Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Status
Not open for further replies.
jmushi1,
It's very unfortunately that u're dragging me to the discussion that had never been of my interest! Narudia, unanilazimisha kwenye mjadala ambao cjawahi hata mara moja kuupigia upatu hapa ingawaje si kwamba naona wale wanaoujadili hawana umuhimu wa kufanya hivyo. Nalazimika kuyajadili haya kwa shingo upande hususani pale ninapoona watu ama kwa kutofahamu au kwa makusudi kupotosha! I'd like to explain very short about this here; i'd appreciate kama utaridhika na yale machache na kama hutaridhika nayo basi, with due resect ningekuomba utafute thread inayoelezea masuala ya mahakama ya kadhi ukajifunze huko kama kweli una nia ya kujifunza! Nafahamu hiyo thread humu jamvini ipo ingawaje sizani kama nimeshawahi kuipitia au kuchangia chochote huko coz' it's not part of my interest. Na hata kama nimepata kuchangia, basi sizani kama nilipata kuwa active contributor kama ambavyo nimepata kuwa kwenye baadhi ya mada. Na kama ungependa kufahamu msimamo wangu kwenye suala la Mahakama ya Kadhi, then simple and clear kwamba itakuwa unfair kama mahakama hiyo itahitaji kutumia national resources; kodi za wananchi in particular ingawaje kwenye baadhi ya nchi za Africa ambako hata hao Muslims sio largest population, bado mahakama hizo ni sehemu ya mahaka zinazohudumiwa na serikali...... Hata hivyo, vile vile mahakama hizo hazitakuwa na maana endapo hazitapata legal approval frm the government....kama hazitakuwapo kwa mujibu wa sheria za nchi! Kenya na Uganda, mahakama hizi zipo kwa mujibu wa sheria (KATIBA)

Sasa, turudi kwenye suala la mahakama yenyewe!

Machache ambayo ningependa kuyasema hapa ni kwamba watu wanapotosha kwa makusudi kuhusu suala zima la mahakama ya kadhi. Watu wanapenda sana kuingiza suala la Sharia Law ili ionekane ni jinsi gani Mahakama ya Kadhi isivyofaa kwenye jamii yetu....!! Hii ni kwavile, tunapozungumzia Sharia Laws, watu akili zao wanazipeleka moja kwa moja kwenye watu kukatwa mikono, watu kupigwa mawe hadi kufa kama hukumu ya uzinzi na mambo mengine kama hayo! Huu ni upotoshaji wa makusudi coz' hilo sio lengo la mahakama ya kadhi na wala haitakuja kuwa lengo lake hususani kwa nchi kama Tanzania. Karibu nchi zote za Kiislamu zina Mahakama ya Kadhi lakini ni chache sana kati ya hizo zenye zina-apply Full Sharia kwenye mahakama hizo...hilo lazima ufahamu kama kweli ulikuwa hufahamu! Hata hapa East Africa, kuna Uganda na Kenya zote zina Mahakama za Kadhi ambazo zipo kwa mujibu wa katiba na zote hizo zina-deal only na muslims personal matters [ndoa, taraka na mirathi]!

Likewise, tujaribu kutofautisha kati ya Canon Laws na Mahakama ya Kadhi....hivi vitu ni tofauti kimfumo! Kwa lugha nyepesi, tunaweza kufananisha Canon Laws na sheria za kimila wakati Mahakama ya Kadhi tunaweza kufananisha na mahakama za kimila! Canon Laws, kama ilivyo kwa sheria za kimila, hazikupata kufutwa na serikali lakini Mahakama za Kadhi kama zilivyo mahakama za kimila; zilifutwa na serikali! Wanachohitaji waislamu ni kurudishiwa mahakama zao na sio sheria zao coz' sheria zipo pale pale na wala hakuna wa kuzifuta labda hadi pale Uislamu utakapotokemea duniani kama itakuja kutokea jambo hilo! Aidha, Mahakama za Kadhi si Misikiti bali ni Mahakama za Kisheria to deal ONLY to matters affecting personal status of muslims ambazo ni masuala ya ndoa, taraka na mirathi....PERIOD! Hii wala si mahakama ambayo mwizi atapelekwa kuhukumiwa ingawaje wapotoshaji wanapenda kusema huo utakuwa mwanzo tu lakini hapo baadae watataka zikate watu mikono!!

MAHAKAMA ZA KADHI NA CANON LAWS:
Kama nilivyotangulia kusema hapo awali, kuna tofauti kati ya Mahakama za Kadhi na Canon Laws. Na sizani kama kwenye Biblia kuna sehemu yoyote ambayo inaeleza ni namna gani mirathi inapaswa kugawanywa au ni namna gani taraka inapaswa kutolewa na rights za wahusika. Katika Quran wameeleza ni namna gani mirathi inapaswa kugawanywa ni akina nani wana haki ya kurithi kulingana na status ya marehemu(deceased family set up) na vile vile imeeleza vizuri mchakato wa taraka! Katika Uislamu, taraka ni suala la mchakato na sio suala la kuamka na kuandika taraka na kumwambia mkeo "TAKE THIS AND GO!" Kwenye Uislamu, except kwa suala la mirathi; kama hamna kifo, basi suala la mali linategemea na actual contribution ya mali husika kwa wanandoa. Hapa kuna uwezekano kwamba mali yote ikawa ya mke peke yake au ya mume peke yake au yao kwa pamoja kulingana na actual contribution ya kila mmoja! Lakini wakati mali ikiwa ni ya mwanamke kwa 100% basi halazimiki kutoa hata senti kumi kwa mtalaka wake; kwa mwanaume hata kama mali ni yake kwa 100% basi analazimishwa na Utamaduni wa Kiislamu kukata sehemu na kumpa mtalaka wake!! Hata kama mke ni Gavana wa BOT na mume ni mwalimu wa shule za kata; kwa mujibu wa Uislamu mwanaume huyu ana wajibu wa kutunza familia na mwanamke wala habanwi na sheria.....na mke huyu pamoja na ukwasi(utajiri) wake wote alionao bado ana haki ya kumpeleka mumewe huyu masikini kwenye mahakama ya kadhi kwamba mumewe haudumii familia! Mwanaume huyu maskini wala hana haki ya kumpeleka mkewe tajiri kwenye mahakama ya kadhi na kusema kwamba ingawaje mkewe ana pesa za kutosha lakini hatoi hata senti moja kwa ajili ya familia....huo si wajibu wake na akifanya hivyo ni kwa upendeleo wake tu huyo mwanamke na pindi anapofanya hivyo(kuhudumia familia); mwenyezi mungu anageuza mchango huo moja kwa moja kuwa sadaka! Hata hivyo, hapo haimaanishi kwamba Mwanamke akiwa na uwezo asihudumie familia; la hasha....busara inasema ahudumie tu na atapata malipo yake ya sadaka lakini halazimi na wala hatapata dhambi asipofanya hayo! So, mambo complicated kama hayo hayawezi kuwa handled na circular courts! Na kuwepo na sheria za kiislamu pasipo na mahakama za kadhi ni sawa na kuwa na graduates wa sheria pasi na kuwa na taasisi za ku-enforce sheria hizo!

Umegusia suala la mahakama za kadhi kuanzishwa na misikiti!!! This's very wrong mkuu wangu! Msikiti ni nyumba ya ibada na sio sehemu ya kutolea hukumu!! Msikiti utabaki msikiti na mahakama ya kadhi itabaki kuwa mahakama ya kadhi.....hivi vitu ni tofauti! Hata mimi naweza kusalisha msikitini; lakini sina weledi wa japo 10% wa kuwa hakimu wa mahakama ya kadhi!

Kwa kuchelea post hii kuwa ndefu na kuwa boring to read, niishie hapo tu!
hilo la mahakama ya kadhi fanyeni yote hata kukatana mikono kama inawezekana, illa fanyeni/simamieni wenyewe...kitendo cha kutumia vyombo vya dola kama polisi/jela/mahabusu nk kudhibiti watu walioshindwa kutimiza sharia za ibada ya kiislam ni kitu kisichowezekana katika nchi hii...kama mtu anashindwa kufuata ibada ya dini yake(ambacho ni kitu cha hiari), sioni kwanini serikali itumie vyombo vyake kumlazimisha mtu huyo afuate ibada yake...mkitaka hivyo mkubali na sheria za dini nyingine zisimamiwe na serikali na muondoe hicho kisingizio eti sheria hizo hazijaandikwa kwenye biblia...kwa hili, tutakula sahani moja hata kwenye katiba mpya...
 
Mangi jenga hoja kwa kufanya utafiti na kutumia takwimu.Kwa taarifa yako kama ukimfuatilia kwa makini JK hata hiyo dini haswa ya Islam haifahamu kwa kina.Yeye anazungumza kisiasa zaidi lakini hana ufahamu wa kina wa masuala ya dini.Makmba anamzidi sana JK kwa upande wa uelewa wa masuala ya dini.Habari ndio hiyo.
 
huo muda uliopoteza kumhisi kiongozi ni mdini,ndio kiwango cha udini ulionao wewe.pili hayo makasa mnayolishwa huko kanisani yatawaua,mkihubiriwa udini huko changanyeni na akili zenu mkuu.post yako ni kijinga sana

acha upumbavu wewe, fungua macho. anyway akili zako ndio zimefikia hapo sio kosa lako.
 
Mangi jenga hoja kwa kufanya utafiti na kutumia takwimu.Kwa taarifa yako kama ukimfuatilia kwa makini JK hata hiyo dini haswa ya Islam haifahamu kwa kina.Yeye anazungumza kisiasa zaidi lakini hana ufahamu wa kina wa masuala ya dini.Makmba anamzidi sana JK kwa upande wa uelewa wa masuala ya dini.Habari ndio hiyo.

Takwimu za kuonyesha udini?hizo nitazipataje?chuki zilizoongezeka baina yetu watanzania chini ya utawala wa JK ndo kielelezo tosha.

Halafu kwani nani kakwambia kila "anayeijuwa dini" ni mdini?tofautisha the two.
 
eeeeeh, hutaniwi?

Nilitegemea input yako earlier on mrembo,na busara zako,however bado hujachelewa.

Kwahiyo kumbe ulikuwa unatania?Nilidhani unasapoti alichopost yule member bila kuelekeza kwa yeyote,siwaentertain member wa aina hiyo hata kidogo.Neways basi tuko pamoja.

Ebu mwaga nasaha basi,unajuwa wananchi wote kwa ujumla wetu tunahitajiana kwasana,we realy need each other more than anytime in our country's history.

Ni vyema tusikwepe jukumu la kujadiliana hata zile hoja ambazo tunaona ni ngumu ama sensitive.
 
Nilitegemea input yako earlier on mrembo,na busara zako,however bado hujachelewa.Kwahiyo kumbe ulikuwa unatania?Nilidhani unasapoti alichopost yule member bila kuelekeza kwa yeyote,siwaentertain member wa aina hiyo hata kidogo.Neways basi tuko pamoja.Ebu mwaga nasaha basi,unajuwa wananchi wote kwa ujumla wetu tunahitajiana kwasana,we realy need each other more than anytime in our country's history.Ni vyema tusikwepe jukumu la kujadiliana hata zile hoja ambazo tunaona ni ngumu ama sensitive.

Well, I wouldnt want to sound stupid by repeating what has been said earlier on.
Ila kwa kusoma tu assumptionyako hapo juu, na swali zinazo fatia, ngoja niseme:
kwanza SIDHANI KAMA Rais Kikwete ni mdini. Mdini ni mtu anae tumia dini ku-promote
kitu ambacho kinamfalia yeye au kundi lake, na kuwafedheesha wengine
He does this by praising one religion, or by criticising negatively another religion. (IMO)

Rais angekua mdini angeshawishi kipengele cha dini kiingie kwenye katiba yetu
Angekua mdini mngeona mambo ya quota yanakuja wakati wa kuteua-teuliwa
angekua mdini mngemuona akisema au akitenda in a way that makes it explicit
kua yeye ni mfwasi wa dini fulani, anaponda dini zisizo zake, huku aki-promote dini yake.
Being of a certain faith does NOT MEAN that Raisi Kikwete amekua mdini.

On the other hand, as the supreme leader, nadhani alitakiwa kuelewa na kuchukua hatua sababu:
This problem didn't appear suddenly. hata enzi za utawala wa Mwalimu, alishtakiwa kua mdini
It is possible that udini umekua juu zaidi leo kuliko wakati wa Mwalimu, ila sio kosa la mtu mmoja.
BAADHI YA WATANZANIA WAMEKUA WADINI. Narudia: Rais sio mdini, BAADHI YA WATANZANIA ARE.

nakubali kua kama kiongozi wa kisiasa, kama Mheshimiwa Rais wa nchi, alitakiwa alione hili
mapemana aanze kutafuta strategies za kupunguza tensions and conflicts among "believers".
But he didn't.Is that a failure in his leadership abilities? probably. Can he be indexed as mdini?
I don't think so.Unaweza kua "udhaifu" wa kawaida tu [no comment] ila sio Udini. Wadini ni waninchi fulani, wala sio yeye!

Tusisahau pia kua we are in a context where any negative action is blamed on the ruling party
and within a party, any negative action is blamed on a faction. Tumeyaona CCM, tumeyaona CDM
Some obnoxious and bellicose politicians blame udini on the current president. Or use it for themselves.
Some other use religion to gather votes, sympathy, praise etc. Siasa ni mchezo mchafu, kila kitu ni silaha.
 
Mwali,nimekupata sawia.

Napenda niseme kwamba,ni ukweli umeidhinisha kuwa, maybe udhaifu wa JK wa kutoyapatia ufumbuzi ama kuyashughulikia matatizo ya wananchi kumetafsiriwa na mimi mleta hoja kwamba ni udini.

Kimantiki,nakubaliana na wewe kwasababu inamake sense kwa jinsi tunavyouona utendaji wake wa kazi.Lakini pia,mada hii ni pana sana na nimejaribu kucover hizo "weaker sides" of my main point kwa kadri ya uwezo wangu.

Kwanza nilifanya hivyo kwa kuhusisha hoja ya JK na watu wake kwamba ameruhusu uhuru wa habari.Na nikasema kuwa,hiyo si kweli,nikatolea mfano wa vyombo vya habari vyenye kueneza chuki za kidini ambavyo vinaachwa vifanye hivyo bila wasiwasi.Na wakati kwa upande mwingine,nilitolea mfano wa gazeti la mwanahalisi kufungiwa kwa kuandika yale yasiyompendeza.Hata mtandao huu walishajaribu kuufanyia kipindi cha nyuma kama sikosei.Hivyo yale anayoyaacha,naweza kuconclude kwamba yanamfurahisha(siyo yote).

Na kwahiyo licha ya kwamba inaonyesha mnaomtetea mnaya attribute haya kwenye udhaifu wa kiutendaji,bado kuna mambo ambayo hajaonyesha udhaifu hata kidogo.Mambo ambayo watu wake wanayafanya yenye kuonyesha ubabe kabisa na ukiukwaji wa haki za kimsingi kabisa za watanzania.

Sasa tunapopima yanayofanyika kwenye taifa letu,na kuona matokeo yake,basi tunajuwa kuwa something is deadly wrong,nchi haiwezi kuwa kwenye chuki za kidini kuliko wakati wowote ule kwenye historia yetu,halafu eti lawama tupeleke kwa mtu alyetawala zaidi ya miaka takriban 30 iliyopita.

Mimi sizungumzi nani analalamika kuhusu udini,nazungumzia chuki za kidini.Kama kuna waliokuwa wakilalamika udini chini ya mwalimu,basi hiyo ni topic nyingine.

Na kwakukusaidia tu,ni kwamba kama Nyerere alikuwa mdini,basi uweke sababu ie kulikuwepo na udini etc.Hilo tutapingana sana tu,kwasababu chini ya utawala wake tulikuwa na mshikamano.Ila maybe unaweza kuitetea pointi yako kwa kuingiza hoja ya mfumo kristo.Hilo lina thread yake limejadiliwa na bado linaendelea kujadiliwa.

Sasa ninapojiuliza ni kwanini hili ama lile,kwa mfano kukiwa na machafuko kwenye taifa,ama uchumi ukiwa mbaya nk,credits kama nilivyosema hapo awali,zinamwendea mkuu wa nchi.

Na kusema ukweli hiyo mifano uliyoitoa,kwamba JK hajasema hiki ama kile against dini nyingine,ukweli ni kwamba hathubutu kusema hayo kwani asingekuwepo madarakani kwa maneno kama hayo.Ila rais anapimwa kwa matokeo.We look at the results.Nchi ikiwa na mshikamano,atapewa credit,and the opposite is also true.

Sasa ngoja nimalizie kwa kusema haya tena kwa mara nyingine.Nilisema kuwa,JK serikali yake ina kashfa za ufisadi,lakini toka hizi hoja za udini zilipoanza,basi huwezi kushangazwa na watu kumtetea fisadi kwenye issue wazi kabisa ya ufisadi bila kusikia wengine wakisema kiongozi huyo anaonewa kwasababu ya dini yake endapo ni muislam.

Yani issue iliyowaunganisha watanzania ya ufisadi,inaangaliwa kwanza kwa basis ama jicho la udini.Na hata JK mwenyewe akishutumiwa kwa hili ama lile,utasikia ni kwasababu ni muislam.Sasa hapo unategemea niseme nani ni mdini endapo watu wake ndo wameanzisha hayo?

Inasemekana kwenye uchaguzi uliopita,alitumia issue hiyohiyo kuwagawa wananchi.Hili ni tatizo kubwa.Kama alikuwa na uwezo wa kulifungia mwanahalisi,anashindwa vipi kukemea vyombo vya habari vyenye mienendo hiyo?

Naomba niseme kwamba,kama huu udini usingemnufaisha yeye,basi nisingemuhusisha nao hata kidogo.Mimi napenda sana kuwa fair,napenda usawa,sipendi ukandamizaji wala uonevu hata kidogo,hiyo siyo character yangu.

Kama anajuwa kuupinga udini kutawaunganisha watanzania dhidi ya mafisadi,basi naamini yeye anafurahia hali hiyo,so siwezi kumwona tofauti na kwamba ni mdini.Regardless of the reason on how it happens.Nimeconnect dots nikafikia kwenye conclusion hii.However nakubaliana kwa kiasi kikubwa na baadhi ya points zako.
 
Last edited by a moderator:
Kikwete si mdini hamjamuelewa tu ,kwanza ameshiliki shuguli nyingi za kilokole kuliko za uamsho ,sasa udini upo wapi ,huo mlionao ni udhaifu wa kumuelewa ,mnasema mpaka kieleweke wakati hamuelewagi !

Nionavyo JK anamaliza muda wake kistaarabu.
 
Mkuu hatima ya TZ iko mikononi mwetu,JK atapita km zilivyopita mamlaka nyingine,
Atakumbukwa kwa kupanda udini,na atasifiwa kwa kuiua CCM.
 
Madhali umeshasikia kuhusiana na canon law,basi wacha nikupe hints kuhusiana na common law.

Kwa kifupi,common law iko originated kutoka kwa waingereza.Nchi zote ambazo zilitawaliwa na waingereza,kwasababu ya colonial heritage,sheria zetu zimetokana na common law ambayo ni English legal sytem.

Common law imekuwa developed na majaji kutokana na maamuzi ya koti yaliyopita.Yani common law is based solely on precedent.

Hii ina maana kuwa,makosa yakitokea,halafu uamuzi ukafanyika,basi kosa likitokea tena,jaji ana refer hukumu kutokana na maamuzi ama hukumu zilizowahi kutolewa kwenye kosa kama hilo.

Kama umepata mwanga kidogo kuhusiana na common law,basi nijulishe.Ama kama kuna pahala hujaelewa,basi nijulishe.

Aisee!! Mara kwa mara nimekuwa nikijiuliza busara inayotumika kwa kesi, say iliyopo Tanzania na kuchukua reference from another country.....inaleta sense for sure....no new crime ambayo inaweza kutokea pahala ambayo haijapata kutokea popote! But unataka kuniambia mashauri yanayofanyika na Wakatoliki ndo yanatumia hizo Common Laws?! And by the way, What is Canon Laws? Nimepata mwanga wa kutosha kuhusu hiyo Common Laws, but bado hapo kwenye Canon Laws.
 
hilo la mahakama ya kadhi fanyeni yote hata kukatana mikono kama inawezekana, illa fanyeni/simamieni wenyewe...kitendo cha kutumia vyombo vya dola kama polisi/jela/mahabusu nk kudhibiti watu walioshindwa kutimiza sharia za ibada ya kiislam ni kitu kisichowezekana katika nchi hii...kama mtu anashindwa kufuata ibada ya dini yake(ambacho ni kitu cha hiari), sioni kwanini serikali itumie vyombo vyake kumlazimisha mtu huyo afuate ibada yake...mkitaka hivyo mkubali na sheria za dini nyingine zisimamiwe na serikali na muondoe hicho kisingizio eti sheria hizo hazijaandikwa kwenye biblia...kwa hili, tutakula sahani moja hata kwenye katiba mpya...

Mkuu wangu umeghafirika wapi?! Ingawaje post yako umeandika kwa ku-quote my post lakini sioni uhusiano wowote wa hiki ulichokiandika na kile nilichokiandika!!!! vipi mkuu wangu!!!!! Vyombo vya serikali gani na kufanya ibada ipi? Nani anataka ibada za Waislamu zisimamiwe na serikali......let me assume ulisoma post yangu huku ukiwa na personal stress.....unaonaje baada ya kutulia ukianza kuisoma upya kisha uchangie!!! Ni ushauri tu
 
Naona kumuuliza muanzisha huu uzi unaweza kunitajia mkiristo mdini, kama ulivyotamja JK ni mdini ebu nitajie na mie nichangie kidogo kutoka na upeo wangu mdogo.
 
Naona kumuuliza muanzisha huu uzi unaweza kunitajia mkiristo mdini, kama ulivyotamja JK ni mdini ebu nitajie na mie nichangie kidogo kutoka na upeo wangu mdogo.
Sijawahi kuona chuki za kidini zimetawala kwa kiasi kikubwa kama under this regime.Hilo liko wazi sana.Uhuru wa kupanda chuki za kidini upo,lakini uhuru wa kusema ukweli haupo.
 
Kikwete si mdini hamjamuelewa tu ,kwanza ameshiliki shuguli nyingi za kilokole kuliko za uamsho ,sasa udini upo wapi ,huo mlionao ni udhaifu wa kumuelewa ,mnasema mpaka kieleweke wakati hamuelewagi !

Nionavyo JK anamaliza muda wake kistaarabu.
Results,na siyo eti kushiriki,hizo ni shughuli tu ambazo zinabeba majukumu ya kuwatumikia wananchi wote wa taifa la Tanzania.Look at the results,uamsho na mataka taka yote happened under his watch,na kwasababu ananufaika yeye na chama chake,then ni mdini.Fisadi siyo fisadi kwasababu ni muislam,huo ni udini.Hakuna rais mwenye agenda za siri anayefanya hayo mambo openly,hizo ni agenda za siri ambazo hufanyika covertly!ukitaka kuzijuwa,haumsikilizi anachosema,unatizama matokeo.
 
Mkuu wangu umeghafirika wapi?! Ingawaje post yako umeandika kwa ku-quote my post lakini sioni uhusiano wowote wa hiki ulichokiandika na kile nilichokiandika!!!! vipi mkuu wangu!!!!! Vyombo vya serikali gani na kufanya ibada ipi? Nani anataka ibada za Waislamu zisimamiwe na serikali......let me assume ulisoma post yangu huku ukiwa na personal stress.....unaonaje baada ya kutulia ukianza kuisoma upya kisha uchangie!!! Ni ushauri tu

Nilikuwa nakujibu hicho hapo chekundu...mahakama ya Kadhi kuwepo kwa mujibu wa sheria za nchi maana yake ni nini? Zitambuliwe kwenye katiba kama sheria za nchi?
Kwenye hayo maswali ndiyo likaja suala la dola maana ni sheria za nchi tu ambazo zinaweza kuwa enforced na vyombo vya dola...
quote_icon.png
By NasDaz

jmushi1,
It's very unfortunately that u're dragging me to the discussion that had never been of my interest! Narudia, unanilazimisha kwenye mjadala ambao cjawahi hata mara moja kuupigia upatu hapa ingawaje si kwamba naona wale wanaoujadili hawana umuhimu wa kufanya hivyo. Nalazimika kuyajadili haya kwa shingo upande hususani pale ninapoona watu ama kwa kutofahamu au kwa makusudi kupotosha! I'd like to explain very short about this here; i'd appreciate kama utaridhika na yale machache na kama hutaridhika nayo basi, with due resect ningekuomba utafute thread inayoelezea masuala ya mahakama ya kadhi ukajifunze huko kama kweli una nia ya kujifunza! Nafahamu hiyo thread humu jamvini ipo ingawaje sizani kama nimeshawahi kuipitia au kuchangia chochote huko coz' it's not part of my interest. Na hata kama nimepata kuchangia, basi sizani kama nilipata kuwa active contributor kama ambavyo nimepata kuwa kwenye baadhi ya mada. Na kama ungependa kufahamu msimamo wangu kwenye suala la Mahakama ya Kadhi, then simple and clear kwamba itakuwa unfair kama mahakama hiyo itahitaji kutumia national resources; kodi za wananchi in particular ingawaje kwenye baadhi ya nchi za Africa ambako hata hao Muslims sio largest population, bado mahakama hizo ni sehemu ya mahaka zinazohudumiwa na serikali...... Hata hivyo, vile vile mahakama hizo hazitakuwa na maana endapo hazitapata legal approval frm the government....kama hazitakuwapo kwa mujibu wa sheria za nchi! Kenya na Uganda, mahakama hizi zipo kwa mujibu wa sheria (KATIBA)

Sasa, turudi kwenye suala la mahakama yenyewe!

Machache ambayo ningependa kuyasema hapa ni kwamba watu wanapotosha kwa makusudi kuhusu suala zima la mahakama ya kadhi. Watu wanapenda sana kuingiza suala la Sharia Law ili ionekane ni jinsi gani Mahakama ya Kadhi isivyofaa kwenye jamii yetu....!! Hii ni kwavile, tunapozungumzia Sharia Laws, watu akili zao wanazipeleka moja kwa moja kwenye watu kukatwa mikono, watu kupigwa mawe hadi kufa kama hukumu ya uzinzi na mambo mengine kama hayo! Huu ni upotoshaji wa makusudi coz' hilo sio lengo la mahakama ya kadhi na wala haitakuja kuwa lengo lake hususani kwa nchi kama Tanzania. Karibu nchi zote za Kiislamu zina Mahakama ya Kadhi lakini ni chache sana kati ya hizo zenye zina-apply Full Sharia kwenye mahakama hizo...hilo lazima ufahamu kama kweli ulikuwa hufahamu! Hata hapa East Africa, kuna Uganda na Kenya zote zina Mahakama za Kadhi ambazo zipo kwa mujibu wa katiba na zote hizo zina-deal only na muslims personal matters [ndoa, taraka na mirathi]!

Likewise, tujaribu kutofautisha kati ya Canon Laws na Mahakama ya Kadhi....hivi vitu ni tofauti kimfumo! Kwa lugha nyepesi, tunaweza kufananisha Canon Laws na sheria za kimila wakati Mahakama ya Kadhi tunaweza kufananisha na mahakama za kimila! Canon Laws, kama ilivyo kwa sheria za kimila, hazikupata kufutwa na serikali lakini Mahakama za Kadhi kama zilivyo mahakama za kimila; zilifutwa na serikali! Wanachohitaji waislamu ni kurudishiwa mahakama zao na sio sheria zao coz' sheria zipo pale pale na wala hakuna wa kuzifuta labda hadi pale Uislamu utakapotokemea duniani kama itakuja kutokea jambo hilo! Aidha, Mahakama za Kadhi si Misikiti bali ni Mahakama za Kisheria to deal ONLY to matters affecting personal status of muslims ambazo ni masuala ya ndoa, taraka na mirathi....PERIOD! Hii wala si mahakama ambayo mwizi atapelekwa kuhukumiwa ingawaje wapotoshaji wanapenda kusema huo utakuwa mwanzo tu lakini hapo baadae watataka zikate watu mikono!!

MAHAKAMA ZA KADHI NA CANON LAWS:
Kama nilivyotangulia kusema hapo awali, kuna tofauti kati ya Mahakama za Kadhi na Canon Laws. Na sizani kama kwenye Biblia kuna sehemu yoyote ambayo inaeleza ni namna gani mirathi inapaswa kugawanywa au ni namna gani taraka inapaswa kutolewa na rights za wahusika. Katika Quran wameeleza ni namna gani mirathi inapaswa kugawanywa ni akina nani wana haki ya kurithi kulingana na status ya marehemu(deceased family set up) na vile vile imeeleza vizuri mchakato wa taraka! Katika Uislamu, taraka ni suala la mchakato na sio suala la kuamka na kuandika taraka na kumwambia mkeo "TAKE THIS AND GO!" Kwenye Uislamu, except kwa suala la mirathi; kama hamna kifo, basi suala la mali linategemea na actual contribution ya mali husika kwa wanandoa. Hapa kuna uwezekano kwamba mali yote ikawa ya mke peke yake au ya mume peke yake au yao kwa pamoja kulingana na actual contribution ya kila mmoja! Lakini wakati mali ikiwa ni ya mwanamke kwa 100% basi halazimiki kutoa hata senti kumi kwa mtalaka wake; kwa mwanaume hata kama mali ni yake kwa 100% basi analazimishwa na Utamaduni wa Kiislamu kukata sehemu na kumpa mtalaka wake!! Hata kama mke ni Gavana wa BOT na mume ni mwalimu wa shule za kata; kwa mujibu wa Uislamu mwanaume huyu ana wajibu wa kutunza familia na mwanamke wala habanwi na sheria.....na mke huyu pamoja na ukwasi(utajiri) wake wote alionao bado ana haki ya kumpeleka mumewe huyu masikini kwenye mahakama ya kadhi kwamba mumewe haudumii familia! Mwanaume huyu maskini wala hana haki ya kumpeleka mkewe tajiri kwenye mahakama ya kadhi na kusema kwamba ingawaje mkewe ana pesa za kutosha lakini hatoi hata senti moja kwa ajili ya familia....huo si wajibu wake na akifanya hivyo ni kwa upendeleo wake tu huyo mwanamke na pindi anapofanya hivyo(kuhudumia familia); mwenyezi mungu anageuza mchango huo moja kwa moja kuwa sadaka! Hata hivyo, hapo haimaanishi kwamba Mwanamke akiwa na uwezo asihudumie familia; la hasha....busara inasema ahudumie tu na atapata malipo yake ya sadaka lakini halazimi na wala hatapata dhambi asipofanya hayo! So, mambo complicated kama hayo hayawezi kuwa handled na circular courts! Na kuwepo na sheria za kiislamu pasipo na mahakama za kadhi ni sawa na kuwa na graduates wa sheria pasi na kuwa na taasisi za ku-enforce sheria hizo!

Umegusia suala la mahakama za kadhi kuanzishwa na misikiti!!! This's very wrong mkuu wangu! Msikiti ni nyumba ya ibada na sio sehemu ya kutolea hukumu!! Msikiti utabaki msikiti na mahakama ya kadhi itabaki kuwa mahakama ya kadhi.....hivi vitu ni tofauti! Hata mimi naweza kusalisha msikitini; lakini sina weledi wa japo 10% wa kuwa hakimu wa mahakama ya kadhi!

Kwa kuchelea post hii kuwa ndefu na kuwa boring to read, niishie hapo tu!
 
Kwakweli udini ni ishu nyeti kwasasa kumekuwa na chuki ya wazi imepandikizwa na rais dhaifu huu ni ukweli mchungu na ndugu zangu waislam wanaangukia katika mtego huu wa udini. Me naona tuungane wakristo na waislam sisi ni ndugu tuikatae hii serikali dhaifu. Adui yetu ni uongozi mmbovu wa serikali ya ccm umaskini wa kutupwa na ufisadi sidhani kama udini utatupeleka mahala salama
 
Kwakweli udini ni ishu nyeti kwasasa kumekuwa na chuki ya wazi imepandikizwa na rais dhaifu huu ni ukweli mchungu na ndugu zangu waislam wanaangukia katika mtego huu wa udini. Me naona tuungane wakristo na waislam sisi ni ndugu tuikatae hii serikali dhaifu. Adui yetu ni uongozi mmbovu wa serikali ya ccm umaskini wa kutupwa na ufisadi sidhani kama udini utatupeleka mahala salama
Maneno mazito hayo Queen Kyusa,mwenye masikio na asikiie...
 
Last edited by a moderator:
Jk si mdini bali ni kiongozi mwenye subira kwa kila jambo sema tu sisi wananchi ndio tuokurupuka-kurupuka tu kwa kila jambo au neno lipitalo masikioni mwetu au machoni petu.sawa vigezi vilitumika katika hili kwa mtazamo wako yaweza kuwa sawa but kwa mtazamo mwingine si sawa.so no conclusion yet to jugde this issue may be after 10yrs to come and not now.
 
Jk si mdini bali ni kiongozi mwenye subira kwa kila jambo sema tu sisi wananchi ndio tuokurupuka-kurupuka tu kwa kila jambo au neno lipitalo masikioni mwetu au machoni petu.sawa vigezi vilitumika katika hili kwa mtazamo wako yaweza kuwa sawa but kwa mtazamo mwingine si sawa.so no conclusion yet to jugde this issue may be after 10yrs to come and not now.
Nakubali mkuu,history will judge him...Lakini haina maana kuwa hatuna macho ya kuona na akili ya kufikiri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom