hakuna hata siku moja tulishawahi kuwa na tatizo la kusema dini zikae pamoja.Kwasbabu tayari tulikuwa na umoja wa kitaifa na agenda za taifa.
Sasa mgombea urais anayekwenda msikitini na kusema mnichaguwe mimi kwasbabu ni muislam mwenzenu na nitapigania haki zenu,alishaulizwa atazipigania kwa njia gani?Hatuna haja ya kukusanyana kwa misingi ya kidini.Tutakusanyana kwa misingi ya utaifa.That's my stand.Mimi ni mtanzania kwanza,mengine ni ya kiroho.Imani yangu mimi itanisaidia tu kuwa mtanzania mwema,lakini kamwe siwezi kujiona niko juu zaidi ya mtanzania mwingine kwasababu ya imani yangu!Tukishaipoteza tu ile dhana ya utaifa,basi tumekwisha.Ile dhana ya nationalism and patriotism ambayo alitujengea mwalimu inamalizwa na huyu kilaza!
Namuomba Mungu sana ninyi mnaoota ndoto za vurugu za kidini muwe wa kwanza kuzianzisha na muwe wa kwanza kufa, full stop. Eee Mungu wangu nisikie. Amina