Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

Mkuu ninadhani hapa ulimi umeteleza labda ulitaka kusema walimu wengi wa sanaa.ila kwa sayansi nadhani siyo sawa

Ndio maana tunashauri ufanye uchunguzi. Walimu wengi wenye Shahada ya Sayansi na hata Diploma za zamani wana Division One Form IV! Na enzi Mlimani na SUA walimu wa Shahada walikuwa lazima wawe na Division I au II Form 6 na wenzao wa III walienda Diploma ya Ualimu au SUA.

Arts uchunguzi unaonyesha wengi ni watu waliopata III/II O level lakini wakafaulu kwa kiwango cha Div I A level kuwazidi wenzao wa michepuo ya Sayansi.
 
jamani embu uwekeni huo waraka wa mishahara ya walimu
 
kwa mujibu wa waraka wa watumishi wa serikali Na 1. Wa mwaka 2013, wenye Kumb. Na.CAC.205/228/01/C/14 wa Julai 2, 2013 uliosainiwa na Katibu mkuu Utumishi Ndugu George D. Yambeshi. Unaoonyesha marekebisho ya mishahara kwa watumishi wa serikali. Katika waraka huu unaendelea kudidimiza kada ya ualimu kulingana na kada zingine kama vile kada ya afya, sheria na kilimo na utafiti ambapo kada hizi hulipwa mishahara mikubwa kuliko ya walimu.

NGAZI YA ELIMUUALIMU/ ELIMUKILIMOAFYA
Certificate (Cheti)Tsh 344,000/=Tsh 1,060,000/=Tsh 562,000/=
Diploma (Stashahada)Tsh 432,500/=Tsh 1,252,000/=Tsh 821,000/=
Degree (Shahada)Tsh 589,000/=Tsh 1,473,000/=Tsh 994,000/=

[TD="colspan: 4"] Jedwali hili ni kwa mujibu wa waraka huo uliotajwa hapo juu

[/TD]

Kwakweli huwa nakerwa na watu wanaolia mishahara humu kwani sisi iatuhusu nini? the best way ni kujipanga na ukefanya mambo yako. mshahara hautakiwi kumtosha mtumishi kokote kule kama hujui pitia google utajifunza principles za kupanga mshahara.
wenzenu tunakula kwa vichwa vyetu, kama vipi njoo huku wala hatujui viyoyozi wala viti vya kuzunguka; huku kazi tu but hatulipwi hizo. Naendesha boda boda kwasiku sikosi 25,000/= baada ya kutoa za tajiri. 25,000/= x 30 = 750,000/= kama vipi niambie nikupe moja kwani nawaza kunua lingine nimpe mtu anisaidie kuniongezea kipato.
Najua unaumia lakini mbadala upo... unaweza kukopa 8,000,0000/= kutokana na mshahara huo na ukapata boda 4 ... unahakika kila wiki 168,000/= kila mwezi 168,000 x 4 672,000/= mkopo utakatwa 256,000/= kwa mwezi. why ufe masikini? tatizo lenu wasomi waviiiiiiiivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
 
diploma ya ualimu sifa ya kujiunga ni principal pass moja na subsidiary moja yaan ukipata div4.18 kwa alama E,S unasoma diploma na watu kibao wamepata ES div4.18 wapo vyuoni wanasoma diploma ya ualim

Eligible candidate for admission to Ordinary Diploma in Clinical Medicine programme must have passes in Science subjects with a minimum of “C” PASS in Chemistry and Biology and “D” in Physics at (Form IV)Certificate of Secondary Education Examination (CSEE)



Eligible candidate for admission to certificate in nursing programme must have passes in science subjects at Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with a minimum of “D” PASS specifically in Physics, Chemistry and Biology.
 
Na mapolisi je?maana hao ndo failures wasio na mfano halafu,wanajifanya wajuaji,hawa ndo ng'ombe kabisa.sidhani kama kuna polisi mwenye Div.1-3,wote ni 4 na vyeti vya wizi
 
Naona watu wanaacha kujadili hoja ya msingi wanajadili division 1,2,3 na 4. Hv aliyesoma loyola,almuntazir,feza boys nk akapata div 1 na aliyesoma matola au namtumbo akapata 4 utasema ni kilaza pasipo kuangalia mazingira waliyosoma? Basi waliopata div 1 form 6 mbona hawapati first class chuo kama ni vichwa.acheni hizo kudharau profesional za wenenu
By the way mishahara ya serikali ni kiduchu,hasa serikali kuu.
Over
 
Na mapolisi je?maana hao ndo failures wasio na mfano halafu,wanajifanya wajuaji,hawa ndo ng'ombe kabisa.sidhani kama kuna polisi mwenye Div.1-3,wote ni 4 na vyeti vya wizi

lakini wanakula kupitia kofia zao
 
.....Mama.ko mjinga wewe na kwa hayo mawazo yako ya kimaku lazma utakua pu.nga wewe %&#@!&?*.

km kweli wewe ni mwl basi level zako ni za Iron boy bora ata mwl wa Universal primary school(UPE) alitutoa tongotongo..Rudi shule ukasome na usijizike kijana matusi yanaonesha ni jins gani ako kaelimu kako kakuungaunga kalivyo hakajakusaidia..hivi unavyotukana humu unapata faida ipi? Kweli nimeamin ata na AVATAR tu tunazozitumia zinaakisi AKILI zetu! Rest in peace
 
Kwakweli huwa nakerwa na watu wanaolia mishahara humu kwani sisi iatuhusu nini? the best way ni kujipanga na ukefanya mambo yako. mshahara hautakiwi kumtosha mtumishi kokote kule kama hujui pitia google utajifunza principles za kupanga mshahara.
wenzenu tunakula kwa vichwa vyetu, kama vipi njoo huku wala hatujui viyoyozi wala viti vya kuzunguka; huku kazi tu but hatulipwi hizo. Naendesha boda boda kwasiku sikosi 25,000/= baada ya kutoa za tajiri. 25,000/= x 30 = 750,000/= kama vipi niambie nikupe moja kwani nawaza kunua lingine nimpe mtu anisaidie kuniongezea kipato.
Najua unaumia lakini mbadala upo... unaweza kukopa 8,000,0000/= kutokana na mshahara huo na ukapata boda 4 ... unahakika kila wiki 168,000/= kila mwezi 168,000 x 4 672,000/= mkopo utakatwa 256,000/= kwa mwezi. why ufe masikini? tatizo lenu wasomi waviiiiiiiivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.

Umewaza ki-rich dady poor dady. Hayo ndiyo maneno. Msomi akikopa hiyo milioni nane ujue ananua gari aonekane mambo safi. Kimshahara chenye hata Milioni hakifiki, akilipa mkopo kwa miaka minne akiweka na mafuta ya gari kwisha kazi yake na bado anajiona kamzidi sana Ticha.

Maisha hayanyooki kwa mshahara. Hata ulipwe unazohidi zinatosha, usipobadili mentality unajikuta unabadilisha life style tu unabaki ukingoja mwisho kwa miayo.

Ujumbe wa kuwekeza ni muafaka sana.
 
l
Aisee hii mbona inakaukweli ndani yake! Dah sikuwahi kufikiria hivyo hapo mwanzo ila kwa sasa inabidi wawe wapole tu kama kigezo ndio hicho.

lakini watanzania kwa nini tunapenda matusi kuwatukana walimu? uwe dr, afisa ugan, uwe na dv1, uwe na 0 kumbuka tz hatujawahi kuwa na walim wenye ufaulu mnaoufikiria kuwa ndo sahihi kwa mtu kuwa mwalim. we kama ulisomea shule za kayumba hupaswi kuhoji et hawa ni vilaza wakati aliyekushika mkono kuchora A ni huyo unamuita kiraza. shukuru ulisoma wakati walim bado wanaipenda serikali yao ingekuwa sasa hiv tngetoka na 0 tuone ungepata wap kakiburi ka kuropoka uchafu huo.
 
Naona watu wanaacha kujadili hoja ya msingi wanajadili division 1,2,3 na 4. Hv aliyesoma loyola,almuntazir,feza boys nk akapata div 1 na aliyesoma matola au namtumbo akapata 4 utasema ni kilaza pasipo kuangalia mazingira waliyosoma? Basi waliopata div 1 form 6 mbona hawapati first class chuo kama ni vichwa.acheni hizo kudharau profesional za wenenu
By the way mishahara ya serikali ni kiduchu,hasa serikali kuu.
Over

Umesema vyema.. hebu pitia hawa wanaoitwa sijui Gold boys....
Zaidi ya wanafunzi 500 wa
udsm wamedisco ktk mwaka
huu wa masomo huku
wengine zaidi ya 9000
wakitakiwa kufanya mitihani
ya supplementary.mpashaji
wangu wa
habari,amenidadavulia idadi
ya waliodisco kwa kila college
kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9
 
Kwani wangekuwa na ufaulu mzuri wangeenda huko. Ualimu always ni last resort.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Hawa nao vp?????!!!!!
Zaidi ya wanafunzi 500 wa
udsm wamedisco ktk mwaka
huu wa masomo huku
wengine zaidi ya 9000
wakitakiwa kufanya mitihani
ya supplementary.mpashaji
wangu wa
habari,amenidadavulia idadi
ya waliodisco kwa kila college
kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9
 
Samahani usi generalize , mimi nimeingia UDSM mwaka 2001 na point 8 CBG Bachelor of Science with Education, hivyo siyo walimu wote wenye IV naomba tutakane radhi.

One ya point nane ya ngwine au ya nani!

wote hata wa law, wote ngwine tu, hakuna lolote, kimsingi ni kwamba walimu wengi wa secondary wana ufaulu mzuri tu

tatize ni nyangwine kawaharibu, nashukuru ngwine kaja miaka yenu, na angekuwa enzi zetu asingethubutu kutoa kitabu na mzee nyirenda.

chukulia nilesoma vitabu vya akinashivji, nyirenda nk na wewe uliepiga ngwine wapi na wapi
 
Kwakweli huwa nakerwa na watu wanaolia mishahara humu kwani sisi iatuhusu nini? the best way ni kujipanga na ukefanya mambo yako. mshahara hautakiwi kumtosha mtumishi kokote kule kama hujui pitia google utajifunza principles za kupanga mshahara.
wenzenu tunakula kwa vichwa vyetu, kama vipi njoo huku wala hatujui viyoyozi wala viti vya kuzunguka; huku kazi tu but hatulipwi hizo. Naendesha boda boda kwasiku sikosi 25,000/= baada ya kutoa za tajiri. 25,000/= x 30 = 750,000/= kama vipi niambie nikupe moja kwani nawaza kunua lingine nimpe mtu anisaidie kuniongezea kipato.
Najua unaumia lakini mbadala upo... unaweza kukopa 8,000,0000/= kutokana na mshahara huo na ukapata boda 4 ... unahakika kila wiki 168,000/= kila mwezi 168,000 x 4 672,000/= mkopo utakatwa 256,000/= kwa mwezi. why ufe masikini? tatizo lenu wasomi waviiiiiiiivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.

millioni ni rahisi kuzitaja, ukitaka lazima ujue na MOI, NA TUMBI AU MOCHWARE
 
Kwakweli huwa nakerwa na watu wanaolia mishahara humu kwani sisi iatuhusu nini? the best way ni kujipanga na ukefanya mambo yako. mshahara hautakiwi kumtosha mtumishi kokote kule kama hujui pitia google utajifunza principles za kupanga mshahara.
wenzenu tunakula kwa vichwa vyetu, kama vipi njoo huku wala hatujui viyoyozi wala viti vya kuzunguka; huku kazi tu but hatulipwi hizo. Naendesha boda boda kwasiku sikosi 25,000/= baada ya kutoa za tajiri. 25,000/= x 30 = 750,000/= kama vipi niambie nikupe moja kwani nawaza kunua lingine nimpe mtu anisaidie kuniongezea kipato.
Najua unaumia lakini mbadala upo... unaweza kukopa 8,000,0000/= kutokana na mshahara huo na ukapata boda 4 ... unahakika kila wiki 168,000/= kila mwezi 168,000 x 4 672,000/= mkopo utakatwa 256,000/= kwa mwezi. why ufe masikini? tatizo lenu wasomi waviiiiiiiivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.

Asante kwqa Ushahuri, Hope walimu watauzingatia.
Ila watch out matokeo yakitoka msipige kelele.
 
tatizo la Tanzania ni watu wa utawala mbao ni vilaza kupindukia na bahati mbaya ndio wanaopanga mishahara. Mfagizi wa TRA au TANROADS analipwa laki tano ni fomu four failure. Halafu mwalimu na bachelor yake unampangia laki tano hiyo hiyo. Very strange
 
Tatizo la waalimu wengi wanatarajia matokeo mwishoni yawe sawa na uku serikali inaangalia vyanzo vya elimu yenu!
Div 4......Ualimu na Div 3 za mwisho yani mtu ana ka pass au credit moja anataka awe sawa na mtu Div 1 au Div 2 wanaoenda Afya na law! jamani acheni mbwembe na wala msitumie wingi wenu kudai visivyowezekana serikal sio malofa hadi wawaweke kundi moja na Golden Boy!...nyie simefundishwa kwenye psychology kuhusu Golden boy, silver na IRON BOY! Hawa hamuwez kua sawa nao ata mfundishe uchi

usiweke akili yako likizo, mimi ni mwalimu niliyesoma PCM na kufaulu vizuri miaka hiyo na wakati huo hakuna hata mtu mmoja aliyesoma HGL, HKL,and the like ambaye angenikaribia hata kwenye hayo masomo yenu.kuwa mwanasheria? mwandishi wa habari? mtangazaji? ilikuwa ni kazi za third class students in any class.mimi ni mwanasayansi bwana ninajua kuigeuza dunia ninavyo taka na nime win maisha hukuhuku kwenye ualimu ambao wewe unaudharau.nina mikoko ambayo wewe maisha yako yote hutaipata.
 
tatizo la Tanzania ni watu wa utawala mbao ni vilaza kupindukia na bahati mbaya ndio wanaopanga mishahara. Mfagizi wa TRA au TANROADS analipwa laki tano ni fomu four failure. Halafu mwalimu na bachelor yake unampangia laki tano hiyo hiyo. Very strange

Hapo ndipo tatizo lilipo, Akili ndogo zinaongoza akili kubwa.vilaza wanawaongoza watu walio soma science one!
 
Back
Top Bottom