Kwa matokeo ya kidato cha 4, sisi kama taifa ni vilaza wakubwa

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,891
Wanasema lugha ambayo Mungu alitumia kuumba ulimwengu ni hesabu. Hata wanapoangalia na kulinganisha performance ya elimu kwa nchi mbalimbali, huangalia Hesabu na sayansi.

Sasa basi, ufaulu wa Hesabu mwaka huu ni asilimia 20. Au ni 30? Hii inamaanisha asilimia 80 ya watahiniwa wote wamepata F ya hesabu. Nafikiri F inaanzia 20 kushuka. Sasa maana yake asilimia 80 wamepata chini ya ishirini. Kulikuwa na watahiniwa karibu laki nne na nusu. Maana yake karibu watoto 360,000 wameshindwa kupata 20 kati ya 100 kwenye hesabu.

Physics ufaulu ni kama 55%. Lakini hii si kila mtu anafanya, ni kama nusu tu, (na pengine chini yake) ya wanafunzi ndiyo wanafanya physics. Sasa katika hii cream ya wanafunzi wenye uwezo, 45 kati ya mia wameshindwa kupata 21!!.

Hesabu ni muhimu sana. Huwezi kufahamu Physics na Chemistry kama hufahamu hesabu. Huwezi kuwa Daktari, mfamasia, mwanasheria, au kufanya kazi yoyote vizuri bila kujua hesabu. Hata mwanasiasa kusoma research na takwimu unahitaji hesabu.

Tutizo ni nini? Je hatuna waalimu wazuri wa hesabu? Hatujalipa somo mkazo? Au ni nini?

Nini kifanyike? Ni wastani gani wa ufaulu tuufikie ili tuseme sasa watanzania wanajua hesabu?
 
Wanasema lugha ambayo Mungu alitumia kuumba ulimwengu ni hesabu. Hata wanapoangalia na kulinganisha performance ya elimu kwa nchi mbalimbali, huangalia Hesabu na sayansi.

Sasa basi, ufaulu wa Hesabu mwaka huu ni asilimia 20. Au ni 30? Hii inamaanisha asilimia 80 ya watahiniwa wote wamepata F ya hesabu. Nafikiri F inaanzia 20 kushuka. Sasa maana yake asilimia 80 wamepata chini ya ishirini. Kulikuwa na watahiniwa karibu laki nne na nusu. Maana yake karibu watoto 360,000 wameshindwa kupata 20 kati ya 100 kwenye hesabu.

Physics ufaulu ni kama 55%. Lakini hii si kila mtu anafanya, ni kama nusu tu, (na pengine chini yake) ya wanafunzi ndiyo wanafanya physics. Sasa katika hii cream ya wanafunzi wenye uwezo, 45 kati ya mia wameshindwa kupata 21!!.

Hesabu ni muhimu sana. Huwezi kufahamu Physics na Chemistry kama hufahamu hesabu. Huwezi kuwa Daktari, mfamasia, mwanasheria, au kufanya kazi yoyote vizuri bila kujua hesabu. Hata mwanasiasa kusoma research na takwimu unahitaji hesabu.

Tutizo ni nini? Je hatuna waalimu wazuri wa hesabu? Hatujalipa somo mkazo? Au ni nini?

Nini kifanyike? Ni wastani gani wa ufaulu tuufikie ili tuseme sasa watanzania wanajua hesabu?
F inaanzia 0-29
 
Wawapunguzie na mzigo wa masomo kila mwalimu anataka ufaulu somo lake unafikiri nini hapo, hesabu inahitaji umakini sasa utoke na mitopiki ya masomo 9 toka form one kwa afya gani ya akili tuliyonayo na milo yenyewe hii ya wanga tupu kutoboa hesabu hapo itakuwa tabu..😅
 
Upo sahihi. Matatizo mengi ya watu
weusi yanaanzia kwenye family level

Tizama unakuta mtu anasema haoni umuhimu wa formula ya Quadractic equations ama Logarithm maana havijamuingizia chochote maishani. Tutegemee mtu kama huyo atuletee uzao wa namna gani duniani ?
 
Wanasema lugha ambayo Mungu alitumia kuumba ulimwengu ni hesabu. Hata wanapoangalia na kulinganisha performance ya elimu kwa nchi mbalimbali, huangalia Hesabu na sayansi.

Sasa basi, ufaulu wa Hesabu mwaka huu ni asilimia 20. Au ni 30? Hii inamaanisha asilimia 80 ya watahiniwa wote wamepata F ya hesabu. Nafikiri F inaanzia 20 kushuka. Sasa maana yake asilimia 80 wamepata chini ya ishirini. Kulikuwa na watahiniwa karibu laki nne na nusu. Maana yake karibu watoto 360,000 wameshindwa kupata 20 kati ya 100 kwenye hesabu.

Physics ufaulu ni kama 55%. Lakini hii si kila mtu anafanya, ni kama nusu tu, (na pengine chini yake) ya wanafunzi ndiyo wanafanya physics. Sasa katika hii cream ya wanafunzi wenye uwezo, 45 kati ya mia wameshindwa kupata 21!!.

Hesabu ni muhimu sana. Huwezi kufahamu Physics na Chemistry kama hufahamu hesabu. Huwezi kuwa Daktari, mfamasia, mwanasheria, au kufanya kazi yoyote vizuri bila kujua hesabu. Hata mwanasiasa kusoma research na takwimu unahitaji hesabu.

Tutizo ni nini? Je hatuna waalimu wazuri wa hesabu? Hatujalipa somo mkazo? Au ni nini?

Nini kifanyike? Ni wastani gani wa ufaulu tuufikie ili tuseme sasa watanzania wanajua hesabu?
Wee mpaka leo hii hapo ulipo, kung'ang'ana kwako na hesabu ushamfikia Billgates? Hiyo hesabu imekusaidia nini?

Ukishajua kuhesabu pesa, hiyo ni hesabu tosha, mengine mbwembwe tuu.

Kwanza mnawafokea watoto wasome, afu wanaokuja kuajiriwa vilaza, form four failure. Wasomi kibao tuu wapo mitaani wakiwemo wanamahesabu.
 
wee mpaka leo hii hapo ulipo, kung'ang'ana kwako na hesabu ushamfikia bilgeti? hiyo hesabu imekusaidia nini?

Ukishajua kuhesabu pesa, hiyo ni hesabu tosha, mengine mbwembwe tuu.

kwanza mnawafokea watoto wasome, afu wanaokuja kuajiriwa vilaza, form four failure. Wasomi kibao tuu wapo mitaani wakiwemo wanamahesabu.
Bila hesabu hata pesa zitakushinda kuhesabu, kila siku utalia Bayport wamekuzidishia riba
 
Hata hawa waliofaulu vizuri sasa baada ya miaka michache ijayo watarudi kujiunga na wenzao waliofaulu vizuri zamani huku mtaani.

The end game always remains the same.
 
Bila hesabu hata pesa zitakushinda kuhesabu, kila siku utalia Bayport wamekuzidishia riba
Hivi wee unamzidi standard 7 failure, king musukuma kuhesabu pesa? Mnacompliketi kuwafokea madogo wamefeli hesabu ya form four, wakati ya la saba inatosha.
 
wee mpaka leo hii hapo ulipo, kung'ang'ana kwako na hesabu ushamfikia bilgeti? hiyo hesabu imekusaidia nini?

Ukishajua kuhesabu pesa, hiyo ni hesabu tosha, mengine mbwembwe tuu.

kwanza mnawafokea watoto wasome, afu wanaokuja kuajiriwa vilaza, form four failure. Wasomi kibao tuu wapo mitaani wakiwemo wanamahesabu.
We ndio popoma lisilofundishika ndio mnaowakatikatisha tamaa na upumbavu wenu halafu unajiita mwamba 777? Nyie mnatakiwa mtengewe eneo lenu maalum mjitekenye wenyewe. Bill Gates bila hesabu angeendaje kusoma Computer Science? Tena chuo kikuu bora duniani Havard. Angewezaje Computer Programming iliyomwezesha kutengeneza Operating system ya kwanza duniani iitwayo Microsoft DOS? Km ulishindwa shule kaa kimya usisambaze ujinga.
 
Hesabu si somo la kila mtu kufaulu...na wanaofeli si kwamba hawana akili bali akili walizonazo ni kwa ajili ya kufaulu masomo mengine
 
We ndio popoma lisilofundishika ndio mnaowakatikatisha tamaa na upumbavu wenu halafu unajiita mwamba 777? Nyie mnatakiwa mtengewe eneo lenu maalum mjitekenye wenyewe. Bill Gates bila hesabu angeendaje kusoma Computer Science? Tena chuo kikuu bora duniani Havard. Angewezaje Computer Programming iliyomwezesha kutengeneza Operating system ya kwanza duniani iitwayo Microsoft DOS? Km ulishindwa shule kaa kimya usisambaze ujinga.
hesabu ya kuhesabu pesa inatosha, hata king musukuma wa la saba anajua kuhesabu pesa, yanini mnawafokea madogo walo feli hesabu ya form four wakati ya la saba inawatosha?

wewe nakujua kote mahesabu, unamzidi king musukuma, Rostam Aziz au bakhresa kuhesabu pesa? kama huna pesa zaidi yao huo utalaamu wako wa mahesabu unakusaidia nini kama sio pambio tuu?
 
Hesabu si somo la kila mtu kufaulu...na wanaofeli si kwamba hawana akili bali akili walizonazo ni kwa ajili ya kufaulu masomo mengine
Mkuu unaona ufaulu wa 19% unakubalika? Siyo kila mtu afaulu, ndiyo maana nikauliza ni ufaulu gani tutasema kama taifa tunamudu hesabu. 50%, 60% , Au upi? Kiukweli 19 percent haukubaliki.
 
Back
Top Bottom