia tu elimu ya degree ya Masters au PhD - lazima matokeo ya kidato cha nne na cha sita yawe kiwango kinachotakiwa. Kwa maana hiyo mtu aliyejiendeleza au kuungaunga hawezi kuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu. Wengi wamekosa ajira kwa sababu hiyo. Hili linaweza kufanywa kwa walimu.

Lazima tu tufike mahali ualimu usiwe ni sehemu ya kwenda baada ya kukosa sehemu zote nyingine. Upo usemi mitaani siku nyingi kwamba lol amekosa hata ualimu!!

Mkuu acha kuwalisha KASA wenzio, ajira za chuo huangalia GPA ya first degree uper second 3.5-3.8 and above, ama GPA ya Masters B plus ambayo ni 4; haiwezekani mwenye first class bachelor asiajiliwe kisa matokeo yake ya secondary hayakuwa mazuri. Kumbuka wapo wahadhiri ambao walipitia njia za kujiendeleza wakiwa hata hawajapita secondary na ni vichwa hasa!

Tukirudi kwenye hoja, nadhani si haki kwa mtu wa kilimo kumzidi mtu wa afya achilia mbali uwiano mbaya uliopo hasa kwa huyo mwalimu wao aliye waweza wote kuwa walivyo
! Something must be done!
 
Hata mkiichagua chadema sidhan km ndio itawalipa walimu wenye shahada ya miaka 3 mshahara unaolingana na wa dokta mwenye degree ya jumla ya miaka6(5yrs coz+1yr internship)

pili,mtoa mada je unajua kua mshahara wa afisa utumishi,afisa tarafa,afisa ustawi wa jamii,afisa mtendaji kata nk ambao wana degree ya miaka3 km yakwako ww mwalim lkn mshahara wao ni mdogo kuliko wako ww mwalim mwenye TGTS-D?

Tembelea vzr huo waraka,angalia afisa utumishi,afisa ustawi wa jamii,afisa tawala,afisa tarafa nk anayeanza kaz kwa TGS-D na ww mwalimu unayeanza kaz na TGTS-D uone km hujawazid kiwango cha mshahara hao mafisa ambao fom6 walipata div1 na 2,lkn ww ulipata div3!!

Acheni kulalamika walim,watumishi wa umma wote salary ni finyu sio walimu tu!
 
hata ukiwa na div !,haukatazwi kusomea ualimu,kinachowakatisha tamaa watu wengi kusomea ualimu ni mishahara midogo,weka mishahara mikubwa katika sekta ya ualimu uone kama wa division one hwawatakwenda ualimu,zaman jeshi lilikuwa hivyohiovyo,ila now hata watu na degree zao wanakimbilia huko
Wewe utakuwa ni tone la mafuta Baharini. Taaluma ya ualimu tunaijua na Sifa za kujiunga huko tunazifahamu ndugu yangu.
 
mkuu acha waropoke km walevi wa viroba wana akili za kinchembanchemba. watu tuna 1 na 2 zetu tuliamua kufundisha wana2ta vilaza! Pinda zao.

sasa km una div1 na ukaamua kusomea fani isiyolipa unalalamika nini mkuu???
 
kwa mujibu wa waraka wa watumishi wa serikali Na 1. Wa mwaka 2013, wenye Kumb. Na.CAC.205/228/01/C/14 wa Julai 2, 2013 uliosainiwa na Katibu mkuu Utumishi Ndugu George D. Yambeshi. Unaoonyesha marekebisho ya mishahara kwa watumishi wa serikali. Katika waraka huu unaendelea kudidimiza kada ya ualimu kulingana na kada zingine kama vile kada ya afya, sheria na kilimo na utafiti ambapo kada hizi hulipwa mishahara mikubwa kuliko ya walimu.

NGAZI YA ELIMUUALIMU/ ELIMUKILIMOAFYA
Certificate (Cheti)Tsh 344,000/=Tsh 1,060,000/=Tsh 562,000/=
Diploma (Stashahada)Tsh 432,500/=Tsh 1,252,000/=Tsh 821,000/=
Degree (Shahada)Tsh 589,000/=Tsh 1,473,000/=Tsh 994,000/=

[TD="colspan: 4"] Jedwali hili ni kwa mujibu wa waraka huo uliotajwa hapo juu
[/TD]

Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

Mkuu tenda haki na uwe na aibu japo kidogo....

Kwamba wewe unaona ni sawa mwalimu mwenye shahada ya kwanza kulipwa karibu nusu ya mtu wa kilimo mwenye cheti??? Mtu mwenye shahada ya chuo kikuu alipwe pungufu ya mtu mwenye diploma ambaye labda hana sifa ya kujiunga na chuo kikuu??
 
Tatizo la msing tulilonalo Tanzania ndio hilo ndugu yangu nkyalomkonza. Mpaka hapo watu wa DIV I watapoingia ualimu, sioni namna mishahara ya waalimu itaboreshwa.

Ufumbuzi unaweza kuwa walimu wapate mishahara kama hiyo ya Kilimo kwa sharti kwamba wawe na daraja la kwanza au la pili katika elimu yao ya kidato cha nne. Najua itakuwa ngumu lakini lazima tujaribu. Mshahara wa Mwl mwenye degree pia iangalie matokeo yao ya kidato cha nne.

Ndio maana ukiangalia ajira ya Chuo Kikuu, Dar es Salaam, sio kwamba wanangalia tu elimu ya degree ya Masters au PhD - lazima matokeo ya kidato cha nne na cha sita yawe kiwango kinachotakiwa. Kwa maana hiyo mtu aliyejiendeleza au kuungaunga hawezi kuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu. Wengi wamekosa ajira kwa sababu hiyo. Hili linaweza kufanywa kwa walimu.

Lazima tu tufike mahali ualimu usiwe ni sehemu ya kwenda baada ya kukosa sehemu zote nyingine. Upo usemi mitaani siku nyingi kwamba lol amekosa hata ualimu!!

Unamfahamu Prof Geoffrey Mmari??
Alikuwa mwalimu wa shule ya sekondari lakini badae alikuja kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Sokoine, UDSM, OUT, Tumaini.
Mwenyekiti baraza la mitihani la Taifa, ni moja ya wasomi wanaoheshimika sana Tanzania na nje ya Tanzania. Lakini alianza kama mwalimu wa shule ya sekondari, aliunga-unga kama ulivoandika
 
hi vi unajua miaka tuliosoma sisi chuo kikuu kulikuwa na vyuo viwili tu SUA na UDSM pekee? watu walio soma CBG na PCB ulikuwa ukikosa Muhimbili kilichobaki ni Education tu? pia ukijaza form una pewa option 3 tu na utakayo chaguliwa ndiyo hiyo hiyo. ndiyo maana wengi walio soma PCB, CBG na PCM walikimbilia Bcom pale UDSM. tafuta kwenye financial institution nyingi hapa tanzania ambao wafanyakazi wake wengi wamesoma science.
km ulikua na point 8 nini kilichokufanya usomee ualim huku ukijua ualim haulipi?????
 
Hata mkiichagua chadema sidhan km ndio itawalipa walimu wenye shahada ya miaka 3 mshahara unaolingana na wa dokta mwenye degree ya jumla ya miaka6(5yrs coz+1yr internship)

pili,mtoa mada je unajua kua mshahara wa afisa utumishi,afisa tarafa,afisa ustawi wa jamii,afisa mtendaji kata nk ambao wana degree ya miaka3 km yakwako ww mwalim lkn mshahara wao ni mdogo kuliko wako ww mwalim mwenye TGTS-D?

Tembelea vzr huo waraka,angalia afisa utumishi,afisa ustawi wa jamii,afisa tawala,afisa tarafa nk anayeanza kaz kwa TGS-D na ww mwalimu unayeanza kaz na TGTS-D uone km hujawazid kiwango cha mshahara hao mafisa ambao fom6 walipata div1 na 2,lkn ww ulipata div3!!

Acheni kulalamika walim,watumishi wa umma wote salary ni finyu sio walimu tu!

Mkuu mbona unaongea as if walim wote nchini wana div3&4? Mimi nina BA ya ualim from Udsm na. O level na A level nilipata div 1. kote na nlitooka na gpa ya 3.4 na mwakani namalizia MBA! sio vizuri ww kuja na generalisation hapa kua walimwana. 4&3. wakati sio jambo la kweli.
 
.....Mama.ko mjinga wewe na kwa hayo mawazo yako ya kimaku lazma utakua pu.nga wewe %&#@!&?*.
Mwalimu punguza hasira hawa UVCCM dawa yao ndogo kwny kipindi cha dk80 2mia 40 kuinanga CCM 20 ipambe CDM 20 fndsha NUCTA
 
Back
Top Bottom