Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Leo jioni, katika hali inayodhihirisha kuporomoka kwa maadili ya uandishi wa khabari ITV katika taarifa ya habari yao saa mbili usiku walitumia picha za kampeni za JK za Songea ambako alifunika katika jitihada za kutuhadaa wateja wao kuwa hata Mbinga alifunika hivyo hivyo jambo ambalo siyo kweli hata kidogo.
Katika mkutano wa Mbinga, Mheshimiwa Komba alionekana yupo karibu na mti ambao haupo kwenye uwanja wa Songea na umati wa Mbinga ulikuwa ni mdogo mno ukilinganishwa na ule wa Songea....Be honest ITV
Katika mkutano wa Mbinga, Mheshimiwa Komba alionekana yupo karibu na mti ambao haupo kwenye uwanja wa Songea na umati wa Mbinga ulikuwa ni mdogo mno ukilinganishwa na ule wa Songea....Be honest ITV