Elections 2010 Kwa mara ya kwanza, ITV yachakachua picha za video za Songea kumbeba JK Mbinga!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Leo jioni, katika hali inayodhihirisha kuporomoka kwa maadili ya uandishi wa khabari ITV katika taarifa ya habari yao saa mbili usiku walitumia picha za kampeni za JK za Songea ambako alifunika katika jitihada za kutuhadaa wateja wao kuwa hata Mbinga alifunika hivyo hivyo jambo ambalo siyo kweli hata kidogo.

Katika mkutano wa Mbinga, Mheshimiwa Komba alionekana yupo karibu na mti ambao haupo kwenye uwanja wa Songea na umati wa Mbinga ulikuwa ni mdogo mno ukilinganishwa na ule wa Songea....Be honest ITV
 
Mimi nilishangazwa sana kuona uwanja wa mpira wenye majukwaa kwenye Wilaya tena mpya ya Nyasa nikaona kuwa Mbambabay wako mbele sana ingawa wanalia waunganishwe na Malawi kumbe ni usanii tu wa Wahandisi wetu wa habari na ITV. NAdhani MCT inatakiwa watoe karipio maana huku ni kuwadanganya Watanzania ili wakubali kuibiwa kura kwa ushindi wa kishindo wa CCM!
 
Leo jioni, katika hali inayodhihirisha kuporomoka kwa maadili ya uandishi wa khabari ITV katika taarifa ya habari yao saa mbili usiku walitumia picha za kampeni za JK za Songea ambako alifunika katika jitihada za kutuhadaa wateja wao kuwa hata Mbinga alifunika hivyo hivyo jambo ambalo siyo kweli hata kidogo.

Katika mkutano wa Mbinga, Mheshimiwa Komba alionekana yupo karibu na mti ambao haupo kwenye uwanja wa Songea na umati wa Mbinga ulikuwa ni mdogo mno ukilinganishwa na ule wa Songea....Be honest ITV

Du...ninyi ni kiboko. Hii ni pre emptive strike babu kubwa. Kama JF ndio ungekuwa uwanja wa kura ni wazi mngekuwa mmewazidi CCM na sasa mnasubiri ushindi wa kweli wa Rais Slaa na Waziri Mkuu Freeman Mbowe..

Anyway, ukweli ni kuwa ule umati unatisha na kama ni kweli na sio kama unavyojaribu kuaminisha watu hapa, then ni wakati CHADEMA mkaacha kuji-overate..........

Maana baadaye wakaonyesha ule wa Dr Slaa wa Mahambwe ambao ukiangalia umati umezidiwa na watoto wadogo...
 
Du...ninyi ni kiboko. Hii ni pre emptive strike babu kubwa. Kama JF ndio ungekuwa uwanja wa kura ni wazi mngekuwa mmewazidi CCM na sasa mnasubiri ushindi wa kweli wa Rais Slaa na Waziri Mkuu Freeman Mbowe..

Anyway, ukweli ni kuwa ule umati unatisha na kama ni kweli na sio kama unavyojaribu kuaminisha watu hapa, then ni wakati CHADEMA mkaacha kuji-overate..........

Maana baadaye wakaonyesha ule wa Dr Slaa wa Mahambwe ambao ukiangalia umati umezidiwa na watoto wadogo...

Bwa ha ha ha, Hukutaka hata kueleza kuhusu picha za songea kutumika mbiga ila umehakikisha kuwa umeweka jina la Mbowe (kwa vile unadhani kuwa ni mmachame?) kwenye thread.

Omar bana na chuki za kikabila unatisha.
 
Du...ninyi ni kiboko. Hii ni pre emptive strike babu kubwa. Kama JF ndio ungekuwa uwanja wa kura ni wazi mngekuwa mmewazidi CCM na sasa mnasubiri ushindi wa kweli wa Rais Slaa na Waziri Mkuu Freeman Mbowe..

Anyway, ukweli ni kuwa ule umati unatisha na kama ni kweli na sio kama unavyojaribu kuaminisha watu hapa, then ni wakati CHADEMA mkaacha kuji-overate..........

Maana baadaye wakaonyesha ule wa Dr Slaa wa Mahambwe ambao ukiangalia umati umezidiwa na watoto wadogo...

Yah, inawezekana ule umati umevunja rekodi kwa kuwa mliwabeba na malori waje kwenye mikutano, mkawahonga na tshirt, na baada ya hapo mkawagawia buku mbilimbili ili wafike kwenye mikutano. Pia, asilimia 93 ya wajumbe wa nyumba kumi ni wa CCM, kwa hiyo hao wote waliwahamasisha watu wao ili wahudhurie mikutano ya CCM.

Lakini geukia upande wa pili, hakuna lori la kubeba mtu kuja kwenye mikutano, hakuna tshirt wala kofia, hakuna elfu mbili, lakini umati wake ni 3/4 ya ule wa JK. Sasa CCM mna lipi la kujivunia? Kwenu wanakuja kwa ajili ya vitu; mziki, tshirt, khanga, kofia, usafiri nk. Lakini CHADEMA wanakwenda kutokana na mapenzi yao kwa chama na Dr. Slaa.
 
Omar fanya mfanyavyo safari hii mtakimbia kwa sasa tunatoa elimu ya uraia tu huku tulipo. Mtalia kilio cha kusaga meno.
 
Bwa ha ha ha, Hukutaka hata kueleza kuhusu picha za songea kutumika mbiga ila umehakikisha kuwa umeweka jina la Mbowe (kwa vile unadhani kuwa ni mmachame?) kwenye thread.

Omar bana na chuki za kikabila unatisha.

Sijui nikujibu?
 
Lakini geukia upande wa pili, hakuna lori la kubeba mtu kuja kwenye mikutano, hakuna tshirt wala kofia, hakuna elfu mbili, lakini umati wake ni 3/4 ya ule wa JK. Sasa CCM mna lipi la kujivunia? Kwenu wanakuja kwa ajili ya vitu; mziki, tshirt, khanga, kofia, usafiri nk. Lakini CHADEMA wanakwenda kutokana na mapenzi yao kwa chama na Dr. Slaa.

Wakati mnayasema haya muwe na uhakika kwanza jamani.......
 
ITV na TBC 1 kuna mchezo mwingine wanaufanya.......hotuba za vyama vya upinzani wanazikata kwa makusudi...zinakuwa hazisikiki vizuri na hazionekani vizuri lakini hotuba za wagombea wa CCM zinakuwa na 'clarity' na kila pumba wanazoongea zinasikika vizuri kabisa.
 
Omar fanya mfanyavyo safari hii mtakimbia kwa sasa tunatoa elimu ya uraia tu huku tulipo. Mtalia kilio cha kusaga meno.

Kama propaganda sasa zimekuwa elimu ya uraia then all the best..... Tangia lini elimu ya uraia ikatolewa wakati wa kampeni za uchaguzi na kutolewa na wapiga debe wa wagombea???
 
Wakati mnayasema haya muwe na uhakika kwanza jamani.......

Yes very true. Mimi nilikuwa Songea wiki iliyopita. Songea mjini Chadema imetawala. Wengi wa waliokuwa stadium waliletwa kwa magari.

Udini unakusumbua wewe. Karibu kitimoto hapa Makongo. Au nitakuletea huko huko Morogoro.
 
Nadhani inabidi mimi na wewe tuendeleze haya malumbano nje ya public eye...omarilyas@hotmail.com

Bwa ha ha ha ... unataka kukimbia kwa vile nimekugusa nkumoyo.
Mtaua watanzania wangapi (kama mlivyoanza huko musoma) ili "mshinde" uchaguzi huu?!
 
Yes very true. Mimi nilikuwa Songea wiki iliyopita. Songea mjini Chadema imetawala. Wengi wa waliokuwa stadium waliletwa kwa magari.Udini unakusumbua wewe. Karibu kitimoto hapa Makongo. Au nitakuletea huko huko Morogoro.

Hivi wapi nilikataa kuwa katika mikutano ya CCM watu hawapelekwi na magari ama kupewa kofia na kanga. I am not that dumb. Lakini swali langu ni kuwa hayo hayafanyiki na CHADEMA? Chadema hawatoi kofia, t-shirts ama kuandaa magari kwa washabiki wao? I bet wangelikuwa na uwezo nao pia wasingesita kusomba watu na magari hata kuwapa posho....JUST KEEP THE FIRE AND WHEN U R TIME TO EAT COMES U WILL HAPPILY join the game

Hivi mnadhani kuwa kwa sababu ninyi mmevutiwa na mgombea wenu kutokana na dini yake basi ni lazima wale wote wasiokubali ukombozi wake basi watakuwa wanasumuliwa na udini. Mara nyingi huwa nasema kuwa kuna watu wanakimbilia kuconclude kuwa wenzao ni wadini just kwa sababu nao wao wamegubikwa na fikira hizo na hivyo ni rahisi kwao kuamini kuwa kila mtu atakuwa hivyo. Nipo jamiiforum miaka mingi, I dare you ni wapi nimewahi kutoa statement ya udini.....

Nijuavyo kwa mtu yeyote open minded akifuatilia michango yangu ataona kwa nini mimi nimethubutu kukataa huu ukombozi wa Dr Slaa na CHADEMA bila ya kujificha. Mnataka mpaka nianze kuandika makala ndio mtanielewa? If you want just dare me I can do it. But believe me that will be at ur candidate expense and the democratic movement as whole. Couse I have the skills and substance to make my case very clear and open the minds and hearts of those whom you would want to follow ur chosen MESSIAH blindly.

Asante kwa kunikaribisha kiti moto, it shows how insensitive u r. Lakini pia kwa kukusaidia tu, lousy statements kama hizo zaweza kuwa zinakufurahisha roho yako kwa sasa lakini in the long run zinademage agenda yako...
 
Bwa ha ha ha ... unataka kukimbia kwa vile nimekugusa nkumoyo.
Mtaua watanzania wangapi (kama mlivyoanza huko musoma) ili "mshinde" uchaguzi huu?!

Swali hilo nadhani ni vyema ukamuuliza Mbowe bingwa wa kutoa bastola mikutanoni pale hoja zinapomzidia....

But stil... I am logging in my hotmail...karibu tafadhali
 
Hivi wapi nilikataa kuwa katika mikutano ya CCM watu hawapelekwi na magari ama kupewa kofia na kanga. I am not that dumb. Lakini swali langu ni kuwa hayo hayafanyiki na CHADEMA? Chadema hawatoi kofia, t-shirts ama kuandaa magari kwa washabiki wao? I bet wangelikuwa na uwezo nao pia wasingesita kusomba watu na magari hata kuwapa posho....JUST KEEP THE FIRE AND WHEN U R TIME TO EAT COMES U WILL HAPPILY join the game

Umejijibu mwenyewe hapo, kwa sasa watu wanakwenda wenyewe kwenye mikutano ya chadema. CCM inalipa watu pesa kuhudhuria mikutano yake.

Hivi mnadhani kuwa kwa sababu ninyi mmevutiwa na mgombea wenu kutokana na dini yake basi ni lazima wale wote wasiokubali ukombozi wake basi watakuwa wanasumuliwa na udini. Mara nyingi huwa nasema kuwa kuna watu wanakimbilia kuconclude kuwa wenzao ni wadini just kwa sababu nao wao wamegubikwa na fikira hizo na hivyo ni rahisi kwao kuamini kuwa kila mtu atakuwa hivyo. Nipo jamiiforum miaka mingi, I dare you ni wapi nimewahi kutoa statement ya udini.....

Hiyo hapo juu ni statement ya udini.... teh teh teh

Nijuavyo kwa mtu yeyote open minded akifuatilia michango yangu ataona kwa nini mimi nimethubutu kukataa huu ukombozi wa Dr Slaa na CHADEMA bila ya kujificha. Mnataka mpaka nianze kuandika makala ndio mtanielewa? If you want just dare me I can do it. But believe me that will be at ur candidate expense and the democratic movement as whole. Couse I have the skills and substance to make my case very clear and open the minds and hearts of those whom you would want to follow ur chosen MESSIAH blindly.

Umemkataa Slaa kwa vile unafaidika (kwa sasa) na ufisadi wa ccm. Na kwa jinsi nikujuavyo, ccm ikitoka madarakani, utakuwa wakwanza kujikomba komba kwa chadema. Njaa tu ndio inakusumbua Omar (na udini, ukabila, etc) na hakuna zaidi.

Asante kwa kunikaribisha kiti moto, it shows how insensitive u r. Lakini pia kwa kukusaidia tu, lousy statements kama hizo zaweza kuwa zinakufurahisha roho yako kwa sasa lakini in the long run zinademage agenda yako...

Sasa utakwenda kula kiti moto au la?! teh teh teh teh
Btw, mchomaji wa kiti moto atakuwa kijana wa kimachame anaitwa ( ......jina kapuni)....teh teh teh
 
Swali hilo nadhani ni vyema ukamuuliza Mbowe bingwa wa kutoa bastola mikutanoni pale hoja zinapomzidia....

But stil... I am logging in my hotmail...karibu tafadhali

Ulikuwepo kwenye mikutano ya Mbowe?

ohh snap, nimekumbuka kuwa kuna wakati ulikuwa unajipendekeza pendekeza chadema (kwa kumtumia Zitto) ili uweze kula pande zote mbili (ccm na chadema).

Ingekuwa mimi mbowe, nisingetoa bastola tu kisha nikuache hivi hivi, ningekuwasha mbili za masikio ili ukome unafiki wako .... teh teh teh
 
itv na tbc 1 kuna mchezo mwingine wanaufanya.......hotuba za vyama vya upinzani wanazikata kwa makusudi...zinakuwa hazisikiki vizuri na hazionekani vizuri lakini hotuba za wagombea wa ccm zinakuwa na 'clarity' na kila pumba wanazoongea zinasikika vizuri kabisa.

teh teh teh
 
Back
Top Bottom