Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Status
Not open for further replies.
Nchi ilipofikia,credits huwa anapewa rais na serikali yake,kwahili la udini,hakuna ubishi umeshaota mizizi.Na sijawahi kusikia kauli ama vitendo kutoka kwa JK vya kukemea haya mambo ya udini.

Kinachonifanya niamini ni JK,ni kwasababu hao wanaopinga kasi ya upinzani,wanapoijibia serikali ya ccm,basi wanaoonyesha chuki za wazi kabisa za kidini.Ule udugu tuliokuwa nao wakitanzania haupo tena,na sijui utarudi kwa njia gani.

Kuna habari kuwa hata mtu na mke wake wanataka kutoana roho kwasbabu hizo hizo.Sheick Ponda alipotoa kauli kinyume na yakwake kuhusu sensa,kaliachia na gazeti lenye kusambaza sumu hizo huku akilifungia lenye kusema ukweli(mwanahalisi)

Ninamini kabisa kuwa tulipofikia,uwezekano wa kuingia kwenye vurugu na mapigano ya kidini ni mkubwa kuliko wakati wowote ule kwenye historia ya Tz toka tupate uhuru.

Kama JK ni mdini,tufanyeje?Ni wazi anapenda haya yaendelee kuwepo kwasababu ni kama anauwa ndege wawili kwa jiwe moja,yani kwasababu yeye ni fisadi na mdini,basi issue za ufisadi wake anazifukia kwa kupenyeza sentiments za kidini kwasababu anajuwa the issue is extremely sensitive.

Je kama taifa tutapona dhidi ya udini huu wa JK?je kukitokea mapigano,nani atakuwa responsible?Je nini kifanyike kukomesha udin8I hu?ama tumeridhika?!....
Wewe ndio utakuwa responsible naamin unaishi tanzania na unafamilia yako.nn kifanyike kukomesha udin ni ww kuacha kuwa na hisia potofu za udin na unatakiwa kujadili mustakabali wa nchi na sio udin wa jk,unaposema fulani ni mchawi basi ww umeshawahi kwenda kuroga,so acha hiyo kitu kk tuna mambo mengi ya kujadili kwa manufaa ya nchi
 
Hivi mwaka 1992, huo unaolalamikiwa kuwa na MOU kati ya serikali na kanisa ulikuwa chini ya utawala wa nani ?
Pia, kuna haja gani kumjadili Nyerere mtu ambaye Mungu alishamchukua ( Amlaze mahali pema peponi, na njia yetu ni moja), alituanzishia mchakato, katika moja ya speech zake nilisikia akisema hivi: " ... msipoteze muda mwingi kujadili makosa yetu, ... wakati sisi tunachukua nchi hii kutoka kwa wakoloni, wasomi tulikuwa wachache, hivyo tusingeweza kufanya mambo yote sawa kwa ubora unaotakiwa kwa Tanzania nzima, ... tunaomba mjadili yale mazuri machache tuliyofanya, ... na katika yale mnayoona tulifanya sivyo, kwa wingi wenu, na wasomi wengi mlionao, muyatengenezee mkakati wa kuyarekebisha, ... na lengo lenu liwe ni kuendeleza yale mazuri tuliyofanya, na kurekebisha pale tulipokosea, ili mweze kusonga mbele ...." sitaweza kunukuu kila neno, but atleast nimeweza kunukuu baadhi ya maneno na hasa maana. Alipiga vita udini, alipigania usawa, hata kama hakuweza kwa 100%, naomba tumwenzi kwa yale machache aliyoweza kufanya. Labda niwaambie kitu: WAKATI WA MWINYI HATUJAONA MTU ALIYEMSEMA VIBAYA BABA WA TAIFA, WAKATI WA MKAPA PIA HATUJAONA, LAKINI WAKATI WA JK WATU WAMETUKANA NA KUSEMA SANA OVYO KUHUSU BABA WA TAIFA, Why ? why ? why ? ni CCM na Ukatoliki ? ni CCM na CDM ? ni CDM na ukatoliki? ni Uislam na Ukristu ? tuendelee kubaki kwenye hoja ya mtoa mada, WHAT IS OUR WAY FORWARD ?
Mou ni utawala wa ccm mkuu.Na the way forward,kwanza ni JK kuchukuwa hatua madhubuti za kuukomesha.Pili ni kuiondoa ccm madarakani.Nani alisema Mou ni mktaba wa chadema?
 
Soma huo ujinga wake mwingine alonijibu hapo chini sijui Kama Yuko sawa kwenye kichwa chake

Huyu jamaa leo ndio anazidi kujivua nguo kila anochaandika ni pumba tu, halafu na wasiwasi na umri wake anang'ang'ania eti JK ndio kaleta udini sijui kazaliwa lini.
 
Toka hapo mwanzo. Waislam hawajawahi kuwa na matatizo na wakristo. Katika nchi zote africa na dunia sisi tumeishi kama ndugu teba wamoja. Tofauti zetu za dini hazijawahi kuonekana.
Nakumbuka nilivyokuwa mdogo tulikuwa tunaletewa daku, futari na waislam majirani zetu na tuliishi vyema. Kila pahala tunaendelea kushirikiana.
Dini nini? Ni sio sababu ya kumbagua mwenzako au kumdharau. Hakuna aliyezaliwa na kuchagua dini ipi awe, na hakuna aliyerudi na kusema dini fulani ni sawa.Tuacheni fikra potofu, chafu na zenye kuangamiza taifa na kizazi chetu.
Haya yote ya udini ameyaleta Jakaya kikwete. Na mwenyezi Mungu atujali tuje kumuhukumu hapa dunia na Mungu atamuhukumu pia
Pia mwenyezi Mungu atatusaidia nasi tuzidi kusimama kama watanzania na sio waislam au wakristo. Sisi sote ni ndugu na sisi sote tunategemeana.
Idumu Tanzania yetu. Mwenyezi Mungu amlaani kikwete, dhambi hii imtafune yeye na kizazi chake.
Amani kwenu.
 
Tgatizo ni ccm,laki tuanze kwa kumwajibisha rais mdini.Hatutaki rais wa wakristo ama waislam,bali rais wa watanzania.Kiongozi wa nchi anayewagawa wananchi wake kwa siasa za udini hafai!we might need a referundum on this.Kukaa kwake kimya huku haya yakiendelea kunaonyesha jinsi asivyo fit kuwaongoza watanzania.

ofcourse from your point of view you might be right but how about others?how are they defining the problem and its root causes?cuz for a certain phenomena to be known as a problem its depends on various factors such as views and standards,history and traditions etc mimi nakubaliana na wewe 100% kuwa tatizo na pioneers and master mind of it are still there in position with many followers ambao wanaamini tatizo linaanzishwa na third part,actual they remind me of my old days at A level wakati nikisoma habari za luddism.
 
Toka hapo mwanzo. Waislam hawajawahi kuwa na matatizo na wakristo. Katika nchi zote africa na dunia sisi tumeishi kama ndugu teba wamoja. Tofauti zetu za dini hazijawahi kuonekana.
Nakumbuka nilivyokuwa mdogo tulikuwa tunaletewa daku, futari na waislam majirani zetu na tuliishi vyema. Kila pahala tunaendelea kushirikiana.
Dini nini? Ni sio sababu ya kumbagua mwenzako au kumdharau. Hakuna aliyezaliwa na kuchagua dini ipi awe, na hakuna aliyerudi na kusema dini fulani ni sawa.Tuacheni fikra potofu, chafu na zenye kuangamiza taifa na kizazi chetu.
Haya yote ya udini ameyaleta Jakaya kikwete. Na mwenyezi Mungu atujali tuje kumuhukumu hapa dunia na Mungu atamuhukumu pia
Pia mwenyezi Mungu atatusaidia nasi tuzidi kusimama kama watanzania na sio waislam au wakristo. Sisi sote ni ndugu na sisi sote tunategemeana.
Idumu Tanzania yetu. Mwenyezi Mungu amlaani kikwete, dhambi hii imtafune yeye na kizazi chake.
Amani kwenu.
Mkuu umesema ukweli mtupu!JK na wafuasi wake ndo wansema ni mwalimu.Nakumbuka nimeishi vyema sana na ndugu zetu waislam na daku nimekula sana tu.Na shughuli mbali mbali.Hata nyumbani tukifanya sherehe,ni lazima aje ndugu yetu muislam kuchinja ngo'mbe na mbuzi.Jk ameharibu hii nchi mkuu!na hatuwezi kukaa na kuangalia tu!Nina mashemeji waislam na ndugu kabisa wa damu waislam.Laki sijawahi kuona haya mambo only this time!
 
wewe Ritz acha ujinga na thread yako ya kijinga. Ninyi ndiyo mnaleta udini hapa nchini mkidhani ni jambo la kujivunia. Jaribu kutumia akili ndogo uliyonayo kutafakari ushauri wangu.

Hayo maneno ulimwambia na Mtei au unamwambia Ritz, sababu umpendi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umesema ukweli mtupu!JK na wafuasi wake ndo wansema ni mwalimu.Nakumbuka nimeishi vyema sana na ndugu zetu waislam na daku nimekula sana tu.Na shughuli mbali mbali.Hata nyumbani tukifanya sherehe,ni lazima aje ndugu yetu muislam kuchinja ngo'mbe na mbuzi.Jk ameharibu hii nchi mkuu!na hatuwezi kukaa na kuangalia tu!Nina mashemeji waislam na ndugu kabisa wa damu waislam.Laki sijawahi kuona haya mambo only this time!

kuna mdau hapo juu kazungumzia au kauliza ni kwa nini mwalimu hakulaumiwa au hakuchafuliwa sana ktk tawala mbili zilizopita mpaka utawala huu ndio unahusisha kila baya na mwalimu?au kwasababu hawezi kuamka na kuja kujitetea?this issue rise more questions than answers,why mwalimu??????mwalimu has gone n what remains is only his legacy,we have to identify our own problems and seek our own way of addressing them rather than alway blaiming others.
 
kuna mdau hapo juu kazungumzia au kauliza ni kwa nini mwalimu hakulaumiwa au hakuchafuliwa sana ktk tawala mbili zilizopita mpaka utawala huu ndio unahusisha kila baya na mwalimu?au kwasababu hawezi kuamka na kuja kujitetea?this issue rise more questions than answers,why mwalimu??????mwalimu has gone n what remains is only his legacy,we have to identify our own problems and seek our own way of addressing them rather than alway blaiming others.
mwalimu is just a scape goat mkuu...
 
We are sitting on a powder keg of religious tension in this country.

And now it is just a matter of time before it explodes and plunge the country into sectarian violence.
 
Sasa utajuaje uwiano bila kupata data ambayo ingepatikana kutoka kwenye zoezi la 'censer'? Ila itakuwa kazi kweli kweli kila dini kuwakilishwa katika utawala. Kumbukeni dini sio ukristu na uislamu tu kama ambavyo inaelekea baadhi yetu tumejiaminisha. Dini ni imani yo yote ile aliyo nayo mtu kuhusiana na masuala ya kiroho. Hakuna binadamu asiyekuwa na dini!!!!
Unamanisha hata serikali ina dini? Maana serikali ni binadamu
au hao binadamu wakiwa katika majukumu ya kiserikali wanaivua imani yao kisha wakiingia katika shughuli zingine ndio wanaivaa?
Ndivyo wanavyofundishwa?
 
Ngoja nione kama nimekuelewa vizuri. Kwanza mmekataa sensa isiweke kipengele cha dini, sasa itakuweje kama kutalazimika kuwepo uwiano wa dini katika teuzi za serikali, sasa rais atajuaje kama fulani ni dini fulani ili amchague kwenye nafasi gani kwa uwiano na mwingine wa dini nyengine? Hivi nafasi za kuomba kazi serikalini zimewekewa kipengele cha dini? Yaani unapojaza application wanauliza wewe ni dini gani? Na kama ni hivyo, kwa nini mlikataa kipengele cha dini kisiwekwe kwenye sensa?
 
We are sitting on a powder keg of religious tension in this country.

And now it is just a matter of time before it explodes and plunge the country into sectarian violence.

what should be done now at least to minimise the impacts when that time comes?
 
I don't know.

i don't think so,given the above explanation of yours....akili yangu inaniambia unaweza ukatoa walau entry point ya kukabiliana na hili tatizo,for the sake of our country and the coming generation tusaidiane ktk hili,nakaribisha mchango wako...
 
Nashukuru Mkuu. Wana JF nawaomba tuonyeshe njia na sio chuki juu ya wachache ambao hawataki tuelewane.
Sisi watanzania tuendelee kuungana katika matatizo yetu na furaha zetu bila kubaguana kidini wala kikabila.
Tuwe mfano wa kuigwa, movement to conquer. Hasira zetu tuwaelekezee kina Nape, Jakaya Mrisho Kikwete na CCM kwa maana tamaa zao ndio zinaleta shida yote hii.
Narudia tena,tusigawanywe na watu hawa tena wa kupita.kataa ukabila kata Udini.
Adui yetu sote ni KIKWETE!
 
Wanabodi,

Kutokana na malalamiko kutoka sehemu mbalimbali kuhusu uteuzi wa nafasi za uongozi katika taifa letu kuna umuhimu mkubwa rais anayekuja kufuata maoni ya mwasisi wa Chadema Edwin Mtei katika teuzi za viongozi.

Kipaumbele kiwe uwiano wa dini liwe jambo la kwanza ili kuepuka malalamiko ya udini kama alivyoshauri Edwin Mtei wakati akitoa maoni yake wakati rais alipoteuwa wajumbe wa tume ya katiba.

Mungu ibariki Tanzania.

What is Needed is GREAT TIGHT STRONG CONSTITUTION; Because we will not ever again going to get a strong, visual and

able leader like J.K Nyerere... Nyerere alikuwa hana Waziri Mchagga au Mhaya na anawapa Balozi mfano Anthony Nyakyi au

Rukumbuzya na kila mtu wa kabila hilo anatosheka; Sababu za hekima zake na anawapa Uwaziri watu wa Makabila madogo,

Mfano Mzuri Musfafa Nyang;anyi na wote wanafanya kazi kwa kujitupa bila kujali upuuzi wa sasa hivi UDINI, UKABILA;

Kitu kitakacho kisaidia Taifa hili ni KATIBa MPYA na NGUMU isiyokuwa na HURUMA na wanaopenda kugawa Wananchi

Kwa UDINI na Wanajua kua Nchi Nyingi Duniani watawatenga, Sasa hivi Dunia sio kama enzi hizo za kuchomana kwa VISU

Kwa Ukabila kwasababu Mh. Mwengulu Nchemba ana visa na Wanachadema Wachagga 13tu roho yake yote ni chuki kwa

Wachagga wote hadi wale ambao ni Waislamu? au Walioolewa na Watu wa Makabila Mengine... KATIBA ya NGUVU ndio

Itakayomziba Mdomo na kumuweka JELA; sio CCM na NGUVU zake kumlinda...

​Siamini kugawana Vyeo ni kunafaa; ni KATIBA kali ndio itakayotulinda...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom