Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Status
Not open for further replies.
Swala sio tuko wengi au laa isipokuwa sensa itatuwezesha kujua idadi ya Watanzania wote kwa ujumla wa makundi yao ya kijamii iwe watoto wanawake, makabila na hata dini zao tena inatakiwa tujue hata wageni wahamiaji na wale walioingia kinyemela. Wazanzibara wangapi wamehamia bara na Wabara kuhamia visiwani kisha tunatafuta reasons na kadhalika. Hii ndio maana kamili ya sensa ili kuiwezesha serikali yetu ya muungano kupanga mipango yake ya maendeleo kwa jamii nzima kwa kuzingatia tofauti zetu ambazo huzua kero ktk jamii kama zisipohusishwa.

Kinachonishinda kuelewa ni kwa nini mnakazania kuuliza kama waislaam ni wengi iweje?, hivi tunapo wahesabu wanawake na wanaume nchini (kipengele hicho) huwa tunataka kujua wingi wao au ni takwimu zinazoiwezesha serikali kupanga mipango yake ktk maendeleo kuwawezesha wanawake ktk sehemu za ujenzi wa taifa. Kila siku tumesikia wanawake wakillalamika kuhusu kutengwa ktk nafasi za kazi na masomo, utajuaje ukweli wa dhana hii pasipo kufanya sensa?.

Kwa nini serikali inataka kujua idadi ya watoto? Je, wakiwa wengi itafanya nini? na kwa nini serikali inataka kujua wingi wa wazee, Je wakiwa wachache itawafanya nini?. Hizi ndizo fikra zenu tu WINGI wakati swala sio wingi bali kujua hatua za kimaisha baina ya jamii zetu kwa miaka 10 iliyopita kunatokea mabadiliko gani na serikali itajiandaa vipi kuwaendeleza ama kuwalinda. Maswali haya mnashindwa kujiuliza isipokuwa la waislaam tu mbona husemi wakiwa wakristu wengi itakuwaje?
Ndugu Mkandara,

Hivi watu kuhamia sehemu kunaweza kujulikana tu watu wakiulizwa dini zao? Watoto wakiwa wengi serikali itapanga maendeleo kama huduma za afya na uzazi, mipango ya badae ya kujenga shule kulingana na idadi hiyo. Je, ikipata wapagani ni wengi zaidi itapanga mipango ya kuwapelekea misikiti na makanisa?
Ukweli ni kuwa popote walipo ndugu zetu waislamu watadai kufanyiwa vitu ambavo zinapaswa kufanywa na dini badala ya serikali hii ni kwa kuwa secularism kwa waislamu ni msamiati. Badala ya kutenga huduma au mambo yao na serikali watataka huduma nyingi zitoke serikalini au ziwe katika mfumo wa serikali. Huu mfumo unawezekana tu ambapo watu au waislamu ni wengi hivyo akili zao ziko sawa kidini na njia hiyo ya kuendesha serikali. Ni mfumo ambao ni wa ajabu kabisa lakini kwao uko sahihi. Nafikiri kwa idadi yoyote ambayo wangepata kwenye sensa wangeanza kudai haki za kuhudumiwa na serikali kwa huduma ambazo zinapaswa kuwa za kidini kama mahakama ya kadhi.
Mimi siamini waislamu ni wengi nchi hii hata nikichukua ramani ya Tanzania niiweke mkononi mwangu halafu nianze kuanisha maeneo ambako kuna waislamu. Ndio si kidogo lakini ni sehemu ndogo tu kulinganisha na maeneo walipotapakaa wakristo. Huko kwetu ukienda watu ambao hawajatembelea mjini hawajui kuna dini inaitwa uislamu labda kwa sasa kwa kuwa mawasiliano yapo kwa wingi. Nilitamani serikali ifanye hiyo sensa ili waislamu wajue ukweli kuwa ni wachache. Lakini najua hilo lisingeishia hapo. Swali; Wangekubali ni wachache? Wasingeanzisha malumbano mengine?
Na kwasababu Mkandara hujajibu swali la Jmushi1. Mimi naliuliza tena hilo swali; Serikali ikishajua waislamu, wakristo au wapagani ni wangepi inakuwaje? Inasaidia nini serikali? Inatusaidia nini watanzania katika kusukuma gurudumu la maendeleo?
 
Sangoros, sasa wewe kamanda unaamini waislam ni wengi kuliko wakristo? Hauko serious kabisa. Hivi ni kweli RC wote walivyojazana nchi nzima, jumlisha na KKKT, ongeza na African Inland kule Mwanza, njo uwaweke pamoja na Anglikana na ukimaliza uje uonane na hawa wapentekoste (akina Kakobe, Mwingira, Gwajima, Fernandez - FGBF, Assemblies, Church of Christ etc) hawa wooooote na uende kule Mbeya kuna zaidi ya madhehebu 400. Hivi kweli kwa akili zako wewe unadhani waislamu ni wengi kuliko wakristo? Sawa unaweza ukasema Zanzibar waislam ni asilimia 98 lakini kumbuka inakadiriwa kuwa wazanzibari wapo milioni 1 hivi sasa (inawezekana bado hawajafika) ni asilimia 2.5 tu ya makadirio ya watanzania milioni 40. Unachekesha sana kamanda. Tatizo hapa ni kuwa wakristo wananjia zao zakukusanyia takwimu za watu wao na ndio hizi wanazoziweka kwenye hizi websites. Wakishajumlisha kuwa kuna waumini wangapi katika madhehebu husika, wanapiga hesabu kupata idadi hiyo ni asilimia ngapi ya watanzania wote. Hawategemei serikali kuwafanyia zowezi hilo. Wikipedia kazi yao ni kuchukua takwimu kutokana na information zinazopatikana kama hizi bila kujali source ya kizo takwimu. Ushauri wangu kwa ndugu zangu waislam ni kuwa waiache serikali ifanye hesabu zake harafu, ikishamaliza, nao wazunguke kila kila msikiti na wajue waislam ni wangapi then wapige hesabu kujuwa waislam ni asilimia ngapi ya watanzania wote.

Labda nianze kukuuliza kutokea hapo kwenye RED....hivi unafahamu unachokiandika, au?! According to hiyo wikipedia yako, wanasema: "Tanzania's population consists of approximately 62% Christians, 35% Muslims, and 3% followers of indigenous religions.[SUP][32][/SUP] The CIA World Factbook however states that 30% of the population is Christian with Muslim being 35% and indigenous beliefs 35%"
Kwanza, nianze kukubaliana na madai yako kwamba Wakristo wana njia zao za kupata idadi yao.....this means tht, kama national census inasema TZ ina wakazi 40m na kisha mkajihesabu huko makanisani na mkajikuta mpo 30m, then ni sahihi kabisa Wikipedia kwa kuzingatia takwimu zenu wakisema Christians wapo 75% and MusIims 25% IF and ONLY IF imani zilizopo ni Ukristo na Uislamu peke yake! Hata hivyo, Wikipedia wametoa %age ya Christians, Muslim, na Indigenous Beliefs!! Sasa hiyo %age ya Muslims na Indigenous Beliefs imetoka wapi wakati si Waislamu wala Indigenous Beliefs wamekuwa wakitafuta idadi yao?!
 
Ndugu Mkandara,

Hivi watu kuhamia sehemu kunaweza kujulikana tu watu wakiulizwa dini zao? Watoto wakiwa wengi serikali itapanga maendeleo kama huduma za afya na uzazi, mipango ya badae ya kujenga shule kulingana na idadi hiyo. Je, ikipata wapagani ni wengi zaidi itapanga mipango ya kuwapelekea misikiti na makanisa?
Ukweli ni kuwa popote walipo ndugu zetu waislamu watadai kufanyiwa vitu ambavo zinapaswa kufanywa na dini badala ya serikali hii ni kwa kuwa secularism kwa waislamu ni msamiati. Badala ya kutenga huduma au mambo yao na serikali watataka huduma nyingi zitoke serikalini au ziwe katika mfumo wa serikali. Huu mfumo unawezekana tu ambapo watu au waislamu ni wengi hivyo akili zao ziko sawa kidini na njia hiyo ya kuendesha serikali. Ni mfumo ambao ni wa ajabu kabisa lakini kwao uko sahihi. Nafikiri kwa idadi yoyote ambayo wangepata kwenye sensa wangeanza kudai haki za kuhudumiwa na serikali kwa huduma ambazo zinapaswa kuwa za kidini kama mahakama ya kadhi.
Mimi siamini waislamu ni wengi nchi hii hata nikichukua ramani ya Tanzania niiweke mkononi mwangu halafu nianze kuanisha maeneo ambako kuna waislamu. Ndio si kidogo lakini ni sehemu ndogo tu kulinganisha na maeneo walipotapakaa wakristo. Huko kwetu ukienda watu ambao hawajatembelea mjini hawajui kuna dini inaitwa uislamu labda kwa sasa kwa kuwa mawasiliano yapo kwa wingi. Nilitamani serikali ifanye hiyo sensa ili waislamu wajue ukweli kuwa ni wachache. Lakini najua hilo lisingeishia hapo. Swali; Wangekubali ni wachache? Wasingeanzisha malumbano mengine?
Na kwasababu Mkandara hujajibu swali la Jmushi1. Mimi naliuliza tena hilo swali; Serikali ikishajua waislamu, wakristo au wapagani ni wangepi inakuwaje? Inasaidia nini serikali? Inatusaidia nini watanzania katika kusukuma gurudumu la maendeleo?
Nashukuru sana mkuu wangu for this useful post,naamini wazalendo bado wapo watakaolisimamia taifa hili.Kuhusu hilo swali,wanaogopa wakijibu,basi malengo yao mabaya yatakuwa exposed,halijibiki hilo swali.Na ndipo nilipo wa nail.
Stay blessed.
 
Ndugu Mkandara,

Hivi watu kuhamia sehemu kunaweza kujulikana tu watu wakiulizwa dini zao? Watoto wakiwa wengi serikali itapanga maendeleo kama huduma za afya na uzazi, mipango ya badae ya kujenga shule kulingana na idadi hiyo. Je, ikipata wapagani ni wengi zaidi itapanga mipango ya kuwapelekea misikiti na makanisa?
Ukweli ni kuwa popote walipo ndugu zetu waislamu watadai kufanyiwa vitu ambavo zinapaswa kufanywa na dini badala ya serikali hii ni kwa kuwa secularism kwa waislamu ni msamiati. Badala ya kutenga huduma au mambo yao na serikali watataka huduma nyingi zitoke serikalini au ziwe katika mfumo wa serikali. Huu mfumo unawezekana tu ambapo watu au waislamu ni wengi hivyo akili zao ziko sawa kidini na njia hiyo ya kuendesha serikali. Ni mfumo ambao ni wa ajabu kabisa lakini kwao uko sahihi. Nafikiri kwa idadi yoyote ambayo wangepata kwenye sensa wangeanza kudai haki za kuhudumiwa na serikali kwa huduma ambazo zinapaswa kuwa za kidini kama mahakama ya kadhi.
Mimi siamini waislamu ni wengi nchi hii hata nikichukua ramani ya Tanzania niiweke mkononi mwangu halafu nianze kuanisha maeneo ambako kuna waislamu. Ndio si kidogo lakini ni sehemu ndogo tu kulinganisha na maeneo walipotapakaa wakristo. Huko kwetu ukienda watu ambao hawajatembelea mjini hawajui kuna dini inaitwa uislamu labda kwa sasa kwa kuwa mawasiliano yapo kwa wingi. Nilitamani serikali ifanye hiyo sensa ili waislamu wajue ukweli kuwa ni wachache. Lakini najua hilo lisingeishia hapo. Swali; Wangekubali ni wachache? Wasingeanzisha malumbano mengine?
Na kwasababu Mkandara hujajibu swali la Jmushi1. Mimi naliuliza tena hilo swali; Serikali ikishajua waislamu, wakristo au wapagani ni wangepi inakuwaje? Inasaidia nini serikali? Inatusaidia nini watanzania katika kusukuma gurudumu la maendeleo?

Mkuu wangu Thesi, msituletee politics hapa ili tu ku-defend hoja zenu....na mbaya zaidi hoja hizo nachelea zisiwe za kinafiki(unfortunately, sifahamu kisiasa unaegemea wapi) tofauti na akina jmushi1!!! Leo hii, jmushi1 na wenzake wanaonekana ku-support hoja hiyo kwenye RED simply because inawa-attack akina Ponda!!!

Tell me, kama hoja ni kwamba mipango ya serikali (ya hapa TZ) haiangalii uwiano wa kidini bali makundi mengine mengine kama watoto.....je, hadi sasa kimefanyika nini kwenye hayo makundi husika?!
Ngoja nikupe mfano mdogo, kuna sheria inasema kwamba Taasisi yoyote yenye wafanyakazi 100 na zaidi; basi at least 3% ya wafanyakazi wake wawe ni wale wenye ulemavu....!! Sasa basi, achilia mbali taasisi binafsi, je huko serikalini wanazingatia sheria hiyo?! Je, hakuna walemavu ambao ni graduates, wenye diploma, form six leavers ambao hawana ajira ?! Mbona hata ile nia tu ya kutekeleza sheria hiyo haionekani angalau kwa kuweka kwenye matangazo yao ya kazi kwamba "disabled pple who meet minimum qualifications are guaranteed for interview!" Hivyo basi, inawezekana kabisa akina Ponda wasiwe na hoja, lakini vile vile hoja ya serikali kwamba mipango yao haiangalii dini nayo ni hoja isiyo na mashiko coz' hata pale kundi fulani inapofahamika wana uhitaji fulani bado serikali imeshindwa kufanya hivyo!! Sana sana, sensa kwa hapa kwetu imekuwa ni kama utamuduni tu huku impact yake ikiwa haionekani!
 
Nashukuru sana mkuu wangu for this useful post,naamini wazalendo bado wapo watakaolisimamia taifa hili.Kuhusu hilo swali,wanaogopa wakijibu,basi malengo yao mabaya yatakuwa exposed,halijibiki hilo swali.Na ndipo nilipo wa nail.
Stay blessed.

jmushi1, wewe huna uzalendo huo unaotaka tuamini kwamba unao.....na kama unao basi ndani ya uzalendo wako bado kuna elements za udini!!! Acha ku-manipulate watu hapa, na mbaya zaidi utawa-manipulate wale tu wasio na uwezo wa kusoma btn lines! Nimekupa changamoto ambazo nimekuomba uzifanyie kazi, lakini hamna hata moja uliyoifanyia kazi na badala yake hapa umekalia ku-manipulate akili za watu!!! Today mkuu wangu ni 01.09.2012.....am telling, sooner or later, nitakukamata tu humu jamvini na post inayotoa upande wa pili wa jmushi1! Take my note; NITAKUKUMBUSHA HII SIKU!
 
jmushi1, wewe huna uzalendo huo unaotaka tuamini kwamba unao.....na kama unao basi ndani ya uzalendo wako bado kuna elements za udini!!! Acha ku-manipulate watu hapa, na mbaya zaidi utawa-manipulate wale tu wasio na uwezo wa kusoma btn lines! Nimekupa changamoto ambazo nimekuomba uzifanyie kazi, lakini hamna hata moja uliyoifanyia kazi na badala yake hapa umekalia ku-manipulate akili za watu!!! Today mkuu wangu ni 01.09.2012.....am telling, sooner or later, nitakukamata tu humu jamvini na post inayotoa upande wa pili wa jmushi1! Take my note; NITAKUKUMBUSHA HII SIKU!
Naona unatapa tapa tu na maswali hujibu.Ukishikwa pabaya kubali kiungwana,ama potezea kuliko kujidhalilisha,we unalia tu jmushi jmushi,poor you!jadili hoja na ujibu maswali,kama mko wengi then what?
 
JK si mdini bali CHADEMA ndio wadini.
Ona walivyojaza wakristo kwenye safu zao za uongozi!
Nenda CDM kama wewe ni mtanzania mzalendo unayejiamini, unayeipenda nchi yako, usiyekuwa na misimamo ya kiislamu wala kikristo na una uwezo mkubwa kuliko viongozi waliopo pale sisi hatutajali we unasali uislamu au ukristo ila tujali uwezo wako na kukupa bendera ya kuongoza chama. Dr. Slaa na Mbowe tutawapiga chini. Hicho unachokisema unafanya kazi tu ya ukasuku kwa kuimba propaganda za wapinzani wa CDM.
Kama hauna sifa nilizotaja hapo juu usisogelee ubaki huko huko na uendeleee kuimba sisi tutawachukua wazalendo na kuijenga nchi yetu wawe wakristo au waislamu.
 
Aisee naona, tunazunguka sana huyu jamaa ni mdini balaa, kwanza kila sekta muhimu mkuu wake ni wa dini yake. Nilimuona wa maana lakini sasa sina hamu kwani amekuja kwaajili ya kuwashusha wa dini fulani na kunyanyua wa dini fulani. ah, ndio hivyo tena chaguo la Mungu.
 
Ndugu Mkandara,

Hivi watu kuhamia sehemu kunaweza kujulikana tu watu wakiulizwa dini zao? Watoto wakiwa wengi serikali itapanga maendeleo kama huduma za afya na uzazi, mipango ya badae ya kujenga shule kulingana na idadi hiyo. Je, ikipata wapagani ni wengi zaidi itapanga mipango ya kuwapelekea misikiti na makanisa?
Ukweli ni kuwa popote walipo ndugu zetu waislamu watadai kufanyiwa vitu ambavo zinapaswa kufanywa na dini badala ya serikali hii ni kwa kuwa secularism kwa waislamu ni msamiati. Badala ya kutenga huduma au mambo yao na serikali watataka huduma nyingi zitoke serikalini au ziwe katika mfumo wa serikali. Huu mfumo unawezekana tu ambapo watu au waislamu ni wengi hivyo akili zao ziko sawa kidini na njia hiyo ya kuendesha serikali. Ni mfumo ambao ni wa ajabu kabisa lakini kwao uko sahihi. Nafikiri kwa idadi yoyote ambayo wangepata kwenye sensa wangeanza kudai haki za kuhudumiwa na serikali kwa huduma ambazo zinapaswa kuwa za kidini kama mahakama ya kadhi.
Mimi siamini waislamu ni wengi nchi hii hata nikichukua ramani ya Tanzania niiweke mkononi mwangu halafu nianze kuanisha maeneo ambako kuna waislamu. Ndio si kidogo lakini ni sehemu ndogo tu kulinganisha na maeneo walipotapakaa wakristo. Huko kwetu ukienda watu ambao hawajatembelea mjini hawajui kuna dini inaitwa uislamu labda kwa sasa kwa kuwa mawasiliano yapo kwa wingi. Nilitamani serikali ifanye hiyo sensa ili waislamu wajue ukweli kuwa ni wachache. Lakini najua hilo lisingeishia hapo. Swali; Wangekubali ni wachache? Wasingeanzisha malumbano mengine?
Na kwasababu Mkandara hujajibu swali la Jmushi1. Mimi naliuliza tena hilo swali; Serikali ikishajua waislamu, wakristo au wapagani ni wangepi inakuwaje? Inasaidia nini serikali? Inatusaidia nini watanzania katika kusukuma gurudumu la maendeleo?

Wakati umekazania sana kudai kwamba Waislamu wanataka mambo yao yaendeshe na serikali; je, unaweza ukataja jambo la Kiislamu ambalo kwa sasa linaendeshwa na serikali?! Umetaja Mahakama ya kadhi; hivi ni mahakama gani duniani ambayo inaweza kutenda haki bila kuwa na enforcement toka serikalini?! Ngoja nikupe mfano mdogo.....Assume wewe ni Muislamu na umeoa Muislamu. Mara baada ya kufunga ndoa, umauti ukakukuta tena hata kabla hujawahi kulala na mke wako! Kwa mujibu wa Uislamu, mke huyo ana haki zote za kurithi mali zako hata kama hujawahi kumvua ch..pi! Sasa ktk dunia hii ya leo, Mahakama ya kadhi iseme mke ana haki ya kurithi, unafikiri ndugu wa marehemu wasio na ujuzi na dini watakuwa tayari kuona mke ambae hata ndani hakuwahi kuingia leo hii anapata haki ya urithi?! Sasa kama Mahakama ya Kadhi isipotambulika kisheria, ni nani anaweza kusimamia haki za mke kama huyo wakati mahakama ya kadhi haina meno?!

Yaani sio siri, baada ya kukusoma kwa makini, ndipo nimegundua nawe ni wale wale akina jmushi1.....najisikia aibu kujiingiza kwenye malumbano ya "sisi wengi, wao wachache"
 
Nenda CDM kama wewe ni mtanzania mzalendo unayejiamini, unayeipenda nchi yako, usiyekuwa na misimamo ya kiislamu wala kikristo na una uwezo mkubwa kuliko viongozi waliopo pale sisi hatutajali we unasali uislamu au ukristo ila tujali uwezo wako na kukupa bendera ya kuongoza chama. Dr. Slaa na Mbowe tutawapiga chini. Hicho unachokisema unafanya kazi tu ya ukasuku kwa kuimba propaganda za wapinzani wa CDM.
Kama hauna sifa nilizotaja hapo juu usisogelee ubaki huko huko na uendeleee kuimba sisi tutawachukua wazalendo na kuijenga nchi yetu wawe wakristo au waislamu.

At last nimekufahamu......miongoni mwa kundi ambalo nalo ni hatari kwa kuendekeza udini basi ni wana-CHADEMA....!!!! mwenzako jmushi1 alikuwa analia lia hapa kwamba kama Mkandara ni CHADEMA kwanini asi-support hoja zake mbovu zenye hisia zote zenye chuki za kidini! Wanazi wote humu jamvini ambao wanaleta sana hoja za chuki za kidini ni wana-CHADEMA! Aibu sana hii .
 
Mkuu wangu Thesi, msituletee politics hapa ili tu ku-defend hoja zenu....na mbaya zaidi hoja hizo nachelea zisiwe za kinafiki(unfortunately, sifahamu kisiasa unaegemea wapi) tofauti na akina jmushi1!!! Leo hii, jmushi1 na wenzake wanaonekana ku-support hoja hiyo kwenye RED simply because inawa-attack akina Ponda!!!

Tell me, kama hoja ni kwamba mipango ya serikali (ya hapa TZ) haiangalii uwiano wa kidini bali makundi mengine mengine kama watoto.....je, hadi sasa kimefanyika nini kwenye hayo makundi husika?!
Ngoja nikupe mfano mdogo, kuna sheria inasema kwamba Taasisi yoyote yenye wafanyakazi 100 na zaidi; basi at least 3% ya wafanyakazi wake wawe ni wale wenye ulemavu....!! Sasa basi, achilia mbali taasisi binafsi, je huko serikalini wanazingatia sheria hiyo?! Je, hakuna walemavu ambao ni graduates, wenye diploma, form six leavers ambao hawana ajira ?! Mbona hata ile nia tu ya kutekeleza sheria hiyo haionekani angalau kwa kuweka kwenye matangazo yao ya kazi kwamba "disabled pple who meet minimum qualifications are guaranteed for interview!" Hivyo basi, inawezekana kabisa akina Ponda wasiwe na hoja, lakini vile vile hoja ya serikali kwamba mipango yao haiangalii dini nayo ni hoja isiyo na mashiko coz' hata pale kundi fulani inapofahamika wana uhitaji fulani bado serikali imeshindwa kufanya hivyo!! Sana sana, sensa kwa hapa kwetu imekuwa ni kama utamuduni tu huku impact yake ikiwa haionekani!

Ndugu Mkandara,
Mimi nafikiri swali la kujua idadi ya waumini ni wangapi inasaidia nini serikali kwenye mipango ya maendeleo ni swali la msingi kabisa. Pasipo kuwa na majibu ya dhahiri pana majibu ya kufichwa. Na nikuambie tu mimi naamini watu waliohuru kiitikadi za kidini (sisemi kisiasa make hili swala halihusishi siasa) wawe waislamu au wakristo au wasio kwenye dini hizo hawaoni mantiki ya kuhesabiwa kwa kuzingatia idadi ya uumini wa kidini.
Ukisema kuwa sensa zinafanyika lakini hakuna mipango ya maendeleo inatimizwa kulingana na sensa huko ni kutowajika kwa serikali iliyoko madarakani. Vipi tukipata serikali inayowajibika? Hiyo sensa haitakuwa na maana kwetu? Wala hili halihusiani na kuhesabu watu kwa kutaja dini kwasababu tukijua dini haitatufanya tuwajibike zaidi.
 
Watanzania msibishe element Zote za udini zimeanza kuchomoza katika taifa letu, JK hakwepi lawama za jambo hili ni lazima tusipotoshwe na magazeti uchwara Kama Sauti huru ambayo yanataka kutumia dini kuwaweka madarakani mabwana zao, wengi wetu wakrsto na waislam tumekaa pamoja siku zote bila tatizo Hawa wachache wanaotaka kutuvuruga tuwakatae hima.

Muwamba ngoma huvutia kwake...cha ajabu na kushangaza wakristo wameanza kuuona udini kipindi JK alipoingia Madarakani......Waislamu tangu kipindi cha Nyerere wamekuwa wakipigia kelele udini wa Mtakatifu Nyerere..lakini walishia Kuitwa majina ya ajabu ajabu...

Muasisi wa wa udini nchini ni Mtakatifu Nyerere...haya tunayoyaona ni matokeo tu.......wakati waislamu wananyimwa fursa za kusoma na za kupata kazi kwa hila mbalimbali,walijipanga na wamesomesha watoto wao nje kwa wingi sana...sasa wameanza kuwakaba na kina pengo hadi penati....wakati pengo na wenzake wanataka wapige penati bila ya kipa golini....walilikoroga watalinywa....subiri siku aingie Raisi mkristo Madarakani utalewa Hii hadithi yangu inatufundisha nini
 
Ndugu Mkandara,
Mimi nafikiri swali la kujua idadi ya waumini ni wangapi inasaidia nini serikali kwenye mipango ya maendeleo ni swali la msingi kabisa. Pasipo kuwa na majibu ya dhahiri pana majibu ya kufichwa. Na nikuambie tu mimi naamini watu waliohuru kiitikadi za kidini (sisemi kisiasa make hili swala halihusishi siasa) wawe waislamu au wakristo au wasio kwenye dini hizo hawaoni mantiki ya kuhesabiwa kwa kuzingatia idadi ya watu.
Ukisema kuwa sensa zinafanyika lakini hakuna mipango ya maendeleo inatimizwa kulingana na sensa huko ni kutowajika kwa serikali iliyoko madarakani. Vipi tukipata serikali inayowajibika? Hiyo sensa haitakuwa na maana kwetu? Wala hili halihusiani na kuhesabu watu kwa kutaja dini kwasababu tukijua dini haitatufanya tuwajibike zaidi.

Nikiri tu kwamba hivi sasa uwezo wangu wa kuelewa haupo tena!
 
Aisee naona, tunazunguka sana huyu jamaa ni mdini balaa, kwanza kila sekta muhimu mkuu wake ni wa dini yake. Nilimuona wa maana lakini sasa sina hamu kwani amekuja kwaajili ya kuwashusha wa dini fulani na kunyanyua wa dini fulani. ah, ndio hivyo tena chaguo la Mungu.
Hii unayosema si kweli. Sekta nyingi wakuu ni wakristo. Udini wa JK unakuja kwa kuachia waislamu wamlinde dhidi ya mashambulizi ya utendaji mbovu na kutokubalika. Hii inapekelea hata kuachia mambo ambayo ni tunu ya taifa kama umoja kuchezewa ili mradi tu hao wanaomtetea waendelee kufanya hivo. Lakini kuhusu uteuzi kuna walakini. Wawe wakristo au waislamu wote ni watanzania. Kama wanauwezo na amezingatia kuteua muislamu mwenye uwezo zaidi kushika nafasi haina shida yoyote.
 
Muwamba ngoma huvutia kwake...cha ajabu na kushangaza wakristo wameanza kuuona udini kipindi JK alipoingia Madarakani......Waislamu tangu kipindi cha Nyerere wamekuwa wakipigia kelele udini wa Mtakatifu Nyerere..lakini walishia Kuitwa majina ya ajabu ajabu...

Muasisi wa wa udini nchini ni Mtakatifu Nyerere...haya tunayoyaona ni matokeo tu.......wakati waislamu wananyimwa fursa za kusoma na za kupata kazi kwa hila mbalimbali,walijipanga na wamesomesha watoto wao nje kwa wingi sana...sasa wameanza kuwakaba na kina pengo hadi penati....wakati pengo na wenzake wanataka wapige penati bila ya kipa golini....walilikoroga watalinywa....subiri siku aingie Raisi mkristo Madarakani utalewa Hii hadithi yangu inatufundisha nini
Kama wewe ni darasa la saba au una elimu chini ya hapo sitakushangaa kwa kuamini propaganda hizi. Hazina ukweli wowote. Mimi nakumbuka maeneo nnakotoka uislamu haupo na watu wengi hawajui uislamu. Lakini ikija kwenye suala la ufaulu wa wanafunzi kwenda sekondari ni wanafunzi wachache sana waliokuwa wanafaulu kwenda sekondari. Yaani kwenye darasa la watu mia moja anaweza asifaulu mwanafunzi, au akafaulu mmoja tu. Wengine inabakia kurudia shule kinyume cha sheria au kama wazazi wanauelewa wanakupeleka kwenye shule ya private. Kama mnachokisema ni kweli basi tungeona shule za private zikijaza waislamu zaidi kwa kuwa wanaachwa kwenye shule za serikali kwa makusudi lakini kinyume chake wakristo wanakuwa wengi zaidi kwenye shule hizo za private. Sasa kama nafasi za ufaulu zilikuwa chache na waislamu hawakuwapeleka watoto wao private nil lini ungesema wanaonewa? Watu wanabadilika wakijua tatizo ni nini lakini wenzetu huwa hamtaki kujua tatizo lililo kwenu badala yake mnaanza kuwatafuta watu wengine uchawi hilo tatizo litaondoka au mtalalamika milele? Kama ni kweli niambie ni lini waislamu waliacha kulalamika? Ukweli wakrito wanawapenda kweli ndugu zetu lakini hamuishi kuwalaumu na kuwazushia kashfa. Na wenyewe washawachukulia kuwa ndivo mlivo na ndivo mnavochukuliwa ulimwenguni kote.
 
At last nimekufahamu......miongoni mwa kundi ambalo nalo ni hatari kwa kuendekeza udini basi ni wana-CHADEMA....!!!! mwenzako jmushi1 alikuwa analia lia hapa kwamba kama Mkandara ni CHADEMA kwanini asi-support hoja zake mbovu zenye hisia zote zenye chuki za kidini! Wanazi wote humu jamvini ambao wanaleta sana hoja za chuki za kidini ni wana-CHADEMA! Aibu sana hii .
You are very wrong men/Lady. Unajuaje kama mimi muislamu? Hili si swala la CDM. Mimi sina kadi wala si mwanachama wa CDM lakini kama walivo watanzania wengi wanaotaka mabadiliko wanaotubebea bendera hiyo kwa sasa ni CDM. Hakuna udini hapa ndugu yangu sisi tunawapinga wadini wawe wakristo au waislamu. Lowasa anapotumia dini za kikristo kutafuta uhalali kisiasa tunamlaani kwa njia zote. JK anapotumia uislamu kujijengea uhalali na kuacha kuachia wapumbavu kuchezea umoja wetu tunamlaani kwa njia zote. Hili swala la kutoingiza sensa kwenye masuala ya kidini kinaungwa mkono na vyama vyote hasa CCM. Na uelewe CDM waislamu ni wengi tu na wao aidha wanaunga mkono Ponda au wanampinga.
 
Yaani tuna tatizo kubwa sana hapa.pro chadema wengi hupenda sana kuwadharau na kuwapuuza waislam as if mambo wanayodai waislam wakiyata ni msaada tu wala sio haki yao.huu sio mtizamo mzuri
 
Aisee naona, tunazunguka sana huyu jamaa ni mdini balaa, kwanza kila sekta muhimu mkuu wake ni wa dini yake. Nilimuona wa maana lakini sasa sina hamu kwani amekuja kwaajili ya kuwashusha wa dini fulani na kunyanyua wa dini fulani. ah, ndio hivyo tena chaguo la Mungu.

huo muda uliopoteza kumhisi kiongozi ni mdini,ndio kiwango cha udini ulionao wewe.pili hayo makasa mnayolishwa huko kanisani yatawaua,mkihubiriwa udini huko changanyeni na akili zenu mkuu.post yako ni kijinga sana
 
Nchi ilipofikia,credits huwa anapewa rais na serikali yake,kwahili la udini,hakuna ubishi umeshaota mizizi.Na sijawahi kusikia kauli ama vitendo kutoka kwa JK vya kukemea haya mambo ya udini.

Kinachonifanya niamini ni JK,ni kwasababu hao wanaopinga kasi ya upinzani,wanapoijibia serikali ya ccm,basi wanaoonyesha chuki za wazi kabisa za kidini.Ule udugu tuliokuwa nao wakitanzania haupo tena,na sijui utarudi kwa njia gani.

Kuna habari kuwa hata mtu na mke wake wanataka kutoana roho kwasbabu hizo hizo.Sheick Ponda alipotoa kauli kinyume na yakwake kuhusu sensa,kaliachia na gazeti lenye kusambaza sumu hizo huku akilifungia lenye kusema ukweli(mwanahalisi)

Ninamini kabisa kuwa tulipofikia,uwezekano wa kuingia kwenye vurugu na mapigano ya kidini ni mkubwa kuliko wakati wowote ule kwenye historia ya Tz toka tupate uhuru.

Kama JK ni mdini,tufanyeje?Ni wazi anapenda haya yaendelee kuwepo kwasababu ni kama anauwa ndege wawili kwa jiwe moja,yani kwasababu yeye ni fisadi na mdini,basi issue za ufisadi wake anazifukia kwa kupenyeza sentiments za kidini kwasababu anajuwa the issue is extremely sensitive.

Je kama taifa tutapona dhidi ya udini huu wa JK?je kukitokea mapigano,nani atakuwa responsible?Je nini kifanyike kukomesha udin8I hu?ama tumeridhika?!....

udini hapa nchini umeasisiwa rasmi na chadema katika uchaguzi mkuu mwaka 2015.mapadre,wachungaji na viongozi wengine wa makanisa walifanya kampeni za wazi wazi kuipigania chadema.uzuri huko huko makanisani kuna wazalendo wanaoipenda nchi yao tanzania.ndio wanaoyasema kwa kuwa ni ya kibaguzi na wao hawapendi ubaguzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom