Wasenge hao wa dayaspora wameshachoka kutawaza vizee wanawachochea nyumbu wakafe tena
Sasa hao wanaishi nje ya Tanzania halafu wanawaambia watu wajitoe mhanga, kwanini wao wasirudi na kujitoa mhanga, ili iwe kila siku tunaona dayaspora fulani alirudi kakiwasha wamepita nae ili tujue tuko pamaja nao?Watu nao wamechoka kukamatwa bila taarifa kelele zikipazwa ndio utasikia kakamatwa kisheria
Watu nao wamechoka kusikia ndugu aliekamatwa kafa kwa mstuko wa moyo wakati alikuwa mzima wa afya
wamechoka kuona dada zao wanabakwa na kina Nyundo na wenzake halafu aliewatuma hawajibishwi, wamechoka
wamechoka kuona kuna kodi zao zinatapanywa, watu wananunulia magari ya mabilioni
Hao diaspora mnawaona kwasababu huko walipo sheria zinaruhusu uhuru wa maoni, hapa nchini kuna vikundi vingi sana kama ulikuwa hujui ila watu hawataki kujulikanaSasa hao wanaishi nje ya Tanzania halafu wanawaambia watu wajitoe mhanga, kwanini wao wasirudi na kujitoa mhanga, ili iwe kila siku tunaona dayaspora fulani alirudi kakiwasha wamepita nae ili tujue tuko pamaja nao?
Kwani wao wanatekwa? Wanatuambia sisi tunaotekwa.Sasa hao wanaishi nje ya Tanzania halafu wanawaambia watu wajitoe mhanga, kwanini wao wasirudi na kujitoa mhanga, ili iwe kila siku tunaona dayaspora fulani alirudi kakiwasha wamepita nae ili tujue tuko pamaja nao?
hata hamjaelewa pointKwani wao wanatekwa? Wanatuambia sisi tunaotekwa.
Waliokuwa misplaced ni unaowatetea kwa nguvu zako zote.Acha wale vitasa kidogo akili zirejee kwenye mihimili yake,ili hata waseme shikamoo haki.Sio kila siku wanatung'ong'a amani,amani huku gizani wanatuteka na kutubambikia kesi mchongo.Huu uzi naona kama uko misplaced
Haki gani mliyonyimwa?Tunakoelekea sasa tunaweza kuja kushuhudia Tanzania ambayo hatujawahi kuvidhania kabisa.
View attachment 3533523
Mapenzi ya Jinsia MojaHaki gani mliyonyimwa?
Mtadharau na kushupaza Shingo badala ya kushtuka na kuchukua hatua za kutatua shida za wananchi! Mnadhani kuunda wizara ya vijana halafu inaongozwa na mzee wa miaka 42 ndio kutatatua shida zao? Acheni janja janja ya kung'ang'ania madaraka, wapeni wananchi haki yao ya kuwachagua viongozi wanaowataka ama sivyo utawala wenu utakuwa wa shida!! ITAFIKA WAKATI WANANCHI WATAWAGOMEA KULIPA KODI hapo ndio mtajijua!! Jirekebisheni mapema msingoje muanze kubeba mitutu kukusanya kodi !!Wasenge hao wa dayaspora wameshachoka kutawaza vizee wanawachochea nyumbu wakafe tena
Njoo niwe nakushindilia guu la ng'ombeMapenzi ya Jinsia Moja
We una mboo uipate wapi?Njoo niwe nakushindilia guu la ng'ombe
You are stupid indeed you are!!!Wasenge hao wa dayaspora wameshachoka kutawaza vizee wanawachochea nyumbu wakafe tena