Acha kulalamika! Kata rufaa kama umeonewa! Kuna sehemu ya kupeleka malalamiko yako! Kama uzi umeunganishwa ujue contents zina fanana!
Alalamike kwa nani wakati tayari tumeshasema hili si jukwaa huru
Chama
Gongo la mboto DSM
Acha kulalamika! Kata rufaa kama umeonewa! Kuna sehemu ya kupeleka malalamiko yako! Kama uzi umeunganishwa ujue contents zina fanana!
Ni ushauri mzuri ukawapa watu wa chama chako especially kipindi hiki ambapo mnaelekea kama vile mtachukuwa nchi.Ni mambo ambayo mnatakiwa muyafanyie kazi kwa manufaa si tu ya chama chenu,bali taifa kwa ujumla.Lakini hilo halimzuii JK kuwa responsible na huu udini ulionea nchini na kusababisha ule mshikamano wetu na umoja wa kitaifa kuwa mashakani kwa mara ya kwanza toka tupate uhuru.Mfumo kristu
unawapa fedha makanisa badala ya kwuasomesha watoto, ebu nambie hizo billioni 90 zingewasomesha watoto wangapi kila mwaka! Sielewi kuhusu Wakristu ila nafahamu watoto wengi wa kiislaam wanaachwa nyuma kwa sababu wamenyang'anywa shule zao, wananyimwa fedha za kujiendeleza. Ukinyimwa ELIMU ni sawa na kurudishw aktk utumwa.. Haya pekee ni sawa na utawla wa mkoloni japokuwa nao walidai kwamba wametulea elimu lakini ukweli ulikuja umbuka mwaka 1061 tulikuwa na madaktari wawili tu tukizidiwa hata na Zanzibar ilokuwa na watu wasiozidi millioni. Huwezi kunambia kitu mkuu wangu kwa sababu nimesoma ktk mfumo huo na najua taabu nilizozipata..
Chama changu hakina matatizo hata kidogo isipokuwa tuhuma zinazowafuata baadhi ya viongozi kutumiwa na cartel fulani ndizo nisizokubali zipite tu pasipo kulaaniwa. Iwe dr.Slaa, Mbowe au Zitto huwa mstari wa mbele kuanzisha mada hapa JF kutafuta ukweli ni upi..Ujumbe nimeshaufikisha kama hawatasoma hapa watakuja ambiwa Mkandara ana msimamo gani na sipo pekee maana nimefuatilia swala hili kwa muda mrefu sasa..Ni ushauri mzuri ukawapa watu wa chama chako especially kipindi hiki ambapo mnaelekea kama vile mtachukuwa nchi.Ni mambo ambayo mnatakiwa muyafanyie kazi kwa manufaa si tu ya chama chenu,bali taifa kwa ujumla.Lakini hilo halimzuii JK kuwa responsible na huu udini ulionea nchini na kusababisha ule mshikamano wetu na umoja wa kitaifa kuwa mashakani kwa mara ya kwanza toka tupate uhuru.
Kwasababu ebu fikiria jinsi ambavyo eti ufisadi wa JK hauonekani machoni pa wanachama wa chadema kama wewe kwasababu ni muislam mwenzao.Hilo ndo janga kuu haswa kwa baadhi yetu.Ukombozi hautapatikana kwa misingi hii mkuu wangu.
Hivi mkuu kwahiyo unataka kubadili "mfumo kristo" kwenda mfumo gani?maana kama unataka mabadiliko ili watanzania wote wanaufaike,then huwezi kuyapigania kwa mgongo wa uislam kwasababu once again utakuwa unahatarisha usalama wa taifa kwa kuuweka umoja wetu wa kitaifa "rehani",matatizo tuliyonayo kama wananchi ni the same kabisa bila kuangalia dini.Mafisadi wako both wakristu na waislam,tunaweza kuwaona kama tukitumia macho ya utanzania.
Ni hayo kwasasa.Nashukuru kwa mjadala wa kiustaraab.Stay blessed.
Mkuu nimekupata sana.Ushauri wangu ni kwamba inabidi uwe makini kama mwanachadema ili isije ikawa kama ule msemo wa "Crabs in a bucket..."Chama changu hakina matatizo hata kidogo isipokuwa tuhuma zinazowafuata baadhi ya viongozi kutumiwa na cartel fulani ndizo nisizokubali zipite tu pasipo kulaaniwa. Iwe dr.Slaa, Mbowe au Zitto huwa mstari wa mbele kuanzisha mada hapa JF kutafuta ukweli ni upi..Ujumbe nimeshaufikisha kama hawatasoma hapa watakuja ambiwa Mkandara ana msimamo gani na sipo pekee maana nimefuatilia swala hili kwa muda mrefu sasa..
Na usidhani nina mawasilino ya karibu na viongozi wa Chadema - hapana sina, bali ni mwanachama kama wengineo waloweka imani kubwa juu ya chama hiki kuuondoa utawala huu madarakani pasipo kujali kuna Kikwete muislaam ama Lowassa Mkristu..
Hii habari na kumchafua JK kwa udini wakati yeye anawapa makanisa billioni 90 kila mwaka, nafuu ya kodi, serikali ikiwasomesha walimu wao bure halafu wanakuja toza wanafunzi mamilioni ili kulipa mishahara ya walimu wao, akitoa michango ya mamillioni ktk ujenzi wa makanisa, shule na zahanati na bado mshiriki mkubwa wa mfumo wa kikoloni uloasisiwa mwaka 1992 ambao waislaam wamekuwa wakiulalamika kwa miaka yote hawasikilizwi.. Huyu JK ni mdini kivipi haswa!..kwa sababu ya Sheikh Ponda!
- Ndipo napopingana na wewe kwa sababu hawasaidii lolote Waislaam...
Nitarudia tena kusema JK hana Udini kwa maana ya kwamba udini ni pale anawakandamiza wakristu. JK alishinda uchaguzi wa mwaka 2010 kwa upumbavu wetu sisi wenyewe tulipokuwa tukishindana na CUF kuhusu imani za dini. Mapadre wote nchini walimpitisha JK kwutokana na misaada yake akiitwa chaguo la Mungu kwa mara ya pili.Mkuu nimekupata sana.Ushauri wangu ni kwamba inabidi uwe makini kama mwanachadema ili isije ikawa kama ule msemo wa "Crabs in a bucket"
JK ni mdini kwasababu ndiye aliyeuchochea kwenye uchaguzi wa 2010 na madhara yake yako wazi kwasasa.Hii hali haikemei,na kwa mantiki hiyo,yeye ni mdini.
Under his watch,nchi inajadili kila jambo kwa misingi ya udini.Nadhani hapo ndo unampendea na ndiyo maana huoni huo kama ni udini.Unaona kwa anaonewa kwa uislam wake.
Kiasi cha kwamba hata viongozi wa chadema hususa Slaa unakuwa na wasiwasi naye kwani umelishwa chuki na kuamini.
Usipokuwa makini inawezekana msiweze kusolve hayo mambo na pengine ukajitoa chadema.Ila siamini kama waislam wote wa chadema wana msimamo wa kusema JK anaonewa kwa kuwa ni muislam.Huyo atakuwa si chadema.
Ukiyatizama matatizo ya watanzania kwa jicho la kitanzania,basi utayaona matatizo ya watanzania ni si ya kwaislam peke yake wala wakristu peke yake.
Tulipo kama Taifa,hizi za udini wala haikutakiwa iwe issue kabisa.Taifa linatuhitaji kama watanzania.Kama kuna matatizo,kuna namna ya kuyashuhulikia kama watanzania,na tukasolve issue.
Kwa kumalizia,napenda uniambie ni mfumo gani unataka uwe mbadala wa mfumo kristo.Tuanzie hapo.Hila nisingependa thread hii ijadili hayo.Kwasababu ni somewhat out of its original purposes.
JK si mdini kwasababu anawakandamiza wakristo.Nitarudia tena kusewma JK hana Udini kwa manaa kwamba anawakandamiza wakristu. JK alishinda uchaguzi wa mwaka 2010 kwa upumbavu wetu sisi wenyewe tulipokuwa tukishindana na CUF kuhusu imani za dini. Mapadre wote nchini walimpitisha JK kwutokana na misaada yake akiitwa chaguo la Mungu kwa mara ya pili.
Tatizo la Udini lilianzishwa makanisa na vijiweni pindi alipowaahidi waislaam mahakama ya kadhi. Mkamwita mdini na hata kuzungumziwa makanisa.. Ndipo waislaam nao wakaja juu wakifikiria msanii JK atawapa hiyo mahakama ya kadhi. JK asingeweza kabisa kushinda uchaguzi wa mwaka 2010 kama tungebakia ktk ktk siasa badala ya kuwasikiliza Mapadre, Masheikh na Maaskofu wakichochea Udini.
Ushindi wa JK umetoka kwetu sisi kutokuwa na beki wazuri na CCM waliweza kupenya ktk ngome zetu kwa kutumia fursa tulowapa sisi wenyewe kwa sababu badala ya kukishambiulia chama CCM na Ufisadi kama walivyofanya viongozi wetu sisi tukadakia Udini kumshambulia JK na mahakama ya kadhi. Mada zaidi ya 5 zilihusu Mahakama ya kadhi tu na waandishi ni wanaChadema na Mapadre, wengine wakienda hadi misikitini kusikiliza hotuba na kuzileta humu, hivyo tukawapa mwanya waislaam pia kumshambulia Dr.Slaa ambaye alikuwa Padre na hivyo kuweka wasiwasi juu ya uongozi wake. Nilitoa tahadhali nyingi sana hapa JF juu ya hilo, lakini kama kawaida yenu huwa hamuamini anayoyasema Mkandara lazima mpinge kwa sababu hayapo karibu na ukweli mnaoupenda.. Ikala kwetu..
Mkuu wangu imetosha kwa leo tuache hizi siasa za udini.. zipite siku hatuandiki uchochezi wa aina yoyote baina ya Waislaam na Wakristu kwa sababu haitusaidii na nakuhakikishia Chadema watakuwa na wakati mgumu sana uchaguzi wa mwaka 2015 ikiwa tutaendelea kuchochea moto huu..
Kwa hili wala sintosubiri urudi.. Mfumo pekee unaotufaa ni ule unaolenga kuondoa UJINGA kaa msingi wa maendeleo yetu na no one is left behind. Shule na Hospital zote za serikali zitaendeshwa na serikali na zile za makanisa, misikiti na watu binafsi zitajiendesha kama Private schools wakitoza wanafunzi ada za masomo, malazi na kadhalika. Let all Private schools be private..JK si mdini kwasababu anawakandamiza wakristo.
Ni kweli tuonane baadaye hata mimi natoka kidogo.Nina uhakika kabisa matatizo yetu kama watanzania tutayamaliza kama watanzania na si vinginevyo,hilo nina uhakika nalo kabisa.
Kwa kumalizia,patriotism has something to do with the love for your country,where as nationalism is about the nation.
Nitakaporudi hapa,nitakukumbusha kuhusu swali langu la msingi kwako kuwa ni mfumo upi tofauti na mfumo kristu ambao unapendelea tuwe nao.
Stay blessed.
Udini kwa hiyo ni kupinga sensa?!
Mada hii inamhusu JK kwa sababu ni Muslaam hivyo amnapigwa vita kwa sababu hiyo tusianze kuingiza watu wengine ambao hawapo ktk mjadala. JK anatuhumiwa Udini kwa sababu yeye ni Muislaam na kashindwa kumchukulia Sheikh Ponda hatua lakini kama angekuwa Mkrisru pengine kuna uwezekano angefanya ipasavyo...
Haya ndio mawazo wa watu wanajiita GT wa JF ambao kwao Dr.Slaa ni mbora zaidi kwa sababu ni mkirstu na hakika pengine kwe;li angemchukulia hatua Sheikh Ponda japokuwa sheikh huyo anawakiliosha mawazo ya watu wengi sana wengine sio waislaam lakini hawakuona sababu kabisa ya kipengele cha dini uondolewa tena na rais Muislaam.. Huyu JK mdini kweli amefikia hata kuwakatalia waislaam wenzake! Dah ama kweli Miafrika ndivyo tulivyo..
Jenga chama mkuu kama wewe ni mkweli.
Matatizo ya waislamu au wakristu yatamalizwa wakiwa kama watanzania je mnalijua hilo?