Nishamsoma sana, ila na yeye leo anajifanya hamnazo!!Msome Sweke34 ili tuweze kurudi kwenye hoja, sawa mkuu?
Nishamsoma sana, ila na yeye leo anajifanya hamnazo!!Msome Sweke34 ili tuweze kurudi kwenye hoja, sawa mkuu?
with the post or her?if the latter,please be careful ana wenyewe huyo.lol
Acha kulia lia kiunafiki wewe mtetezi wa mafisadi ama pengine fisadi lenyewe,kuna mtu ana mdomo mchafu kama wako humu?
pengine Mtei aliuona udini wa Jk kabla yangu.Hakuna aliyejuwa JK ni mdini mwanzoni,rangi zake zimejionyesha na taifa linakwenda kombo.Kama miye ndo mdini nimesababisha hayo,then una hoja.Otherwise rudi kwenye hoja mkuu,mimi si rais wa nchi ati.Tafadhali jadili hoja si mimi.Unataka kufanya character assasination kwasababu umeudhika sana,hilo huwezi coz im nobody,hoja zinajisimamia zenyewe,pitia hii mada toka mwanzo,kuna watu wametoa maoni safi sana.Mkuu wangu sweke34 ni wewe ndie ambae unataka kujifanya hamnazo wakati unazo tele! Mbona nilishakuambia tangia kwenye quotation yangu ya kwanza kwako kwamba wakati JK anazunguka kwenye kampeni za uchaguzi 2010 kwenye mikutano yake mingi alikuwa anakemea sana suala la udini! Ktk maajabu ya Mussa, wakatokea watu wakaanza kumpinga na kumshambulia kwamba kwa hatua yake ya kupita kuzungumzia masuala ya udini ndo anapandikiza udini vichwani mwa watu wakati "eti nchi haina udini!"Na ndio maana leo nashangaa kuona akina jmushi1 mnadai kwamba JK ni mdini kwakuwa hakemei udini.....lakini hapa mnachomaanisha hakemei waislamu! Sitaki kuamini kwamba mmesahau wakati ni miaka miwili tu sasa!!!!
Hilo la kwanza...lakini la pili, jmushi1 anapindisha mada tu hapa.....anafinyangafinyanga alichokielezea ili watu wamuamini kwamba ni mzalendo mpenda mmoja huku akiwa ni adui mkubwa wa udini wakati ukweli ni kwamba jmushi1 leo hii amejisahau na kuionesha taswira yake halisi! Binafsi, nakumbuka mara yangu ya kwanza kabisa kum-challenge jmushi1 kuhusu masuala ya udini ni wakati mzee Mtei alipotoa madai yake ya kwamba tume imejaa waislamu!! Lazima nikiri wazi kwamba mara zote ambazo nimekuwa niki-differ ni jmushi1 ni pale anapoleta hoja zake za udini! Angalau, kwenye mada ile, alijishtukia mapema akaamua kukausha!
Mie hupendelea kuisikiliza radio Imani ya Morogoro, ukweli radio hii haina jema kwa taifa letu. Mtu makini utatarajia chombo cha habari cha kidini kazi yake ni kuwaelimisha/kuwakumbusha kuhusu imani ya dini hiyo, lakini radio hiyo imejikita kuwafanya waumini/wasikilizaji wake wajione wananyanyaswa, kudhurumiwa na kila unyonge wa mwanadamu hapa duniani hufanyiwa lakini watawala wetu wanaona sawa tu na kulifungia gazeti. Nachelea kuamini kuwa labda vita ya kidini inaandaliwa.
Wewe ni fisadi wewe!unavyomchukia Slaa na domo lako la kunuka kwa matusi kila kukicha humu,yani kama uko obssesed.Na ninavyofahamu,eti unajidai kumpinga kwa kudai ni padri,hapo ndo udini wako humu kila siku unajidhihrisha.Ni fisadi linalojikinga kwa kutumia dini.Humchukii Slaa kwasababu ni padri,unamchukia kwasababu anakubinyeni kubaya mafisadi,sasa mnatumia dini kama kivuli.Wewe jamaa una PhD ya Unafiki, mtu yeyote akiwa against Chadema basi ni fisadi sijui umeipata wapi hiyo haiwezekani Watanzania wote tuwe Chadema...eti ukiwa Chadema ndio mpinga ufisadi akili zingine bana.
Mgongano wa kimaslahi...The Boss ndo anamiliki hii kitu,i stand to be corrected,huwa anamwita Konny,ndo huyo huyo Kongosho,na miye kanivutia zaidi so The Boss awe makini maana anajuwa nilitaka kukimbiza akashtukia dili.Naona unajitambulisha kiaina hapo lol....
Usijali Mkuu wangu, ye mwenyewe ataisikia sauti ya kwenye maandishi yangu na ataelewa inalenga wapi kama ni hoja yake au yeye mwenyewe...
Wewe ni fisadi wewe!unavyomchukia Slaa na domo lako la kunuka kwa matusi kila kukicha humu,yani kama uko obssesed.Na ninavyofahamu,eti unajidai kumpinga kwa kudai ni padri,hapo ndo udini wako humu kila siku unajidhihrisha.Ni fisadi linalojikinga kwa kutumia dini.Humchukii Slaa kwasababu ni padri,unamchukia kwasababu anakubinyeni kubaya mafisadi,sasa mnatumia dini kama kivuli.
Hii ni JF wewe kama hujui...
Do the same...
Yeyote atakayemwita JK fisadi, mdini utasikia viongozi wa DINI moja wakikusanyika Diamond Jubillee wakila na kupiga kelele "mnamuonea Rais kwa sababu ni DINI fulani; kila akiingia wa Dini hiyo mnashambulia serikali yake"
Kumbe hata chakula kule Diamond Jubilee waligharamiwa na JK.
Apende asipende atajibu tuhuma za uharibifu aliotenda kwa kupandikiza hii mbegu chafu!! JK = Janga la Kitaifa/aka "dhaifu"
Wala bila matusi hatoweza kamwe, labda mwingine.Niko tayari kama itakuwa monitored.Lakini i wonder how,maana huwa hana hoja.Yeye atasema nchi haitakaa iongozwe na padri la sivyo wataingia mtaani ,sasa nambie yeye na nani?Alshabab?Mjadala wa facts hawezi i can bet my life on this.
wala bila matusi htoweza kamwe,labda mwingine.Niko tayari kama itakuwa monitored.Lakini i wonder how,maana huwa hawana hoja.Yeye atasema nchi haitakaa iongozwe na padri la sivyo wataingia mtaani,sasa nambie yeye na nani?Alshabab?Mjadala wa facts hawezi i can bet my life on this.
Hata huu wanataka kuuharibu,si unaona ulivyokuja wewe na great thinkers wengine hadi ikafuraisha kwa jinsi mlivyoangusha mapointi ya nguvu?Sasa fwatilia uone palipoenda kombo hadi usawa huu.uwe monitored ndio.
Itakuwa hoja tu, anayetoa matusi ni wazi kabisa atakuwa anawaangusha wanaomsikiliza.
Si unajua, watu hapa wanaona kabisa point.
Kwa hilo la kwanza. Mimi nina shangazi yangu yupo Mwanza. Ni mkatoliki kama mimi ila yeye ni CCM damudamu. Alinisimulia mwenyewe kwamba wakati wa uchaguzi 2010, alipata msukosuko kidogo kwa kujifanya mwana ccm. Wenzake walikuwa wampanga wakipigie kura chama cha upinzani lakini yeye akagoma. Na ilikuwa bado kidogo tu atengwe. Ninachosema hapa ni kwamba. Wapo baadhi ya wakatoliki wadini. Baadhi ya walutheri wadini, baadhi ya waislam wadini nk. Naomba uondoe hicho kitu ulichokisema eti "lakini hapa mnachomaanisha hakemei waislamu".Mkuu wangu sweke34 ni wewe ndie ambae unataka kujifanya hamnazo wakati unazo tele! Mbona nilishakuambia tangia kwenye quotation yangu ya kwanza kwako kwamba wakati JK anazunguka kwenye kampeni za uchaguzi 2010 kwenye mikutano yake mingi alikuwa anakemea sana suala la udini! Ktk maajabu ya Mussa, wakatokea watu wakaanza kumpinga na kumshambulia kwamba kwa hatua yake ya kupita kuzungumzia masuala ya udini ndo anapandikiza udini vichwani mwa watu wakati "eti nchi haina udini!"Na ndio maana leo nashangaa kuona akina jmushi1 mnadai kwamba JK ni mdini kwakuwa hakemei udini.....lakini hapa mnachomaanisha hakemei waislamu! Sitaki kuamini kwamba mmesahau wakati ni miaka miwili tu sasa!!!!
Hilo la kwanza...lakini la pili, jmushi1 anapindisha mada tu hapa.....anafinyangafinyanga alichokielezea ili watu wamuamini kwamba ni mzalendo mpenda mmoja huku akiwa ni adui mkubwa wa udini wakati ukweli ni kwamba jmushi1 leo hii amejisahau na kuionesha taswira yake halisi! Binafsi, nakumbuka mara yangu ya kwanza kabisa kum-challenge jmushi1 kuhusu masuala ya udini ni wakati mzee Mtei alipotoa madai yake ya kwamba tume imejaa waislamu!! Lazima nikiri wazi kwamba mara zote ambazo nimekuwa niki-differ ni jmushi1 ni pale anapoleta hoja zake za udini! Angalau, kwenye mada ile, alijishtukia mapema akaamua kukausha!
Nchi ilipofikia,credits huwa anapewa rais na serikali yake,kwahili la udini,hakuna ubishi umeshaota mizizi.Na sijawahi kusikia kauli ama vitendo kutoka kwa JK vya kukemea haya mambo ya udini.
Kinachonifanya niamini ni JK,ni kwasababu hao wanaopinga kasi ya upinzani,wanapoijibia serikali ya ccm,basi wanaoonyesha chuki za wazi kabisa za kidini.Ule udugu tuliokuwa nao wakitanzania haupo tena,na sijui utarudi kwa njia gani.
Kuna habari kuwa hata mtu na mke wake wanataka kutoana roho kwasbabu hizo hizo.Sheick Ponda alipotoa kauli kinyume na yakwake kuhusu sensa,kaliachia na gazeti lenye kusambaza sumu hizo huku akilifungia lenye kusema ukweli(mwanahalisi)
Ninamini kabisa kuwa tulipofikia,uwezekano wa kuingia kwenye vurugu na mapigano ya kidini ni mkubwa kuliko wakati wowote ule kwenye historia ya Tz toka tupate uhuru.
Kama JK ni mdini,tufanyeje?Ni wazi anapenda haya yaendelee kuwepo kwasababu ni kama anauwa ndege wawili kwa jiwe moja,yani kwasababu yeye ni fisadi na mdini,basi issue za ufisadi wake anazifukia kwa kupenyeza sentiments za kidini kwasababu anajuwa the issue is extremely sensitive.
Je kama taifa tutapona dhidi ya udini huu wa JK?je kukitokea mapigano,nani atakuwa responsible?Je nini kifanyike kukomesha udin8I hu?ama tumeridhika?!....