This is exactly what I call Grat thinking.Nashukuru sana kwa bandiko hili mkuu!Ni matumaini wahusika wanayaoana haya.Ningependa tujadiliane kwa njia hii.Huu ni mfano tosha kuwa si waislam wote wenye mawazo kama ya wafuasi wa JK na JK mwenyewe.Huwa tunatofautiana lakini nimeguswa sana na mchango wako huu.Stay blessed.
Hakuna kitu kibaya kama unafiki.....na ndio maana nilikuambia kabla kwamba ulikuwa unaongea mambo ya kuwa-lead watu waseme kama ni Udini mbona Lowassa kila siku anaingia makanisani kupiga siasa ili upate kuongea kama hivi ulivyoongea! Kwa bahati mbaya sana, hata wewe mwenyewe umeshindwa kabisa kufahamu kwamba uliyem-quote amekunanga na wewe umeingia kichwa kichwa!!