Magembe R. Malima
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 233
- 214
It's the brain that commands the actions.
Huu unaotajwa kuwa ugomvi ama uhasama wa kidini hauna uhusiano na "mfumo wa kufikiri" wa wahusika? Inakuwaje siasa ifanikishe hili, haiwezekani tatizo pia ni vichwa vya wale wanaolishwa uhasama huu? Dini ni nini ambacho kiingie watu halafu waweke commonsense pembeni?
Hawa watu ambao wanasaikolojia za kubeba dini kwa namna hii je, wanaweza kuwa na saikolojia (labda mfumo wa fahamu/ubongo) unaoweza kufikiri namna ya kutengeneza processor za kompyuta?
Mi nadhani tatizo la msingi siyo Kikwete ni Waafrika (bitterly) ama hao watu wanaogombana kutokana na udini. Aina ya mawazo humea (grow/dwell) kwenye aina yake ya mazingira (ubongo). Haijalishi mtu ni Profesa ama la, as long as kichwa chake kimeishia hapo basi hatakuwa na jipya. Kizazi hiki chetu "ubongo" wake umeishia hapo, hivyo haya yanayotokea inabidi yatokee (bitterly again) kwa sababu wanaofanya space missions wanafanya hivyo kwa kuwa they have the brain(s) enough for that na SISI tunafanya yetu kwa kuwa WE HAVE BRAINS "ONLY" ENOUGH FOR THESE.
It's the brain that commands the actions.
Huu unaotajwa kuwa ugomvi ama uhasama wa kidini hauna uhusiano na "mfumo wa kufikiri" wa wahusika? Inakuwaje siasa ifanikishe hili, haiwezekani tatizo pia ni vichwa vya wale wanaolishwa uhasama huu? Dini ni nini ambacho kiingie watu halafu waweke commonsense pembeni?
Hawa watu ambao wanasaikolojia za kubeba dini kwa namna hii je, wanaweza kuwa na saikolojia (labda mfumo wa fahamu/ubongo) unaoweza kufikiri namna ya kutengeneza processor za kompyuta?
Mi nadhani tatizo la msingi siyo Kikwete ni Waafrika (bitterly) ama hao watu wanaogombana kutokana na udini. Aina ya mawazo humea (grow/dwell) kwenye aina yake ya mazingira (ubongo). Haijalishi mtu ni Profesa ama la, as long as kichwa chake kimeishia hapo basi hatakuwa na jipya. Kizazi hiki chetu "ubongo" wake umeishia hapo, hivyo haya yanayotokea inabidi yatokee (bitterly again) kwa sababu wanaofanya space missions wanafanya hivyo kwa kuwa they have the brain(s) enough for that na SISI tunafanya yetu kwa kuwa WE HAVE BRAINS "ONLY" ENOUGH FOR THESE.
It's the brain that commands the actions.