Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Status
Not open for further replies.


mleta thread ametuambia hapa tunajadili udini wa kikwete na si vinginevyo...! naona ameshapandisha jazba na kuanza kutukana simply " hana hoja yenye mshiko kuonesha udini wa JK upo wapi"

sasa udhaifu unaonyeshwa na watendaje wake wa chini unamfanya kikwete awe mdini! ... swake34 i beg you please nipe mifano hai hata miwili kuonesha udini alioufanya JK!...

mtoa mada amezunguka na kugotea kwenye sensa .. nimarangapi JK aliongelea sesna na waislam kugoma.?! au milihitaji afanye nini zaidi..?

mwisho - udini ni nini...?! maana naona sikuhizi kiongozi mwislam akifanya jambo lolote anaitwa mdini..!? hivi udini umekuwa = uislam..?!
mkuu wangu njiwa,
sweke34 unambebesha bure gunia la misumari, hawezi kujibu hilo swali hata siku moja....si kwamba hataki, hana jibu! Huyo mleta mada mwenyewe nimemuuliza swali kama hilo kwenye post # 380, amelipotezea.....amelipotezea si kwamba amekuwa jeuri ghafla, bali hata yeye hana jibu!! na ni kutokana na kushindwa kutoa hoja za msingi za kuthibitisha hayo madai yao ndio maana sipati taabu ku-conclude kwamba mtoa mada ndie mdini!
 
Nani ana muda huo,we wahi tu.Endelea na shughuli fisadi mdini.Nikapitie posti zako si ntatapika?
mkuu wangu hilo halikubaliki na ni rahisi kusema kumbe kweli unachofanya hapa ni uzandiki....haiwezekani utoe tuhuma mzito dhidi ya mtu na akuambie onesha hiyo thread aliyosema hivyo kisha wewe uzungumze kirahisi rahisi tu kwamba huna muda huo!!! Hapa maana yake ni kwamba, hata mimi naweza kusema jmushi1 uliwahi kusema kwamba nchi ikitawaliwa na mwislamu utahama nchi ikawa ni sawa tu coz' sina ulazima wa kuthibitisha tuhuma kali kama hizo! this's not right......!
 
Nani ana muda huo,we wahi tu.Endelea na shughuli fisadi mdini.Nikapitie posti zako si ntatapika?

Usiwe unawawekea watu maneno mdomoni punguza unafiki yaani upo radhi hata kusema uwongo kusingizia watu ili ufanikiwe mnafiki mkubwa mzandiki.
 
mkuu wangu njiwa,
sweke34 unambebesha bure gunia la misumari, hawezi kujibu hilo swali hata siku moja....si kwamba hataki, hana jibu! Huyo mleta mada mwenyewe nimemuuliza swali kama hilo kwenye post # 380, amelipotezea.....amelipotezea si kwamba amekuwa jeuri ghafla, bali hata yeye hana jibu!! na ni kutokana na kushindwa kutoa hoja za msingi za kuthibitisha hayo madai yao ndio maana sipati taabu ku-conclude kwamba mtoa mada ndie mdini!
Ok,mkuu kwanza nadhani tupo page moja kuhusu suala la Taifa kuwepo pabaya kutokana na udini.Lakini hutaki kutoa credit where and when it is due.Kwasababu udini umeshamiri hivi sasa,ninamu accredit kiongozi mkuu wa nchi ambaye the bucks stops with him.Tofauti kati yangu na wewe,ni kwamba unau attribute udini huu uliopo kwa the late mwalimu Nyerere.Hapo ndo tunapishan.Kama kuna mambo aliyafanya mnaona ni udini,kuna namna ya kuyazungumzia,lakini udini upo sasa na JK ndiye kinara.Nchi ikiwa na tatizo kubwa,anayeulizwa rais.Sasa akiulizwa anatetewa.
 
mkuu wangu hilo halikubaliki na ni rahisi kusema kumbe kweli unachofanya hapa ni uzandiki....haiwezekani utoe tuhuma mzito dhidi ya mtu na akuambie onesha hiyo thread aliyosema hivyo kisha wewe uzungumze kirahisi rahisi tu kwamba huna muda huo!!! Hapa maana yake ni kwamba, hata mimi naweza kusema jmushi1 uliwahi kusema kwamba nchi ikitawaliwa na mwislamu utahama nchi ikawa ni sawa tu coz' sina ulazima wa kuthibitisha tuhuma kali kama hizo! this's not right......!
Alisema hayo maneno,ni mnafiki,mdini,mkabila,na on top of that fisadi au atleast mtetezi mkuu.Nikatembelee posts zake nina wazimu?sina muda huo.
 
mkuu wangu hilo halikubaliki na ni rahisi kusema kumbe kweli unachofanya hapa ni uzandiki....haiwezekani utoe tuhuma mzito dhidi ya mtu na akuambie onesha hiyo thread aliyosema hivyo kisha wewe uzungumze kirahisi rahisi tu kwamba huna muda huo!!! Hapa maana yake ni kwamba, hata mimi naweza kusema jmushi1 uliwahi kusema kwamba nchi ikitawaliwa na mwislamu utahama nchi ikawa ni sawa tu coz' sina ulazima wa kuthibitisha tuhuma kali kama hizo! this's not right......!

Mkuu wangu hii forum wanasoma watu wengi unamzushia mtu jambo wakati ajasema unataka watu wanione na chuki, bahati nzuri JF kuna hansard namwambia uonyesha analeta mipasho eti atatapika na wakati anawasikingizia wenzake alikuwa anasikia kichefuchefu, jamaa ni Mzandiki sana.
 
Ok,mkuu kwanza nadhani tupo page moja kuhusu suala la Taifa kuwepo pabaya kutokana na udini.Lakini hutaki kutoa credit where and when it is due.Kwasababu udini umeshamiri hivi sasa,ninamu accredit kiongozi mkuu wa nchi ambaye the bucks stops with him.Tofauti kati yangu na wewe,ni kwamba unau attribute udini huu uliopo kwa the late mwalimu Nyerere.Hapo ndo tunapishan.Kama kuna mambo aliyafanya mnaona ni udini,kuna namna ya kuyazungumzia,lakini udini upo sasa na JK ndiye kinara.Nchi ikiwa na tatizo kubwa,anayeulizwa rais.Sasa akiulizwa anatetewa.
jmushi1,
I can never judge anybody kutokana na dini yake....never nd ever!! Siwezi ng'ata maneno hata kidogo, kwangu mimi Nyerere alikuwa ni a very failure president, lakini u-failure huo sihusishi na udini kama wewe hata siku moja. Mada ambayo niliandika kuhusu Nyerere ni hapa : https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/199759-nyerere-hakuwa-na-mapungufu-alikuwa-kiongozi-mbovu.html . Tafuta kama kuna sehemu niliyohusisha na udini ingawaje wachangiaji wakaigeuza kuwa ni mada ya udini. Labda nikuambie kitu kimoja.....hata kama labda kuna mchangiaji anani-support, lakini nikakuta support yake imekaa kidini dini; huwezi kukuta nagonga "like" hata siku moja!! Hata wewe naweza kukupa kibarua cha kutafuta post yangu yoyote niliyomsema Nyerere kiudini udini, hutaikuta lakini bado kwangu anabaki ni kiongozi mbovu sana especially kwenye masuala ya uchumi!
 
jmushi1,
I can never judge anybody kutokana na dini yake....never nd ever!! Siwezi ng'ata maneno hata kidogo, kwangu mimi Nyerere alikuwa ni a very failure president, lakini u-failure huo sihusishi na udini kama wewe hata siku moja. Mada ambayo niliandika kuhusu Nyerere ni hapa : https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/199759-nyerere-hakuwa-na-mapungufu-alikuwa-kiongozi-mbovu.html . Tafuta kama kuna sehemu niliyohusisha na udini ingawaje wachangiaji wakaigeuza kuwa ni mada ya udini. Labda nikuambie kitu kimoja.....hata kama labda kuna mchangiaji anani-support, lakini nikakuta support yake imekaa kidini dini; huwezi kukuta nagonga "like" hata siku moja!! Hata wewe naweza kukupa kibarua cha kutafuta post yangu yoyote niliyomsema Nyerere kiudini udini, hutaikuta lakini bado kwangu anabaki ni kiongozi mbovu sana especially kwenye masuala ya uchumi!
Ok,so once again tume move one step ahead,let's turn the page now.Kwahiyo huu udini alaumiwe nani?
 
Pamoja na michango yote iliyotolewa hapa, si sahihi kabisa kumtizama JK kama mdini a religious fundamentalist even a simple man of the faith! Yeye anastahili kuonwa hasa kama "mzee wa mji". Hana dhati yoyote katika masuala ya dini; si kwa kauli wala matendo. Ana mikingamo (contradictions) mingi sana inayotia shaka katika imani yake kidini. Lakini ni mtu mlaghai anayetumia karata za dini, kabila na ukanda "kuweka sawa" mashabiki wake wafuata upepo na waroho na pia "kuwaharibia" maadui zake wanaohoji ufisadi wake binafsi na wa utawala wake (kwa rasilimali za taifa na maadili ya kibinadamu). Hata CCM yenyewe (kwa ujumla wake) hana interest nayo nje ya maslahi yake binafsi.

Akikutana na waislam anawapa habari moja, maaskofu nyingine, wafadhili hasa wa US na UK nao wanapewa picha inayowavutia, mamwinyi wa uarabuni wanapata mauidha yao - ilmuradi kila mmoja anasuuzika roho kwa kadiri ya uelewa wake. Hata watendaji wake wakiwemo mawaziri wanapewa meseji tofautitofauti katika masuala yanayowiana! Huyu ni rais ambaye huwezi kumuelezea kikamilifu bila kuonekana unataka kuhatarisha "amani na utulivu wa nchi - utamaduni tuliojijengea kwa miaka kadhaa"! - angekuwa kijana angeitwa "mtoto wa mjini" au "born town" kwa lugha ya enzi zile.

Kuhusu tishio la vita nchini sidhani kama linawezekana. Tanzania ina waislam, wakristo na waumin wengine wengi sana wenye kujua kupambanua kati ya dhati na komedi! Wengi wao hawafiki huku JF. Huu nao ni upepo wa msimu; utapita tu.
 
Mwe! Ili CCM ishinde lazima watumie karata ya dini unakumbuka Igunga yule mama? Karata hii nirahis kuitumia kwa sasa kwasababu nirahis kuwadanganya waislam wengi kwa hesabu rahis. Upo tayar kutawaliwa na kafir aendeleze mfumo kristo au muislam mwenzio wengi wao watajib astakhafir bora muislam. Kwa stail hii utakua umepata mtaji mzur wakuanzia kupunguza kura za mgombea mwenye sifa kwasababu anajina linalosadikika kuwa si la kiislam. Kwasasa hii ndio karata rahis wanayotumia ccm bila kujal madhara yake kwa kizazi hiki na kijacho. Kuiondoa ccm madarakan inahitaj waislam walioelimika na wenye uzalendo na nchi kusimama kidete kupinga hoja hizo kuanzia masjid mpaka kwenye mikutano ya hadhara.
Mada hii inamhusu JK kwa sababu ni Muslaam hivyo amnapigwa vita kwa sababu hiyo tusianze kuingiza watu wengine ambao hawapo ktk mjadala. JK anatuhumiwa Udini kwa sababu yeye ni Muislaam na kashindwa kumchukulia Sheikh Ponda hatua lakini kama angekuwa Mkrisru pengine kuna uwezekano angefanya ipasavyo...

Haya ndio mawazo wa watu wanajiita GT wa JF ambao kwao Dr.Slaa ni mbora zaidi kwa sababu ni mkirstu na hakika pengine kwe;li angemchukulia hatua Sheikh Ponda japokuwa sheikh huyo anawakiliosha mawazo ya watu wengi sana wengine sio waislaam lakini hawakuona sababu kabisa ya kipengele cha dini uondolewa tena na rais Muislaam.. Huyu JK mdini kweli amefikia hata kuwakatalia waislaam wenzake! Dah ama kweli Miafrika ndivyo tulivyo..
 
Mada hii inamhusu JK kwa sababu ni Muslaam hivyo amnapigwa vita kwa sababu hiyo tusianze kuingiza watu wengine ambao hawapo ktk mjadala. JK anatuhumiwa Udini kwa sababu yeye ni Muislaam na kashindwa kumchukulia Sheikh Ponda hatua lakini kama angekuwa Mkrisru pengine kuna uwezekano angefanya ipasavyo...

Haya ndio mawazo wa watu wanajiita GT wa JF ambao kwao Dr.Slaa ni mbora zaidi kwa sababu ni mkirstu na hakika pengine kwe;li angemchukulia hatua Sheikh Ponda japokuwa sheikh huyo anawakiliosha mawazo ya watu wengi sana wengine sio waislaam lakini hawakuona sababu kabisa ya kipengele cha dini uondolewa tena na rais Muislaam.. Huyu JK mdini kweli amefikia hata kuwakatalia waislaam wenzake! Dah ama kweli Miafrika ndivyo tulivyo..
Jenga chama mkuu kama wewe ni mkweli.
 
Pamoja na michango yote iliyotolewa hapa, si sahihi kabisa kumtizama JK kama mdini a religious fundamentalist even a simple man of the faith! Yeye anastahili kuonwa hasa kama "mzee wa mji". Hana dhati yoyote katika masuala ya dini; si kwa kauli wala matendo. Ana mikingamo (contradictions) mingi sana inayotia shaka katika imani yake kidini. Lakini ni mtu mlaghai anayetumia karata za dini, kabila na ukanda "kuweka sawa" mashabiki wake wafuata upepo na waroho na pia "kuwaharibia" maadui zake wanaohoji ufisadi wake binafsi na wa utawala wake (kwa rasilimali za taifa na maadili ya kibinadamu). Hata CCM yenyewe (kwa ujumla wake) hana interest nayo nje ya maslahi yake binafsi.

Akikutana na waislam anawapa habari moja, maaskofu nyingine, wafadhili hasa wa US na UK nao wanapewa picha inayowavutia, mamwinyi wa uarabuni wanapata mauidha yao - ilmuradi kila mmoja anasuuzika roho kwa kadiri ya uelewa wake. Hata watendaji wake wakiwemo mawaziri wanapewa meseji tofautitofauti katika masuala yanayowiana! Huyu ni rais ambaye huwezi kumuelezea kikamilifu bila kuonekana unataka kuhatarisha "amani na utulivu wa nchi - utamaduni tuliojijengea kwa miaka kadhaa"! - angekuwa kijana angeitwa "mtoto wa mjini" au "born town" kwa lugha ya enzi zile.

Kuhusu tishio la vita nchini sidhani kama linawezekana. Tanzania ina waislam, wakristo na waumin wengine wengi sana wenye kujua kupambanua kati ya dhati na komedi! Wengi wao hawafiki huku JF. Huu nao ni upepo wa msimu; utapita tu.
Kutofautisha "karata ya udini" na udini ni shida,anayecheza karata ya udini ni mdini,let's call a spade exactly what it is.
 
Drifter,kwa upande mwingine nimekupata kuwa politics za divisions bila kujali madharayake,huyu mkulu kazikumbatia na ndizo zilimwingiza madarakani.

Si unakumbuka alivyochafua Salim A Salim kuwa eti ni mwarabu sijui wa Hizbu?zile kampeni za wanamtandao?
 
Last edited by a moderator:
Jenga chama mkuu kama wewe ni mkweli.
Kwa kuwatuhumu Waislaam?. JK atabakia kuwa JK hata kama angekuwa Mkristu, Bainiani au Myahudi bado angeyafanya madudu haya haya..
jmushi1, hapa hukijengi chama kwa kutumia karata ya Udini maana unachojaribu kusema JK ni mdini kwa sababu ni Muislaam lakini Dr.Slaa sio mdini kwa sababu mkristu, sasa nikijenge chama kipi?
 
Kwa kuwatuhumu Waislaam?. JK atabakia kuwa JK hata kama angekuwa Mkristu, Bainiani au Myahudi bado angeyafanya madudu haya haya..
jmushi1, hapa hukijengi chama kwa kutumia karata ya Udini maana unachojaribu kusema JK ni mdini kwa sababu ni Muislaam lakini Dr.Slaa sio mdini kwa sababu mkristu, sasa nikijenge chama kipi?

Jenga chama kama Mohamed Mtoi mkuu wangu.Unahitajika kipindi hiki mkuu,ni ushauri tu.JK na chadema wapi na wapi mkuu wangu?chadema hata nchi haijawahi shika.
 
Jenga chama kama Mohamed Mtoi mkuu wangu.Unahitajika kipindi hiki mkuu,ni ushauri tu.
Wewe unakijenga vipi? kwa kutaka kuwafunga viongozi wa kiislaam ambao wanapinga sensa inayowaweka chini?.. For this sina imani na JK na kionmgozi meingine yeyote anayekubaliana na sensa inayowatenga waislaam toka tumerudisha mfumo wa kikoloni..

Mwanangu mimi kashinda form 6 na kuchaguliwa Mzumbe University, halafu naambiwa anatakiwa matumizi ya millioni zisizopungua 2 kila mwaka ili apate kusoma na kwa maelezo yake hawapewi mkopo na serikali ispokuwa wale waliochukua masomo ya sayansi. Watoto wa viongozi wote watasoma nje, lakini hawa wa walalahoi wataweza vipi kumudu gharama hizi ilihali serikali yetu inapewa fedha na wafadhili kuendeleza elimu nchini..Ebu nambie huyo mtoto wa mkulima, maskini ambaye kila siku anatafuta fedha za kuweka mkate mezani huyu ataweza kusoma kweli?. na kuna watoto wangapi wanaoshindwa kuendelea na masomo na kutoka jamii gani haswa!. Ujinga huu siwezi kuupa mkono hata kama...
 
Wewe unakijenga vipi? kwa kutaka kuwafunga viongozi wa kiislaam ambao wanapinga sensa inayowaweka chini?.. For this sina imani na JK na kionmgozi meingine yeyote anayekubaliana na sensa inayowatenga waislaam toka tumerudisha mfumo wa kikoloni..

Mwanangu mimi kashinda form 6 na kuchaguliwa Mzumbe University, halafu naambiwa anatakiwa matumizi ya millioni zisizopungua 2 kila mwaka ili apate kusoma na kwa maelezo yake hawapewi mkopo na serikali ispokuwa wale waliochukua masomo ya sayansi. Watoto wa viongozi wote watasoma nje, lakini hawa wa walalahoi wataweza vipi kumudu gharama hizi ilihali serikali yetu inapewa fedha na wafadhili kuendeleza elimu nchini..Ebu nambie huyo mtoto wa mkulima, maskini ambaye kila siku anatafuta fedha za kuweka mkate mezani huyu ataweza kusoma kweli?. na kuna watoto wangapi wanaoshindwa kuendelea na masomo na kutoka jamii gani haswa!. Ujinga huu siwezi kuupa mkono hata kama...
Nadhani unazungumzia "mfumo kristo"?mkuu usimtete mtu mfisadi kwasbabu ni dini yako,hapo ni utaifa kwanza mkuu.

Hivi watoto wa wakulima masikini ni waislam peke yake?ama nimekuelewa vibaya?

Pia mimi sina chama bado.Nakumbuka ulisema wewe ni chadema.Ila unampenda JK kuliko chama chako.Goodluck.
 
Nadhani unazungumzia "mfumo kristo"?mkuu usimtete mtu mfisadi kwasbabu ni dini yako,hapo ni utaifa kwanza mkuu.

Hivi watoto wa wakulima masikini ni waislam peke yake?ama nimekuelewa vibaya?
Mfumo kristu unawapa fedha makanisa badala ya kuwasomesha watoto wetu, ebu nambie hizo billioni 90 zingewasomesha watoto wangapi kila mwaka! Sielewi kuhusu Wakristu ila nafahamu watoto wengi wa kiislaam wanaachwa nyuma kwa sababu wamenyang'anywa shule zao, wananyimwa fedha za kujiendeleza wakitupwa ktk shule mbovu zaidi..

Ukinyimwa ELIMU ni sawa na kurudishwa ktk utumwa.. Haya pekee ni sawa na utawala wa mkoloni na naziona dalilizote japokuwa nao walidai kwamba walituletea elimu na civilization. Lakini ukweli ulikuja umbuka mwaka 1961 tulikuwa na madaktari wawili tu, tukizidiwa hata na Zanzibar ilokuwa na watu wasiozidi millioni. Huwezi kunambia kitu mkuu wangu kwa sababu nimesoma ktk mfumo huo na najua taabu nilizozipata..
 
Wewe jamaa una PhD ya Unafiki, mtu yeyote akiwa against Chadema basi ni fisadi sijui umeipata wapi hiyo haiwezekani Watanzania wote tuwe Chadema...eti ukiwa Chadema ndio mpinga ufisadi akili zingine bana.

Mkuu Ritz
Kama ni kupinga ufisadi ni kuwa Chadema basi kuna wengi tu hawastahili kuwa Chadema kwasababu wamedhihirisha tayari ni mafisadi. Bado napata kizunguzungu na hii dhana ya ufisadi ya Chadema.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom