Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Status
Not open for further replies.
Mwenye dhamana hiyo ni serikali ya JK, and the bucks stops with him.Kuhusu hayo maneno,nimesikia humu members wakisema,kila mtu anafahamu kuwa udini ulitumika kwenye kampeni yake ya urais na bado unatumika kwenye kuendesha nchi.Kama yamemshinda aachie ngazi na si kutuletea machafuko ya kidini.Watanzania ni kama ndugu,na adui yetu alikuwa na bado inatakiwa awe ccm na mafisadi wake bila kujali ni wa dini gani.Mbinu hii ya udini ni ya mafisadi wa ccm ili kutugawa wasiondolewe madarakani.

Cant we avoid generality and pin down issues
 
Nchi ilipofikia,credits huwa anapewa rais na serikali yake,kwahili la udini,hakuna ubishi umeshaota mizizi.Na sijawahi kusikia kauli ama vitendo kutoka kwa JK vya kukemea haya mambo ya udini.

Kinachonifanya niamini ni JK,ni kwasababu hao wanaopinga kasi ya upinzani,wanapoijibia serikali ya ccm,basi wanaoonyesha chuki za wazi kabisa za kidini.Ule udugu tuliokuwa nao wakitanzania haupo tena,na sijui utarudi kwa njia gani.

Kuna habari kuwa hata mtu na mke wake wanataka kutoana roho kwasbabu hizo hizo.Sheick Ponda alipotoa kauli kinyume na yakwake kuhusu sensa,kaliachia na gazeti lenye kusambaza sumu hizo huku akilifungia lenye kusema ukweli(mwanahalisi)

Ninamini kabisa kuwa tulipofikia,uwezekano wa kuingia kwenye vurugu na mapigano ya kidini ni mkubwa kuliko wakati wowote ule kwenye historia ya Tz toka tupate uhuru.

Kama JK ni mdini,tufanyeje?Ni wazi anapenda haya yaendelee kuwepo kwasababu ni kama anauwa ndege wawili kwa jiwe moja,yani kwasababu yeye ni fisadi na mdini,basi issue za ufisadi wake anazifukia kwa kupenyeza sentiments za kidini kwasababu anajuwa the issue is extremely sensitive.

Je kama taifa tutapona dhidi ya udini huu wa JK?je kukitokea mapigano,nani atakuwa responsible?Je nini kifanyike kukomesha udin8I hu?ama tumeridhika?!....

kwanza kabisa napenda kukufahamisha kuwa jk sio mdini kama unavyofikiri japokuwa nakubaliana na wewe kwamba udini upo.na huo udini haukuanza katika kipindi hiki cha jk,bali ulianza tangu kipindi cha awamu ya kwanza ya mwalimu nyerere,na kisha kushika kasi kubwa kipindi cha mkapa.na siku zote pale ambapo waislam watasimama ktk kudai au hata kuhoji tu kuhusu haki zao mbalimbali basi neno udini huingizwa.nakupa mifano miwili tu miongoni mwa mifano mingi.mfano wa kwanza;kulikuwa na nini hasa zaidi hata serikali kuingia mkataba wa siri na kanisa katoliki na kuridhia kutoa mabilioni ya shilingi kulisaidia kanisa kila mwaka[1992 hadi 2090],hali ya kuwa kuna dini nyigine pia?huo sio udini?jambo la pili ajira na nafasi mbalimbali za utawala.ni watu wa dini fulani ndio waliojaa huko[lifanyie utafiti mdogo tu kulitambua]je huo sio udini?
jambo la kufanya ili kuweka mambo sawa ni kuondoa dhulma hizo nilizotaja na nyiginezo na kuleta usawa katika masuala mbalimbali yanayohusu jamii nzima ya watanzania.
 
hakuna hasara kwa taifa kama kuwa na kiongozi wa juu asiye na msimamo wala hajui kwa nini yupo pale.

Wakati anajipanga kuingia madarakani alitumia sana mbinu ya udini, pamoja na nyingine na kufanikiwa kuingia.

Kama kawaida yake hakujua kama itafikia hapa, na hakuwa na njia mbadala ya kunusuru hali pindi mambo yataharibika.

Jukumu au wa kulaumiwa ni sisis watanzania tuliokubali kuingozwa na mtu asiye na uelewa na sisi kukubali kumpa nafasi ya kutugawa.

Mjinga akiwachonganisha werevu wawili, wa kulaumiwa si mjinga, bali ni wale werevu walioshindwa kujua lililo bora kwao.

Badala ya kutumia 'platform' kama hii kunyoosheana vidole, ingekuwa jambo la maana kama tukakubali tofauti zetu na kutafuta 'common ground' ambapo tunaweza kusonga mbele kama taifa moja lililowahi kuwa na wananchi wasiotambuana kwa dini kwa majina yao au kwa uwezo wao katika uongozi.
Sina cha kuongeza wala kupunguza.
 
kwanza kabisa napenda kukufahamisha kuwa jk sio mdini kama unavyofikiri japokuwa nakubaliana na wewe kwamba udini upo.na huo udini haukuanza katika kipindi hiki cha jk,bali ulianza tangu kipindi cha awamu ya kwanza ya mwalimu nyerere,na kisha kushika kasi kubwa kipindi cha mkapa.na siku zote pale ambapo waislam watasimama ktk kudai au hata kuhoji tu kuhusu haki zao mbalimbali basi neno udini huingizwa.nakupa mifano miwili tu miongoni mwa mifano mingi.mfano wa kwanza;kulikuwa na nini hasa zaidi hata serikali kuingia mkataba wa siri na kanisa katoliki na kuridhia kutoa mabilioni ya shilingi kulisaidia kanisa kila mwaka[1992 hadi 2090],hali ya kuwa kuna dini nyigine pia?huo sio udini?jambo la pili ajira na nafasi mbalimbali za utawala.ni watu wa dini fulani ndio waliojaa huko[lifanyie utafiti mdogo tu kulitambua]je huo sio udini?
jambo la kufanya ili kuweka mambo sawa ni kuondoa dhulma hizo nilizotaja na nyiginezo na kuleta usawa katika masuala mbalimbali yanayohusu jamii nzima ya watanzania.
yea right!udini wa ccm na JK ndo mana umegeuka kuwa udini wa chadema na Slaa?ama mkuu unataka kuniambia kuwa huo udini ulimruka Mwinyi siyo?na halafu pia utamruka JK?nikiona serikali inalaaniwa kwa udini wa Mou sina shida,lakini mnalazimishia hayo ya serikali eti ni ya chadema na kanisa katoliki,wapi na wapi mkuu?
 
Wanabodi,

Kutokana na malalamiko kutoka sehemu mbalimbali kuhusu uteuzi wa nafasi za uongozi katika taifa letu kuna umuhimu mkubwa rais anayekuja kufuata maoni ya mwasisi wa Chadema Edwin Mtei katika teuzi za viongozi.

Kipaumbele kiwe uwiano wa dini liwe jambo la kwanza ili kuepuka malalamiko ya udini kama alivyoshauri Edwin Mtei wakati akitoa maoni yake wakati rais alipoteuwa wajumbe wa tume ya katiba.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Umeyaona ya shekh PONDA tu, ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1) www.wikipedia.com/tanzania
2) www.arc.com/tanzania

web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????

kipengele cha udini kutokuwepo ni sawa , sababu yenu mnataka nchi iwe ya dini yenu
 
Kuna thread humu inasema "kashfa ya chadema na kanisa katoliki"imeletwa na wafuasi wa JK!mbona sioni "Kashfa ya ccm na kanisa katoliki" kwenye issue ya malalamiko ya Mou?Huo ndo udini wenyewe sasa.Ni vyema viongozi muwapime kutokana na matendo kwa nchi ya kimaendeleo na si kwa kutizama ni dini gani!
 
Umeyaona ya shekh PONDA tu, ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1) www.wikipedia.com/tanzania
2) www.arc.com/tanzania

web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????

Kazi ipo. Hoja ya Jmushi 1 bado ni ya muhimu sana. Mimi banafsi sioni tatizo kwa dini fulani kujikadiria na kujilinganisha na dini nyingine. kama hesabu hiyo iliwahi kufanyika hata kama ni mwaka 1967, bado watu wanaweza kufanya kitu kinachoitwa "projection" sasa hii ni hesabu tu ya kupata current population ("p" at "n") ukiwa umepewa population at base year ("p" at "0") na rate of popualtion growth (r), na "n" stands for number of years. Sasa hapa najaribu kukuleta kwenye Demograph, Tusipoelewana hapa, NITAKUGOPA. so, kipindi chochote ambapo sensa hazifanyiki wataalam hutumia kanuni hizi ili kupata idadi ya watu kwa wakati husika. ofcourse inakuwa ni kama makadirio, japo ukweli hauchezi mbali na hapo. Pia kikundi fulani cha watu kujihesabu au kujikadiria kwa kujilinganisha na kikundi kingine cha watu, si kosa. Mfano, baada ya kujua idadi ya watanzania, wasukuma wanaweza kujikadiria na kusema, labda sisi tunaaeza kuwa kama 2% ya watanzania wote, provided data hizo hazina madhara kwa Taifa. Wahehe wanaweza kusema ladla wao wanaweza kuwa kama 0.3% ya watanzania wote. Lakini kwakuwa mambo haya ya makabila, kama yalivyo ya dini, hayana faida kwetu, data hizo hatuzijali sana na hatuzitumii kabisa kwenye shughuli zetu za maendeleo. kama wakatoliki wamejihesabu na kujilinganisha na makundi mengine, provided data zao hazina madhara kwa Taifa, mimi sioni kama ni tatizo kubwa kihivyo. Wakatoliki wanajuana, wana ubatizo, wana Komunio, wana Kipaimara, wana Ndoa, wakitaka kuhesabiana au kujuana kwa idadi wanaweza. Wakristo wengine pia hawashindwi kujuana idadi yao kama ilivyo kwa waislam pia wakitaka kujuana kwa idadi yao wanaweza tu. Si lazima kazi hiyo ifanywe na serikali, kwanza data hizo hazisaidii serikali kufanya maendeleo.Tunachosema ni kwamba, dini fulani wakijuana kwa idadi yao kuna madhara gani kwetu kama Taifa ? wakifanya "projection" toka kwenye national sensus zilizopita, na kutoa idadi yao toka kwenye total population hawatashindwa kujua japo kwa makadirio idadi ya makundi mengine. Kweli huhitaji kuweka kipengele cha dini kwenye dodoso ili kujua idadi ya waumini wa imani fulani. hata kipengele cha kabila hakitusaidii. Sijajua sana hoja ya msingi. mbona katika makadirio yale wametamkwa waumini wengine mchanganyiko kama 14% ( The minority) hawajalalamika? wameona data hizo hazina madhara kwao. mtoa mada anataka tuseme, mwisho wa udini huu ni lini, wapi ? Tufanye nini ? walikuja CUF, watu wakaja na udini, eti CUF ni chama cha waislam ! wamekuja CDM mtu kaja na udini eti CDM ni chama cha wakristo tena wakatoliki, kitakuja chama kingine tutasema hiki ni chama cha wapagani, nk. what is our way forward ? aliyeanzishaalidhani atatugawa ili aingie Ikulu, kaingia, na atatoka baada ya miaka mitatu ijayo, TUNAFANYA NINI ? wote mnaona jinsi udini saa hizi unavyokuwa issue ya kujadili, angalia tu hata humu kwenye mitandao, hali ni hiyo nchi nzima. NANI AMETUCHAFUA KIASI HIKI ? TUMFANYE NINI ? hakuna uislam na ukristo, tunataka Tanzania yetu.
 
Vipi watu ambao hawana dini? Hii hoja ni ya kupumbuza watu ili wasijadili mambo ya msingi i.e umaskini, elimu, afya etc. Anayetaka dini aende kwenye majumba ya husika.
 
Udini tafsiri yake ni uislamu sio? na by extension viongozi wa juu wakiwa wa dini moja ndio udini? the granted Kikwete mdini so do Mkapa, Rais Mkristo, alie kuwa Waziri Mkuu wake Malecela mkristo, katibu wake mkuu Philip Mangula Mkristo nk same argument utawala Julius Nyerere.

Tatizo lenu wakristo wa Tanzania mna roho mbaya, serikalini mmejaa ninyi, mashirika ya umma ninyi, idara za serikali ninyi na juu ya hapo MOU inaita serikali iyape Makanisa Bil 60 kwa mwaka kwa kisingizio cha huduma za jamii lakini mpaka mishahara ya watumishi wa kiroho inaingizwa na serikali inalipa. Kwenu ninyi kwa sababu wanufaika huo sio udini.
Udini ni pale wanapoteuliwa waislamu wachache kushika madaraka mnalipuka!

Dini maana mki ulizwa leteni ushahidi wa udini mnaishia Said Mwema as if Davis Mwamunyange Muislam, mtasema Othman Rashid lakini Zoka hamumtaji na kurugenzo zote zilizoshikwa na wagala.

Kahesabu mawaziri na manaibu linganisha wengi wepi, nenda kwa Ma RC, MaDC RAS, DAS, DED etc

Ndio maana tunasema mna roho mbaya!

Ninachoshukuru serkali ya Kikwete imenisaidia sana kusoma literature nyingi zinazotoa mwanga juu ya uislamu. Naulewa uislamu vizuri kuliko nilivyokuwa 2005 naive nikiona hii ni dini tu kawaida kama zingine. Nimeelewa kwa mfano kanuni muhimu ya uislamu "outwitting" ambayo mtu anakuzuga ili afanikishe lengo lake. Nimeelewa vizuri ile sheria ya kutafrisi Koran ya nakhisi ambayo inaonyesha kuwa aya hazipingani bali aya mpya katika Koran kama zina maelezo tofauti na zile za awali zinakuwa authoritative na kufuta zile za kwanza. Mfano katika mwanzo wa uislamu Mecca hadi kule Medina aya zilionyesha uislamu ni dini inayoheshimu imani za watu wengine, lakini aya za baadaye Medina na mecca zinaonyesha Uislamu hauwezi kuvumilia dini zingine lazima tu wote wasilimu. hivyo naelewa kinachoendelea Tz
 
Vipi watu ambao hawana dini? Hii hoja ni ya kupumbuza watu ili wasijadili mambo ya msingi i.e umaskini, elimu, afya etc. Anayetaka dini aende kwenye majumba ya husika.

Acha unafiki kuna thread humu nyingi zinaongelea udini kwa nini usipeleke hayo maneno yako kama thread uipendi kaa pembeni mkuu.
 
kwanza kabisa napenda kukufahamisha kuwa jk sio mdini kama unavyofikiri japokuwa nakubaliana na wewe kwamba udini upo.na huo udini haukuanza katika kipindi hiki cha jk,bali ulianza tangu kipindi cha awamu ya kwanza ya mwalimu nyerere,na kisha kushika kasi kubwa kipindi cha mkapa.na siku zote pale ambapo waislam watasimama ktk kudai au hata kuhoji tu kuhusu haki zao mbalimbali basi neno udini huingizwa.nakupa mifano miwili tu miongoni mwa mifano mingi.mfano wa kwanza;kulikuwa na nini hasa zaidi hata serikali kuingia mkataba wa siri na kanisa katoliki na kuridhia kutoa mabilioni ya shilingi kulisaidia kanisa kila mwaka[1992 hadi 2090],hali ya kuwa kuna dini nyigine pia?huo sio udini?jambo la pili ajira na nafasi mbalimbali za utawala.ni watu wa dini fulani ndio waliojaa huko[lifanyie utafiti mdogo tu kulitambua]je huo sio udini?
jambo la kufanya ili kuweka mambo sawa ni kuondoa dhulma hizo nilizotaja na nyiginezo na kuleta usawa katika masuala mbalimbali yanayohusu jamii nzima ya watanzania.

Mimi nakuunga mkono, lakini, mbona haviingii akilini, makubaliano ya serikali na kanisa ya mwaka 1992 hayawezi kufanyiwa Addendum ( marekebisho) mpaka leo ni kama miaka 20 ? what is wrong ? ina maana JK na cabinet yake hawawezi kubadilisha hayo mambo ? kuhusu nafasi za ajira na vyeo naomba ufanye utafiti vizuri kwa sasa, jaribu kuangalia orodhaya District commissioners, Mawazir, manaibu waziri, wakurugenzi wa halmashauri, na post zingine zote za kuteuliwa. Tuna President, vice president (muungano), president, vice president ( Zanzibar). Huo upendeleo uko wapi ndugu yangu ? wanaoongoza hao ni watanzania wenzetu, tumewachagua kwa kura. tukiingiza udini, TUNAKOSEA.
 
Familia yetu ni ya wakristo na waislamu na tupo imara pamoja kama zamani. Kijiji chetu kina waumini wa dini zote mbili na bado tunazikana kama zamani. Sijui umeandika haya baada ya kufanya utafiti wa kiasi gani?Mkuu tutajie hilo gazeti lenye kusambaza sumu hizo.
Sauti huru - Gazeti la mkuu na mwenyekiti wa wanamtandao!.........
 
Sasa nimelewa kwa nini Mtei alikuwa anahoji uwiano wa dini na alilamika wao wengi sisi wachache.
 
Kongosho,nimekupata sawia,umesema kuhusu finger pointing,je kama tumemgundua mtu mdini anayeharibu taifa letu unataka tufanyeje?kumbuka 2015 ni mbali sana kwa utaratibu huu sidhani kama tutafika salama.Kwasababu ni wazi uchu wa madaraka na kujikinga dhidi ya wananchi wanaopinga ufisadi.Kiongozi mkuu wa ccm na serikali anatumia dini ili apate supporters,kwasbabu hakna mtanzania bila kujali dini anayefurahishwa na ufisadi labda awe ananufaika nao.Wale wasionufaika,wamekamatwa kwa jina la uislam vs ukristo!tufanyeje kabla ya 2015 kama tuko serious? Ndo maana kwenye bandiko la kwanza nilimalizia kwa kusema "tufanyeje?ama ndo tumeridhika"?
udini wa jk ulikuja baada ya kuanza kuwapa nafasi Muslim serikali Hilo liliwakera sana inajulikana tafuta jingine nitamuhukumu jk kwa mengine bt udini nichuki mlizopandikiza nyinyi wakristo lakini tumeshawastukia na Kama unataka kumtoa jk kabla ya 2015 siuazie mtaani kwako unapokaa hamasisha na jiranizako muende na mtaa wa pili na watatu anza usiku huu bila kuchelewa si unauchungu na nchi yako
 
Last edited by a moderator:
hata ka jitu hopeless kisa mkristu tu liwekwe tu auuu bro!,nafikiri ni vema uwezo na elimu ya mtu iangaliwe,hata ka wakiwa wote ni wa dini moja,uangaliwe uwezo wao
 
Mwl. Nyerere alipochukua nchi mwaka 1961, alirithi jeshi lililokuwa lina mtii Bibi wa Kiingereze (Malkia wa Uingereza). Kwa maneno mengine jeshi hilo lilikuwa lina nidhamu ya kimalkia malkia.

Mwalimu aliliona hilo ni tatizo. Nadhani mtakumbuka tatizo hilo lilivyokuja kuwa kubwa kiasi cha kutafuta wanaigeria kuja kutuliza "umalkia malkia" wa jeshi mwanzoni mwa miaka hiyo ya 60.

Mwalimu hakuliacha tatizo hilo liendelee, alichukua hatua. Akalibadirisha Jeshi, jeshi likaondokana na "umalkia malkia" kupitia mpango wa siasa jeshini. Mpango huo ukafanikwa kwa kiasi kikubwa tukapa jeshi letu yaani Jeshi la Wananchi wa Tanzania ambalo kwa sasa linajulikana kama Jeshi la Waafrika kwa heshima kutokana na mchango wake kwa bara la Afrika.

Nimeyaeleza haya yote kuonyesha kuwa linapokuwepo tatizo linatakiwa litatuliwe, na litatuliwe kwa umakini ili suluhisho hilo la tatizo liwe la manufaa ya kudumu.

Tusingoje tatizo liwe kubwa kiasi cha kuagiza "wanageria" kuja kutuliza mambo. Maana kwa wakati huu wanageria hawapo na hata wangekuwepo hawataweza kutuliza balaa la ugomvi wa kiimani.

Ni kweli tatizo la kiimani limeota mizizi na linazidi kushamiri kwa kasi ya ajabu. Watanzania wote kwa imani zetu tunalo jukumu la kuondoa tatizo hili. Kwa kuwa tatizo hili linahudumiwa (ndiyo maana linaoota mizizi), watanzania tunayo kazi moja na muhimu ambayo tunatakiwa tuifanye kuepusha janga hili la kiimani.

Kazi hiyo ni muhimu kuifanya, na ilitufanikiwe tunatakiwa tuchague njia sahihi za kulikomesha tatizo. Njia ninazoziona ni muhimu kwa na zilizopo ni kukata mizizi ya tatizo, kumdhibiti anayepanda mbegu za tatizo, na kudhibiti anaye hudumia tatizo.

Njia ya haraka kufuata kabla ya kulimaliza kabisa tatizo ni KUMDHIBITI ANAYEPANDA TATIZO. Watanzania tunamjua/wajua wanaye/wanaopanda mbegu za tatizo hili la kiimani, tushirikiane kuwadhibiti.


Kelele zangu hizo.
 
Kumbe ni halali JK kuwa mdini kwasababu mwalimu alikuwa mdini?

We siunajua kukemia mbona humkemei huyo muasisi wa udini...mtei nae umemsahau muasisi wenu wa chama kweli naanza kuami wewe unachuki na jk..ukizungumzia mambo ya ufisadi awamu zote yalikuepo toka kwa Nyerere alichokua anafanya yeye ni kuwaamisha mashirika waendelee kula pole we kwakujifanya kipofu na kiziwi
 
Acha unafiki kuna thread humu nyingi zinaongelea udini kwa nini usipeleke hayo maneno yako kama thread uipendi kaa pembeni mkuu.
wewe Ritz acha ujinga na thread yako ya kijinga. Ninyi ndiyo mnaleta udini hapa nchini mkidhani ni jambo la kujivunia. Jaribu kutumia akili ndogo uliyonayo kutafakari ushauri wangu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom