Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Status
Not open for further replies.
jmushi1,
labda nizungumze kidogo kuhusu swala hili kwa jinsi mnavyoliweka. Kwa wale wanaosema Nyerere alikuwa mdini binafsi yangu siwezi kuwapinga isipokuwa kwa kutoa ushahidi wangu dhidi ya madai yao maana Nyerere alikuwa Mkristu na wao (waislaam) wanaona hakuwapa haki yao stahiki kama Watanzania. nitawaonyesha kazi ya Nyerere kuwa haikulenga kuwakandamiza waislaam na alifanya kadhaa wa kadhaa badala ya kushindana kuhusu Ukiristu wake, Nyerere hakuongoza nchi yetu kwa kuliwakilisha kanisa au Vatican..

Kinachonishinda kuelewa ktk mada hii ni pale hoja nzima inaonyesha JK akiwakandamiza Waislaam kwa kukataa ombi lao la sensa halafu anatakiwa kuwamaliza kabisa.. Huyu JK aliyewaweza wakristu kupata mtaji na msahama wa kodi chini ya mfumo wa kikoloni bado anaitwa mdini kwa sababu hakumchukulia hatua Sheikh Ponda, muislaam mwenzake. Hii kitu kidogo haikukaa sawa kabisa na ndio maana nimesema JK sio mdini bali anawawezesha zaidi wakristu pia alipitishwa na viongozi wote wa makanisa kama chaguo la Mungu, hivyo udini wake uko wapi?. Huyu mtu kapata blessing za makanisa leo anatakiwa kummaliza kabisa Sheikh Ponda imekuwa mdini kwa kutochukua hatua kali.. Ama kweli waislaam hawatakiwi..

By the way, binafsi yangu sikubaliani kabisa na wale wanaomlaumu Nyerere na Udini, maana ni ktk utawla wake tulikuwa na baraza la waislaam la BALUKTA likipingana na BAKWATA na tukifanya hata mihadhara pasipo kutiwa shaka la Udini au Ugaidi, lakini alipoingia Mwinyi na baada ya muafaka wa MoU, Balukta ilipigwa vita vikali sana na hata kiongozi wake kukamatwa akateswa na kuuawa..Ni baada ya Nyerere tumeyaona ya Mwembechai, tumeona waislaam wakipangiwa hata siku ya kufunga na kufungua mwezi wa Ramadhan! haya maajabu sana ktk Uislaam.

Chini ya uongozi wa Nyerere alifuta mfumo kristu (mfumo wa kikoloni) alizuia kabisa asasi za kidini kujihusisha na shughuli za serikali na waifanye kazi yao ya kueneza neno la Mungu. Akataifisha shule na Hospital zote zilizokuwa chini la miliki ya dini na kuziweka mikononi mwa serikali na akatangaza Azimio la Arusha ambalo liliweka UMASKINI, UJINGA na MARADHI kama adui wetu wakubwa. Kwa hatua hiyo hakupendwa na waislaam na wakristu maana kilichofuata hakikuwa ktk fikra wala utamaduni wao.

Lakini leo baada ya kuacha vita hivi, tukavunja msisitizo wa kanuni za Ukristu - Separation between church and states kwa kuwapa kanisa mamlaka juu ya kuendesha elimu na Afya itakuwaje watu hawa Mwinyi, Mkapa na JK waitwe wadini kwa sababu ya imani zao badala ya kuitwa wadini kwa sababu wameliwezesha kanisa kuendesha shughuli za serikali?.

Pengine nambieni JK ni mdini kwa sababu anawateketeza Waislaam nitakubaliana na wewe maana Sheikh Ponda anapingana na msimamo wa JK.. Waislaam wawili wanaopingana, huwezi kuita mmoja ni mdini kwa kutomchukulia hatua mwenzake. Kifupi mada hii haina kichwa, ni bias imechukua mwelekeo ambao hauwezi kutetewa isipokuwa kudhangaza..
 
web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????
Mbinguni, nawe okoka uzijue takwimu za wazinzi, wezi, waongo, wasengenyi, na wafia dini.
 
Mkandara,hivi Ponda anataka usawa kwa watanzania wote ama vipi?kwasababu mtu kama Ponda msimamo wake siyo hivyo,yeye anaamini kuwa makafiri hawafai kabisa na hata kushirikiana nao kwa lolote ni dhambi.Yani ni mmojawapo ambaye anataka dini yake ndo itawale.Siyo mtu wa kutaka usawa kwa watanzania hata kama ni kweli haupo huo usawa.

Yeye ni waislam this or that,na kamwe si watanzania.Watu wenye misimamo mikali,pengine wakipendelea nchi itawaliwe na sharia law!Na siwezi kushangazwa kama Mwinyi chini ya utawala wake aliwakomesha kwasababu hizo hizo.Si watu wenye kupenda suluhu.

JK is responsible kwa haya kwasababu anafahamu kuwa misimamo ya watu kama kina Ponda si yote ni mizuri kwa mshikamano wa Taifa.Halafu ni mtu mwenye kuignore mambo yenye madhara mabaya.Anasemwa kuwa anapenda uhuru wa habari.Lakini tumegunduwa kuwa ni baadhi tu ya habari anazozipenda na ndiyo maana ni mwanahalisi pekee lilifungiwa na kuyaacha yanaotusi imani za wengine.

Hivi majuzi hapa,kuna member mwenye misimamo ya kina Ponda na wengineo humu,ambaye alisema mwanahalisi liliandika habari za Ulimboka eti aliyetumwa na kanisa aanzishe mgomo.JK kuwa mtu wa double standard linatu cost,na hana misimamo ya kitanzania na si kiongozi madhubuti.Udhaifu wake huo ndo umketufikisha hapa.Udhaifu ambao unaweza kuuita chochote kwasababu ni mkubwa sana.

Zile issue za mahakama ya kadhi,Mtikila alisema mambo flani na wengine tulipinga,maana ulisema JK ameitwa Gaidi na Mtikila kwasababu ni muislam.Mtikila alisema JK ana nia ambayo si nzuri.Akashitakiwa,sijui kesi ikwapi,lakini tizama mambo yalivyo nchini ya udini na chuki.

Tumwache mwalimu kwenye hili kwani hakuwahi kupiga kampeni kwenda ikulu akitumia dini.Kuna watu amabo ni hatari kwa usalama wa taifa na mshikamano ambao hata hawakemei.Lakini wanamtetea pia kwa namna nyingi.Hilo la kusema wahesabiwe ni unafiki tu,mbona chadema hata m4c walizuiliwa kwasababu ya sensa lakini Ponda anachekewa.

Jamani unafiki ni mbaya,pengine unafiki wake pia ndo unepeleka ama kutafsirika kama udini.Matokeo yanajidhihirisha,nchi amelifikisha hapa,he's responsible for this.
 
Last edited by a moderator:
hakuna hasara kwa taifa kama kuwa na kiongozi wa juu asiye na msimamo wala hajui kwa nini yupo pale.

Wakati anajipanga kuingia madarakani alitumia sana mbinu ya udini, pamoja na nyingine na kufanikiwa kuingia.

Kama kawaida yake hakujua kama itafikia hapa, na hakuwa na njia mbadala ya kunusuru hali pindi mambo yataharibika.

Jukumu au wa kulaumiwa ni sisis watanzania tuliokubali kuingozwa na mtu asiye na uelewa na sisi kukubali kumpa nafasi ya kutugawa.

Mjinga akiwachonganisha werevu wawili, wa kulaumiwa si mjinga, bali ni wale werevu walioshindwa kujua lililo bora kwao.

Badala ya kutumia 'platform' kama hii kunyoosheana vidole, ingekuwa jambo la maana kama tukakubali tofauti zetu na kutafuta 'common ground' ambapo tunaweza kusonga mbele kama taifa moja lililowahi kuwa na wananchi wasiotambuana kwa dini kwa majina yao au kwa uwezo wao katika uongozi.

Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, JK alipigiwa debe na makanisa yote hapa Tanzania na alipewa safu za mbele kila alipofika. kwa bahati mbaya ndugu zake ambao ni waislamu hakuwa nao pamoja hasa mwaka 2005 na hili kila mtu mwenye akili timamu analikumbuka na kulifahamu.

Hivi udini mnaouzungumza ni upi? yaani Muislam asimfanyie ihsan Muislam mwenzie siyo? Hivi wewe uliyeandika haya unayasema kutoka moyoni au ni kwa sababu 'interest' zako zimekuwa threatened? Jiulize kwa nini wanafunzi waislamu wanafelishwa na baraza la mitihani kwa makusudi nahili sijaliona kwenye thread yeyote au ni kwa sababu aliyefanya haya ni Joyce Ndalichako?
 
Kongosho,nimekupata sawia,umesema kuhusu finger pointing,je kama tumemgundua mtu mdini anayeharibu taifa letu unataka tufanyeje?kumbuka 2015 ni mbali sana kwa utaratibu huu sidhani kama tutafika salama.Kwasababu ni wazi uchu wa madaraka na kujikinga dhidi ya wananchi wanaopinga ufisadi.Kiongozi mkuu wa ccm na serikali anatumia dini ili apate supporters,kwasbabu hakna mtanzania bila kujali dini anayefurahishwa na ufisadi labda awe ananufaika nao.Wale wasionufaika,wamekamatwa kwa jina la uislam vs ukristo!tufanyeje kabla ya 2015 kama tuko serious? Ndo maana kwenye bandiko la kwanza nilimalizia kwa kusema "tufanyeje?ama ndo tumeridhika"?

Wacha uchochezi wa kipuuzi, Wewe ndio mdini namba moja. na haya yote ni kwa sababu maslahi ya kikanisa yanatishiwa na ukweli unaojitokeza. Mbona serikali ya Mkatoliki Mkapa ilipokuwa inafisidi waziwazi hamkuwa mkisema kuhusu namna ya kufanya badala yake kwa vile mlikuwa mnapata better deal mlikuwa kimya na sasa Mkate wa Siku unapungua ndio mna-echo ufisadi. This is rubbish
 
Mkandara,hivi Ponda anataka usawa kwa watanzania wote ama vipi?kwasababu mtu kama Ponda msimamo wake siyo hivyo,yeye anaamini kuwa makafiri hawafai kabisa na hata kushirikiana nao kwa lolote ni dhambi.Yani ni mmojawapo ambaye anataka dini yake ndo itawale.Siyo mtu wa kutaka usawa kwa watanzania hata kama ni kweli haupo huo usawa.

Yeye ni waislam this or that,na kamwe si watanzania.Watu wenye misimamo mikali,pengine wakipendelea nchi itawaliwe na sharia law!Na siwezi kushangazwa kama Mwinyi chini ya utawala wake aliwakomesha kwasababu hizo hizo.Si watu wenye kupenda suluhu.

JK is responsible kwa haya kwasababu anafahamu kuwa misimamo ya watu kama kina Ponda si yote ni mizuri kwa mshikamano wa Taifa.Halafu ni mtu mwenye kuignore mambo yenye madhara mabaya.Anasemwa kuwa anapenda uhuru wa habari.Lakini tumegunduwa kuwa ni baadhi tu ya habari anazozipenda na ndiyo maana ni mwanahalisi pekee lilifungiwa na kuyaacha yanaotusi imani za wengine.

Hivi majuzi hapa,kuna member mwenye misimamo ya kina Ponda na wengineo humu,ambaye alisema mwanahalisi liliandika habari za Ulimboka eti aliyetumwa na kanisa aanzishe mgomo.JK kuwa mtu wa double standard linatu cost,na hana misimamo ya kitanzania na si kiongozi madhubuti.Udhaifu wake huo ndo umketufikisha hapa.Udhaifu ambao unaweza kuuita chochote kwasababu ni mkubwa sana.

Zile issue za mahakama ya kadhi,Mtikila alisema mambo flani na wengine tulipinga,maana ulisema JK ameitwa Gaidi na Mtikila kwasababu ni muislam.Mtikila alisema JK ana nia ambayo si nzuri.Akashitakiwa,sijui kesi ikwapi,lakini tizama mambo yalivyo nchini ya udini na chuki.

Tumwache mwalimu kwenye hili kwani hakuwahi kupiga kampeni kwenda ikulu akitumia dini.Kuna watu amabo ni hatari kwa usalama wa taifa na mshikamano ambao hata hawakemei.Lakini wanamtetea pia kwa namna nyingi.Hilo la kusema wahesabiwe ni unafiki tu,mbona chadema hata m4c walizuiliwa kwasababu ya sensa lakini Ponda anachekewa.

Jamani unafiki ni mbaya,pengine unafiki wake pia ndo unepeleka ama kutafsirika kama udini.Matokeo yanajidhihirisha,nchi amelifikisha hapa,he's responsible for this.
@jmushi1, Umesema Sheikh Ponda kasema uloyaandika.. naomba nipe nukuu hata moja ya mhadhara au hotuba yake ambayo wewe unaitumia kutoa hoja hizi. Hivi mwanamke anaposema - This world, males are dominant huwa anawabagua wanaume na kutaka wanawake wasishirikiane na wanaume?.
 
Ndugu Mkandara, kumbuka kwamba kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake na kuamini katika kile anachokiamini. Biasness ya mtoa mada kwako ni biasness pia ya hoja zako kwake. Na hii dhana ya kueneza propaganda potofu kwamba, makanisa yameachiwa fursa ya kuendesha serikali kwa kupewa misamaha ya kodi, ni dhana inayotokana na watu waliochoka kutumia weledi wao kufikiri. Na mbaya zaidi mnadhoofisha jamii fulani kwa kudhani kwamba wao wamenyimwa fursa ya misamaha ya kodi. Mlio wengi mnaoeneza propaganda hizi, hamjui mantiki ya misamaha kwa mashirika ya kidini, hamjui taratibu za kupata misamaha na wala matumizi yake, mmebaki kulalama kwamba serikali inatoa misamaha kwa wakristo pekee. Tuangalie sheria inasemaje kuhusu misamaha ya kodi: Sheria ya kodi ya ongezeko la thamani (VAT), msamaha maalum (Special relief) Item 10 (1) The importation or local purchase by or on behalf of a registered religious, charitable community-based, or other non profit driven organisation of institution, of goods or services intended to be used solely by the organisation or institution for:-
(a) in the case of religious organisation, the advancement of religion;
(b) use by the organisation or institution in question in the execution of its functions and for relieving persons from the effects of natural calamities, hazards or disaster;
(c) the development, maintanance or renovation by the organisation of projects relating to health, education, training, water supply, infrastructure or any other projects ralating to advancement of the community.
Kipengele hiki kinatoa misamaha ya kodi kwenye manunuzi kwa taasisi zote za kidini. Labda kama tu wavivu wa kufuatilia sheria kwa kutojua lugha, lakini hakuna kitu kinaitwa MOU kwenye hii sheria.
Tatizo la akina Ponda na Maralia Sugu, ni kwamba hawana mpango wa mradi wowote wa maendeleo na hata wakifumbuliwa macho wanataka ufadhili kwa 100%. Hata Physibility study sharti wapate msaada. Sasa waislam wachache wajanja wanayafahamu haya, ila hawataki kuwashitua walio wengi kwani waswahili husema ukila na kipofu usimshike mkono. Wanaform taasisi zao, wanatengeneza project proposals, wanatumia VAT reliefs kufanya biashara zao kwa mabilioni ya shilingi, wanawadanganya akina yakhe misamaha ni kwa wakristu tu ati wana kitu kinaitwa MOU, huku wao wakilamba misamaha ya kodi ya kujenga mashule na mahospitali, miradi ya maji yooooote ikiwa geresha tupu. Jumuia ya kiislam inabaki kwenye kutegemea fadhila za serikali. Ninawajua watu hawa kwa majina, na ukitaka ushahidi pita Gerezani uone mavifaa ya ujenzi yalivyojazana na yanauzwa bei chee, kisha uliza kama yamelipiwa kodi? Fuatilieni taasisi zenu, chunguzeni record za misamaha ya kodi wanayopewa kila mwezi, halafu linganisheni na hiyo miradi inayotajwa. Wabaya wa maendeleo yenu wapo miongoni mwenu. Tofauti na taasisi za kikristo sehemu kubwa ya misamaha inatumika kwa shughuli zilizo kusudiwa. Hii inatokana na mfumo wa waumini kupewa taarifa na kufuatilia utekelezaji wa miradi. Fanyieni kazi changamoto zinazowakabili na si kuishi kwa malalamiko kila mara.
 
Ndugu Mkandara, kumbuka kwamba kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake na kuamini katika kile anachokiamini. Biasness ya mtoa mada kwako ni biasness pia ya hoja zako kwake. Na hii dhana ya kueneza propaganda potofu kwamba, makanisa yameachiwa fursa ya kuendesha serikali kwa kupewa misamaha ya kodi, ni dhana inayotokana na watu waliochoka kutumia weledi wao kufikiri. Na mbaya zaidi mnadhoofisha jamii fulani kwa kudhani kwamba wao wamenyimwa fursa ya misamaha ya kodi. Mlio wengi mnaoeneza propaganda hizi, hamjui mantiki ya misamaha kwa mashirika ya kidini, hamjui taratibu za kupata misamaha na wala matumizi yake, mmebaki kulalama kwamba serikali inatoa misamaha kwa wakristo pekee. Tuangalie sheria inasemaje kuhusu misamaha ya kodi: Sheria ya kodi ya ongezeko la thamani (VAT), msamaha maalum (Special relief) Item 10 (1) The importation or local purchase by or on behalf of a registered religious, charitable community-based, or other non profit driven organisation of institution, of goods or services intended to be used solely by the organisation or institution for:-
(a) in the case of religious organisation, the advancement of religion;
(b) use by the organisation or institution in question in the execution of its functions and for relieving persons from the effects of natural calamities, hazards or disaster;
(c) the development, maintanance or renovation by the organisation of projects relating to health, education, training, water supply, infrastructure or any other projects ralating to advancement of the community.
Kipengele hiki kinatoa misamaha ya kodi kwenye manunuzi kwa taasisi zote za kidini. Labda kama tu wavivu wa kufuatilia sheria kwa kutojua lugha, lakini hakuna kitu kinaitwa MOU kwenye hii sheria.
Tatizo la akina Ponda na Maralia Sugu, ni kwamba hawana mpango wa mradi wowote wa maendeleo na hata wakifumbuliwa macho wanataka ufadhili kwa 100%. Hata Physibility study sharti wapate msaada. Sasa waislam wachache wajanja wanayafahamu haya, ila hawataki kuwashitua walio wengi kwani waswahili husema ukila na kipofu usimshike mkono. Wanaform taasisi zao, wanatengeneza project proposals, wanatumia VAT reliefs kufanya biashara zao kwa mabilioni ya shilingi, wanawadanganya akina yakhe misamaha ni kwa wakristu tu ati wana kitu kinaitwa MOU, huku wao wakilamba misamaha ya kodi ya kujenga mashule na mahospitali, miradi ya maji yooooote ikiwa geresha tupu. Jumuia ya kiislam inabaki kwenye kutegemea fadhila za serikali. Ninawajua watu hawa kwa majina, na ukitaka ushahidi pita Gerezani uone mavifaa ya ujenzi yalivyojazana na yanauzwa bei chee, kisha uliza kama yamelipiwa kodi? Fuatilieni taasisi zenu, chunguzeni record za misamaha ya kodi wanayopewa kila mwezi, halafu linganisheni na hiyo miradi inayotajwa. Wabaya wa maendeleo yenu wapo miongoni mwenu. Tofauti na taasisi za kikristo sehemu kubwa ya misamaha inatumika kwa shughuli zilizo kusudiwa. Hii inatokana na mfumo wa waumini kupewa taarifa na kufuatilia utekelezaji wa miradi. Fanyieni kazi changamoto zinazowakabili na si kuishi kwa malalamiko kila mara.
Yote uloandika ni upuuzi mtupu maana umerukia treni kwa mbele bila kujua nazungumzia nini. Kodi nchini haipo moja tu hiyo Value added Tax na wala sio nachoongelea. Kuna tatizo kubwa sana la wadanganyika kuelewa hizi kodi kwa sababu wao wanachokijua ni VAT tu akilini mwao kuwa ndio kodi. Kanisa linafanya biashara nchini kwa kutumia ELIMU na HOSPITAL wakitoza gharama kubwa japokuwa wanapewa mtaji na serikali wala hamrudishi mikopo tunayokopeshwa na mafadhili isipokuwa sisi walipa kodi ndio tunaachiwa deni hilo. CSSC wana operate kama corporate company wanatakiwa kulipa kodi ya mapato pamoja na kulipia deni la Taifa wanapopewa fedha kama mtaji toka wafadhili kupitia bajeti yetu kwa sababu wanafanya biashara ya Elimu na Afya. Haya ni makosa ambayo muda wote nimekuwa hapa kuyazungumzia na sii kifungu cha sheria ulichokiweka.

CSSC na wadau wengine ktk Elimu na Afya ni wafanyabiashara wanaotumia dini kufaidika tofauti kabisa na NGOs ambao hutoa huduma bure na lengo la kusaidia wasiojiweza. Niwe bias or not tunachotazama ukweli ni upi...Ni vigumu sana kueleweshana na watu kama nyie ambao siku zote mnashindwa kutazama nje ya kabati lenu mlofungiwa... Ninachosema Serikali yetu imeingia muafaka na Maknisa kuendesha elimu na Afya jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Kwa hiyo sina sababu ya kuendelea kujibu kitu kisichohusiana na hoja yangu, huelewi nachosema umerukia treni kwa mbele..
 
@jmushi1, Umesema Sheikh Ponda kasema uloyaandika.. naomba nipe nukuu hata moja ya mhadhara au hotuba yake ambayo wewe unaitumia kutoa hoja hizi. Hivi mwanamke anaposema - This world, males are dominant huwa anawabagua wanaume na kutaka wanawake wasishirikiane na wanaume?.

Kama wewe ni sapota wa Ponda hatutaelewana hata kidogo.Na hakuelewana na Mzee Mwinyi kwasababu yeye si mtu wa kusema tukutane katikati,yeye ni mtu wa kusema njoo huku.Yeye na wenye mawazo kama yake wanataka serikali for muslims and not for Tanzania.Madai yake hayatoifanya nchi iwe Tanzania,bali kitu kingine kabisa.Kitu kitakachoifanya nchi isitawalike tena,huko anakotupeleka JK mzee Mwinyi alituepusha.Tutamkumbuka muislam mwema yule.
 
Kama wewe ni sapota wa Ponda hatutaelewana hata kidogo.Na hakuelewana na Mzee Mwinyi kwasababu yeye si mtu wa kusema tukutane katikati,yeye ni mtu wa kusema njoo huku.Yeye na wenye mawazo kama yake wanataka serikali for muslims and not for Tanzania.Madai yake hayatoifanya nchi iwe Tanzania,bali kitu kingine kabisa.Kitu kitakachoifanya nchi isitawalike tena,huko anakotupeleka JK mzee Mwinyi alituepusha.Tutamkumbuka muislam mwema yule.
Tofauti yangu mimi na wewe ni pale tu unapojaribu kuyaweka maneno mdomoni mwangu. Nimekuomba unipe nukuu ya Sheikh Ponda akisema maneno uloyaandika.. Hana! Ulisema JK mdini nikakuomba hotuba yake inayoonyesha Udini - huna sasa hizi habari unazipata wapi ili nami nifikie kukuamini?.

Simpendi Mwinyi, Mkapa na JK kwa sababu wote hawa ndio wametufikisha hapa tulipo na sii kwa sababu ya imani zao za dini ila HAWAFAI kuwa viongozi ktk nchi ambayo inapigana vita dhidi ya Umaskini, Ujinga, na Maradhi. Afadhali ya Sheikh Ponda Muislaam amabye anaweza kusimama dhid ya Muislaam mwenzake Kikwete na kumwabia utawala wa CCM unawakandamiza waislaam nanyi kwa sababu ya Ukristu wenu mnamchukia Ponda na kuchukua upande wa Kikwete na CCM dhidi ya waislaam..It's plain and clear kwetu.
 
Nchi ilipofikia,credits huwa anapewa rais na serikali yake,kwahili la udini,hakuna ubishi umeshaota mizizi.Na sijawahi kusikia kauli ama vitendo kutoka kwa JK vya kukemea haya mambo ya udini.

Kinachonifanya niamini ni JK,ni kwasababu hao wanaopinga kasi ya upinzani,wanapoijibia serikali ya ccm,basi wanaoonyesha chuki za wazi kabisa za kidini.Ule udugu tuliokuwa nao wakitanzania haupo tena,na sijui utarudi kwa njia gani.

Kuna habari kuwa hata mtu na mke wake wanataka kutoana roho kwasbabu hizo hizo.Sheick Ponda alipotoa kauli kinyume na yakwake kuhusu sensa,kaliachia na gazeti lenye kusambaza sumu hizo huku akilifungia lenye kusema ukweli(mwanahalisi)

Ninamini kabisa kuwa tulipofikia,uwezekano wa kuingia kwenye vurugu na mapigano ya kidini ni mkubwa kuliko wakati wowote ule kwenye historia ya Tz toka tupate uhuru.

Kama JK ni mdini,tufanyeje?Ni wazi anapenda haya yaendelee kuwepo kwasababu ni kama anauwa ndege wawili kwa jiwe moja,yani kwasababu yeye ni fisadi na mdini,basi issue za ufisadi wake anazifukia kwa kupenyeza sentiments za kidini kwasababu anajuwa the issue is extremely sensitive.

Je kama taifa tutapona dhidi ya udini huu wa JK?je kukitokea mapigano,nani atakuwa responsible?Je nini kifanyike kukomesha udin8I hu?ama tumeridhika?!....

Nchi hii inawenyewe bhanaa siku wakitoa makucha yao kitaeleweka
 
Ndugu Mkandara, kumbuka kwamba kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake na kuamini katika kile anachokiamini. Biasness ya mtoa mada kwako ni biasness pia ya hoja zako kwake. Na hii dhana ya kueneza propaganda potofu kwamba, makanisa yameachiwa fursa ya kuendesha serikali kwa kupewa misamaha ya kodi, ni dhana inayotokana na watu waliochoka kutumia weledi wao kufikiri. Na mbaya zaidi mnadhoofisha jamii fulani kwa kudhani kwamba wao wamenyimwa fursa ya misamaha ya kodi. Mlio wengi mnaoeneza propaganda hizi, hamjui mantiki ya misamaha kwa mashirika ya kidini, hamjui taratibu za kupata misamaha na wala matumizi yake, mmebaki kulalama kwamba serikali inatoa misamaha kwa wakristo pekee. Tuangalie sheria inasemaje kuhusu misamaha ya kodi: Sheria ya kodi ya ongezeko la thamani (VAT), msamaha maalum (Special relief) Item 10 (1) The importation or local purchase by or on behalf of a registered religious, charitable community-based, or other non profit driven organisation of institution, of goods or services intended to be used solely by the organisation or institution for:-
(a) in the case of religious organisation, the advancement of religion;
(b) use by the organisation or institution in question in the execution of its functions and for relieving persons from the effects of natural calamities, hazards or disaster;
(c) the development, maintanance or renovation by the organisation of projects relating to health, education, training, water supply, infrastructure or any other projects ralating to advancement of the community.
Kipengele hiki kinatoa misamaha ya kodi kwenye manunuzi kwa taasisi zote za kidini. Labda kama tu wavivu wa kufuatilia sheria kwa kutojua lugha, lakini hakuna kitu kinaitwa MOU kwenye hii sheria.
Tatizo la akina Ponda na Maralia Sugu, ni kwamba hawana mpango wa mradi wowote wa maendeleo na hata wakifumbuliwa macho wanataka ufadhili kwa 100%. Hata Physibility study sharti wapate msaada. Sasa waislam wachache wajanja wanayafahamu haya, ila hawataki kuwashitua walio wengi kwani waswahili husema ukila na kipofu usimshike mkono. Wanaform taasisi zao, wanatengeneza project proposals, wanatumia VAT reliefs kufanya biashara zao kwa mabilioni ya shilingi, wanawadanganya akina yakhe misamaha ni kwa wakristu tu ati wana kitu kinaitwa MOU, huku wao wakilamba misamaha ya kodi ya kujenga mashule na mahospitali, miradi ya maji yooooote ikiwa geresha tupu. Jumuia ya kiislam inabaki kwenye kutegemea fadhila za serikali. Ninawajua watu hawa kwa majina, na ukitaka ushahidi pita Gerezani uone mavifaa ya ujenzi yalivyojazana na yanauzwa bei chee, kisha uliza kama yamelipiwa kodi? Fuatilieni taasisi zenu, chunguzeni record za misamaha ya kodi wanayopewa kila mwezi, halafu linganisheni na hiyo miradi inayotajwa. Wabaya wa maendeleo yenu wapo miongoni mwenu. Tofauti na taasisi za kikristo sehemu kubwa ya misamaha inatumika kwa shughuli zilizo kusudiwa. Hii inatokana na mfumo wa waumini kupewa taarifa na kufuatilia utekelezaji wa miradi. Fanyieni kazi changamoto zinazowakabili na si kuishi kwa malalamiko kila mara.

Mkuu hawa watu umewasaidia sana kiufafanuzi.

tatizo linalowasumbuwa ni ushabiki wa kidini, pamoja na kutuwekea ushahidi wa kisheria bado kundi la watu hawa hawatakuelewa kwasababu wamekalili kubishana na kuchochea mgawanyiko.

Kujenga hoja kwa maana ya umoja wetu kama watanzania na kukemea ushabiki na sumu za akinaponda kwao ni dhambi bali kuchochea watanzania kuchukiana kwa misingi ya din zetu kwao ni sifa. wanajifanya vipofu na kutoka nje ya mdahalo na hatakujenga hoja ni matatizo kwasabab nikubishana tuuu ..... hatakama unamwonesha kwamba ile pale ni baiskeli na anaiona kwamba ni baiskeli ataendelea kubisha nakubisha nakubisha. Huwa nikipata mda wa kupitia maelezo na post zao huwa nashindwa kuamini kama nikundi moja na wale wanaotuvuruga kupoteza nembo ya utanzania wetu yaan kila mtu alikuwa ndugu lakini sasa hapana tumepotea na wanaendelea kutupoteza.
 
Kunywa maji kwanza upunguze munkari.

Pamoja na kupigiwa kampeni na kanisa, haimaaninishi CUF haiuwa branded kama 'cha kidini', kwani kampeni hiyo imemwingiza nani madarakani?? Askofu? Au rais?

Naka kama ulisoma post yangu hadi mwisho, nimesema wazi, sioni tija ya kusonteana vidole wakati kuna uwezekano wa kurekebisha makosa, ulisoma sehemu hiyo?? Kama ulisoma ulielewaje??

Kuhusu Ndalichako, ukifungua sredi ya kumhusu, tutachangia lakini sredi hii imegusia JK na udini. Hiki ni kipimo cha kwa nini watu wanafeli mitihani, jibu zuri lakini si kwa swali hili.

Ninafurahia uwezo wangu mdogo wa kufikiri unaoniwezesha ku-urgue na werevu kama wewe. 🙂

Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, JK alipigiwa debe na makanisa yote hapa Tanzania na alipewa safu za mbele kila alipofika. kwa bahati mbaya ndugu zake ambao ni waislamu hakuwa nao pamoja hasa mwaka 2005 na hili kila mtu mwenye akili timamu analikumbuka na kulifahamu.

Hivi udini mnaouzungumza ni upi? yaani Muislam asimfanyie ihsan Muislam mwenzie siyo? Hivi wewe uliyeandika haya unayasema kutoka moyoni au ni kwa sababu 'interest' zako zimekuwa threatened? Jiulize kwa nini wanafunzi waislamu wanafelishwa na baraza la mitihani kwa makusudi nahili sijaliona kwenye thread yeyote au ni kwa sababu aliyefanya haya ni Joyce Ndalichako?
 
Tofauti yangu mimi na wewe ni pale tu unapojaribu kuyaweka maneno mdomoni mwangu. Nimekuomba unipe nukuu ya Sheikh Ponda akisema maneno uloyaandika.. Hana! Ulisema JK mdini nikakuomba hotuba yake inayoonyesha Udini - huna sasa hizi habari unazipata wapi ili nami nifikie kukuamini?.

Simpendi Mwinyi, Mkapa na JK kwa sababu wote hawa ndio wametufikisha hapa tulipo na sii kwa sababu ya imani zao za dini ila HAWAFAI kuwa viongozi ktk nchi ambayo inapigana vita dhidi ya Umaskini, Ujinga, na Maradhi. Afadhali ya Sheikh Ponda Muislaam amabye anaweza kusimama dhid ya Muislaam mwenzake Kikwete na kumwabia utawala wa CCM unawakandamiza waislaam nanyi kwa sababu ya Ukristu wenu mnamchukia Ponda na kuchukua upande wa Kikwete na CCM dhidi ya waislaam..It's plain and clear kwetu.
Nimeshasema hatutaelewana kama uko upande wa Ponda.
 
Ndugu Mkandara, kumbuka kwamba kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake na kuamini katika kile anachokiamini. Biasness ya mtoa mada kwako ni biasness pia ya hoja zako kwake. Na hii dhana ya kueneza propaganda potofu kwamba, makanisa yameachiwa fursa ya kuendesha serikali kwa kupewa misamaha ya kodi, ni dhana inayotokana na watu waliochoka kutumia weledi wao kufikiri. Na mbaya zaidi mnadhoofisha jamii fulani kwa kudhani kwamba wao wamenyimwa fursa ya misamaha ya kodi. Mlio wengi mnaoeneza propaganda hizi, hamjui mantiki ya misamaha kwa mashirika ya kidini, hamjui taratibu za kupata misamaha na wala matumizi yake, mmebaki kulalama kwamba serikali inatoa misamaha kwa wakristo pekee. Tuangalie sheria inasemaje kuhusu misamaha ya kodi: Sheria ya kodi ya ongezeko la thamani (VAT), msamaha maalum (Special relief) Item 10 (1) The importation or local purchase by or on behalf of a registered religious, charitable community-based, or other non profit driven organisation of institution, of goods or services intended to be used solely by the organisation or institution for:-
(a) in the case of religious organisation, the advancement of religion;
(b) use by the organisation or institution in question in the execution of its functions and for relieving persons from the effects of natural calamities, hazards or disaster;
(c) the development, maintanance or renovation by the organisation of projects relating to health, education, training, water supply, infrastructure or any other projects ralating to advancement of the community.
Kipengele hiki kinatoa misamaha ya kodi kwenye manunuzi kwa taasisi zote za kidini. Labda kama tu wavivu wa kufuatilia sheria kwa kutojua lugha, lakini hakuna kitu kinaitwa MOU kwenye hii sheria.
Tatizo la akina Ponda na Maralia Sugu, ni kwamba hawana mpango wa mradi wowote wa maendeleo na hata wakifumbuliwa macho wanataka ufadhili kwa 100%. Hata Physibility study sharti wapate msaada. Sasa waislam wachache wajanja wanayafahamu haya, ila hawataki kuwashitua walio wengi kwani waswahili husema ukila na kipofu usimshike mkono. Wanaform taasisi zao, wanatengeneza project proposals, wanatumia VAT reliefs kufanya biashara zao kwa mabilioni ya shilingi, wanawadanganya akina yakhe misamaha ni kwa wakristu tu ati wana kitu kinaitwa MOU, huku wao wakilamba misamaha ya kodi ya kujenga mashule na mahospitali, miradi ya maji yooooote ikiwa geresha tupu. Jumuia ya kiislam inabaki kwenye kutegemea fadhila za serikali. Ninawajua watu hawa kwa majina, na ukitaka ushahidi pita Gerezani uone mavifaa ya ujenzi yalivyojazana na yanauzwa bei chee, kisha uliza kama yamelipiwa kodi? Fuatilieni taasisi zenu, chunguzeni record za misamaha ya kodi wanayopewa kila mwezi, halafu linganisheni na hiyo miradi inayotajwa. Wabaya wa maendeleo yenu wapo miongoni mwenu. Tofauti na taasisi za kikristo sehemu kubwa ya misamaha inatumika kwa shughuli zilizo kusudiwa. Hii inatokana na mfumo wa waumini kupewa taarifa na kufuatilia utekelezaji wa miradi. Fanyieni kazi changamoto zinazowakabili na si kuishi kwa malalamiko kila mara.
Kama hata wewe hawajakuelewa,basi kuna ambayo hayatakaa yaeleweke hata nini kifanyike,ni vigumu kujadilina na watu wenye mawazo kama ya Ponda,huyo hastahili mjadala,hata mzee Mwinyi hakumwelewa.Watu wenye mawazo ya uamsho utaongea nao kitu gani?Watu wenye kutaka taifa ligawanye kwa misingi ya dini ni hatari kwa usalama wa taifa.Hilo rais halioni.
 
Ninachosema Serikali yetu imeingia muafaka na Maknisa kuendesha elimu na Afya jambo ambalo ni kinyume cha sheria.
AMBACHO NASHINDWA KUMUELEWA HUYU JAMAA NA WENZAKE WENYE MAWAZO KAMA YAKE NI SWALI "JE KAMA WAISLAM MMEPELEKA SERIKALINI ORODHA YENU YA N
MASHULE NA HOSPITALI MKAOMBA MOU NA SERIKALI MKANYIMWA? Mbona kwenye hospital hatutibiwi kwa dini zetu....ACHENI HOJA ZINAIBULIWA NA MAFISADI ILI KUTUSAHAULISHA HOJA ZA WIZI WANAOFANYA...WAISLAM WENZANGU TUANKE...'
 
na wewe ni kweli hujui kwanini waislam wamesusia sensa? si kwamba wamegoma ila kuna vitu vinahitajiaka viingizwe. kwanini nyinyi wakristo mnakataa na huku mkitoa takwimu za dini? niambie huo u-calm unaosema kwa wakristo ni wepi? hata kikwete mwenyewe nafsi yake inamsuta kwa hili analolikataa. I believe.

Wakristu hawakukataa sensa mkuu na wala hawajakataaa kipengele cha dini kiwepo. Hata wao wakristu wangetaka pia wajue wako wangapi. Serikali ndiyo imekataa kwa kigezo kuwa ilikuwa ni matakwa ya kikoloni na mwisho ilikuwa 1967. Serikali yetu inadai haina dini!!!!!! Ni kweli?
 
@jmushi1, Umesema Sheikh Ponda kasema uloyaandika.. naomba nipe nukuu hata moja ya mhadhara au hotuba yake ambayo wewe unaitumia kutoa hoja hizi. Hivi mwanamke anaposema - This world, males are dominant huwa anawabagua wanaume na kutaka wanawake wasishirikiane na wanaume?.
Hivi mkuu wangu,Ponda anasema kipengele cha dini kiwekwe,nadhani anataka kuprove kwamba waislam ndiyo wako wengi zaidi na kwahiyo maendeleo yapelekwe kwa waislam zaidi?

Ama kwamba taifa ni la kiislam kwasababu lina waislam wengi zaidi ya dini nyingine?

Yani kujengwe zahanati ambayo haitaruhusu wananchi wa dini nyingine?maana kiukweli sidhani hata kama shule za waislam zinapokea watu wa imani nyingine,tena I doubt about christians.

Kama sensa ina malengo ya kupeleka maendeleo flani flani kutegemeana na idadi ya wananchi wa sehemu husika,wewe unataka kupelekwe vitu gani?misikiti?Yani ninashangazwa sana.

Mkuu ndo maana hata vita vya ugaidi dhidi ya alkaeda vilipata shida na bado vina shida hiyo kwasababu sometimes ni vigumu kumtofautisha alkaeda na muislam wa kawaida mpenda amani.Yani ni rahisi sana kublend in kwasababu wana sympathisers na wanachosema kiko justified na imani yao kwa upande mwingine.

Na kama hakutokei waislam ambao wanapingana na maextrimist kama Ponda nchini mwetu,basi taifa litazidi kugawanyika.
Same thing with JK,rais wa nchi anapoonyesha kufurahia hali hii,unategema tumchukuliaje?
 
jamani kunya anye kuku akinya bata kaarisha maprezoo walopita wamefanya mangapi ya kidini hayasemwi ila baba ridhiwani2 hapa kuna namna so bure
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom